Che mittoga
JF-Expert Member
- Mar 28, 2017
- 12,658
- 16,205
Hakuna Kiumbe anaye penda kuishi nchi ya Sharia Law.
La sivyo wangekuwa wanapambana wakaishi Afghanistan.
Nashangaa mdomoni wanatangaza kufuata Sharia Law ila kiuhalisia wanaikimbia hiyo Sharia.
Ni kati ya maajabu ya Dunia.
La sivyo wangekuwa wanapambana wakaishi Afghanistan.
Nashangaa mdomoni wanatangaza kufuata Sharia Law ila kiuhalisia wanaikimbia hiyo Sharia.
Ni kati ya maajabu ya Dunia.