Sweden kuwafukuza kwa nguvu watu wenye asili ya Iraq

Sweden kuwafukuza kwa nguvu watu wenye asili ya Iraq

Hakuna Kiumbe anaye penda kuishi nchi ya Sharia Law.
La sivyo wangekuwa wanapambana wakaishi Afghanistan.
Nashangaa mdomoni wanatangaza kufuata Sharia Law ila kiuhalisia wanaikimbia hiyo Sharia.
Ni kati ya maajabu ya Dunia.
 
Naungana na uswidi, haiwezekani kumwalika mgeni baadae aanze kukutusi, weye kafiri, funzo, Unapokwenda kwenye nchi fulani basi zingatia kwenda kwenye nchi ambazo kitamaduni mnafanana fanana, ili usiwe kero kwa wengine kimisimamo.
 
Tatizo humu kuna chuki za udini kupita kiasi. Ebu tulizeni akili zenu kidogo. Hizi habari za uzushi ni nyingi. Nchi nyingi za magharibi zinapata na tatizo ya uhamiaji kwa sababu mbili kuu 1) vita walivyovianzisha wao kama WMD waliosingiziwa Wairaq 2) Hali ngumu ya maisha kama vile Africa ya magharibi,etc.. Waingereza walikuwa wanataka kuwa export Rwanda.
kuwatoa wanasingiziwa wamiaji chochote. Juzi juzi tu Trumph amewashutumu Wa Haiti kuwa wanaiba na wanakula mbwa na paka za wakazi marekani. Haiti ni waafrika ( wazungu weusi).
Sweden ipo Magharibi ipi na ilianzishwa vita ipi Iraq?
 
Zanzibar kanisa limechomwa na wenyewe wakristo katika jitihada zao Za kuwatapeli wazee wa kanisa Lao huko Ulaya na Marekani kuwa waislamu wanachoma makanisa Zanzibar. Ushahidi upo wala hamna aliyekamatwa kwa kuchoma kibanda kiitwacho kanisa
Ushahidi upo halafu hakuna aliyekamatwa? Upo kijiwe gani cha kahawa sheikh wangu?
 
Sasa imagine unaenda kwenye nchi ya watu, wewe mgeni halafu unaanza kuchoma makanisa yao. Bado tuendelee kuamini kwamba hi ni dini kutoka kwa Mungu? Sidhani
 
View attachment 3120461Sweden leo itatuma ndege pamoja yenye watu wenye asili ya Iraq Kwenda Iraq ambao WATAFUKUZWA KWA NGUVU (deportation) kutoka Sweden hadi Iraq. Baadhi ya Wairaq ambao watafukuzwa leo wamekuwa wakiishi Uswidi kwa miaka 17.

Sweden imechukua hatua hizi baada ya kuona watoto wao wanabakwa kila siku , mashambulizi ya kigaidi na uchomaji wa makanisa yao ya asili ukiendelea kutokana na hawa wahamiaji haramu! Pili baadhi ya nchi 53 za Afrika zimeongezewa mashart kupata visa Kwenda Sweden, isipokuwa nchi Tatu Tu, Rais wa Tanzania , Botswana na Kenya ndo mashart yamebaki yale Yale Je, unaunga mkono hatua hii kutoka Uswidi?
 

Attachments

  • FB_IMG_1729529780967.jpg
    FB_IMG_1729529780967.jpg
    21.8 KB · Views: 3
Nani aliekwambia waislamu hawana hivyo viwanda?
Best Arab Pornstars 2021: Top Muslim Adult Performers – MrPornGeek

Sikuhizi hao ndio wanaoongoza

Egypt na Saudi Arabia ni kati ya nchi zenye waangaliaji wengi zaidi wa Pornography, na Nchi za kiarabu ndio zinazoongoza
 
Sio kujisahau tu, hawana akili nzuri, wao wanaamini Dunia nzima ni Mali yao na yule mtu wao
Ha.. ha...
Wanaamini Dunia yote ni yao.
Mungu ni wa wao tu.
Sheria bora ni walizo ambiwa na yule mtu wao.
Wao tu ndio watu bora.
Dini bora ni yao tu.
Kila mtu ni lazima awe wa Dini yao na ni marufuku mtu kuihama Dini.
Ila wakiambiwa wachague kwa kuishi hawataki kabisa kuishi kwenye Sharia Law, wanaikimbia kama wale wa Afghan walio jazana katika Ndege ya mizigo ya USA ili kuikimbia Sharia Law.
Ni kwamba wanazimishwa tu kuishi katika utawala wa Sharia.

Yaani mwanamke anafunikwa gubigubi kuanzia nyayoni Hadi utosini na macho yanawekewa wavu.
Ni hatari na nusu.
 
HHiz
Mtu unatoka Nchini kwako unaenda kwenye Nchi ya watu Makafiri wenye ranch za nguruwe kila kona na supermarket zilizojaa hizo Haram, Bar kila kona na kila aina ya kilevi kipo, Viwanda vya kurekodi Pornograph, Night Clubs n.k unaacha kwenda kwenye nchi zenye Waislam zinazoongozwa na Sharia za Kiislam 🤣🤣🤣

Mbaya zaidi, unapeleka sheria na tamaduni zako kuanzia mavazi n.k 🤣🤣

Ukiondolewa Unalalamika na kulialia

Si Mrudi Iraq? Si kuna Lebanon, Egypt, Saudi Arabia, Oman na Yemen?

Mnatafuta nini kwa Wagalatia??
Hizo nchi za kikafiri ni za kikristo ama??
 
Ha.. ha...
Wanaamini Dunia yote ni yao.
Mungu ni wa wao tu.
Sheria bora ni walizo ambiwa na yule mtu wao.
Wao tu ndio watu bora.
Dini bora ni yao tu.
Kila mtu ni lazima awe wa Dini yao na ni marufuku mtu kuihama Dini.
Ila wakiambiwa wachague kwa kuishi hawataki kabisa kuishi kwenye Sharia Law, wanaikimbia kama wale wa Afghan walio jazana katika Ndege ya mizigo ya USA ili kuikimbia Sharia Law.
Ni kwamba wanazimishwa tu kuishi katika utawala wa Sharia.

Yaani mwanamke anafunikwa gubigubi kuanzia nyayoni Hadi utosini na macho yanawekewa wavu.
Ni hatari na nusu.

Sheria law ipo Iraq au Iran. Kuna shida gani wakirudi huko?
 
Wasomi hawawarudishwi hata siku moja na Ulaya kwenye mahospitali, ma university wamejaa wengine ni viongozi wa vyama vikubwa Kama Denmark , Sweden, Uk
Waziri wa elimu Sweden alikuwa muiraq, Waziri wa viwanda pia, Denmark Kiongozi wa chama kikubwa ni muarabu huko Sweden kiongozi wa chama kikubwa pia ni Muislamu, Mturuki
Wanaolazimisha tamaduni walizokuja nazo kutoka huko kwao ni lazima watimuliwe tu. Hakuna namna.
 
Back
Top Bottom