Sweden kuwafukuza kwa nguvu watu wenye asili ya Iraq

Sweden kuwafukuza kwa nguvu watu wenye asili ya Iraq

Ha.. ha...
Wanaamini Dunia yote ni yao.
Mungu ni wa wao tu.
Sheria bora ni walizo ambiwa na yule mtu wao.
Wao tu ndio watu bora.
Dini bora ni yao tu.
Kila mtu ni lazima awe wa Dini yao na ni marufuku mtu kuihama Dini.
Ila wakiambiwa wachague kwa kuishi hawataki kabisa kuishi kwenye Sharia Law, wanaikimbia kama wale wa Afghan walio jazana katika Ndege ya mizigo ya USA ili kuikimbia Sharia Law.
Ni kwamba wanazimishwa tu kuishi katika utawala wa Sharia.

Yaani mwanamke anafunikwa gubigubi kuanzia nyayoni Hadi utosini na macho yanawekewa wavu.
Ni hatari na nusu.
Kwani wewe unaamini Mungu yupi? Huyu aliyetahiriwa ?
 
MAss deportatation hawawezi kutekeleza kwa sababu hao watu wengi wao wana legal papers za kuishi sehemu husika, utamdeport mtu ambaye hana makaratasi hata trump alikuwa na chuki na wageni ila alishindwa kuwafukuza kama alivyodai ,mexicans ndio wengi wapo kinyume na sheria ila waafrika wengi na waarabu wana makaratasi
Makaratasi nini kwenye nchi ya watu ndugu? Wakiamua unaondoka tu. Huwa ni rahisi sana. Wanatunga sheria ya ku revoke citizenship; kwisha habari. Umesahau yule binti mwingireza mwenye asili ya Syria? Soma hii: Ms Begum was stripped of her British citizenship on national security grounds in 2019 by the then-Home Secretary Sajid Javid, leaving her unable to return to the UK. She remains in a camp controlled by armed guards in northern Syria.7 Aug 2024"
 
Makaratasi nini kwenye nchi ya watu ndugu? Wakiamua unaondoka tu. Huwa ni rahisi sana. Wanatunga sheria ya ku revoke citizenship; kwisha habari. Umesahau yule binti mwingireza mwenye asili ya Syria? Soma hii: Ms Begum was stripped of her British citizenship on national security grounds in 2019 by the then-Home Secretary Sajid Javid, leaving her unable to return to the UK. She remains in a camp controlled by armed guards in northern Syria.7 Aug 2024"
Hiyo case ya beghum nimeifuatilia vizuri sana ni very different scenario, huwezi kwend kuijiunga na adui halafu ukaingia nchini kwetu wakati uliingia kama mkimbizi , alienda kuijiunga na isis huko huyo si chizi kabisa
othrwise hao waarabu wahindi wakifuata sheria za nchi walizomo na wana makaratasi halali wataendelea kuishi bila ya kubughudhiwa maisha yao yote,hakuna wa kuwatoa
 
Juzi wamezingua Canada, wakaanza kudai kitimoto iondolewe katika orodha ya vyakula mashuleni. Serikali ikawajibu wawe na nidhamu na tamaduni na taratibu za watu. Kama wameukuta huo utaratibu wana wajibu wa kuufuata, kama hawawezi wanaweza wakaondoka.

Wamewajibu vyema sana. Maana kila mgeni akija atoe masharti yake, wenyeji wataishi vp? Itakuwa ni tatizo sana kwa wenyeji. Kawaida ukikuta watu wanaishi kwa utaratibu fulani, ishi kulingana nao. Kama huwezi ondoka nenda kwingine au rudi kwenu.
 
Wanataka connection ya mwaliko wa kwenye party ya Pdidy
Mwisho wa siku kila mtu hata hapa walio marekani from tz watarudi kwanza watanza wauslam kurud katika nchi zao hata kama ulizaa na mzungu mtt atarudishwa than imagrant wote watarud nchi zao za asili than wazungu huko huko nchini kwao watawafuata waarabu watawaua than watakuja na afrika kama walivofanyiwa waarabu dunia itatWaliwa na extremist far right hakutokuwa na uafadhali ila wa mwisho kutolewa itakuwa uengereza kuna clip niipat wazungu ulaya na marekan hWatak waarabu kwa dini yao na watawapa uraia weusi wakristo kutoka afrika wakajaze magap halafu na wao watafukuzwa jamani jengen na bakien kwenu
 
Mwisho wa siku kila mtu hata hapa walio marekani from tz watarudi kwanza watanza wauslam kurud katika nchi zao hata kama ulizaa na mzungu mtt atarudishwa than imagrant wote watarud nchi zao za asili than wazungu huko huko nchini kwao watawafuata waarabu watawaua than watakuja na afrika kama walivofanyiwa waarabu dunia itatWaliwa na extremist far right hakutokuwa na uafadhali ila wa mwisho kutolewa itakuwa uengereza kuna clip niipat wazungu ulaya na marekan hWatak waarabu kwa dini yao na watawapa uraia weusi wakristo kutoka afrika wakajaze magap halafu na wao watafukuzwa jamani jengen na bakien kwenu
Ndivyo ilivyoandikwa kwenye biblia yenu ??
 
Afrika yenyewe pana deportation za kumwaga ukiwa hapo Tunduma utaona Watanzania wanaorudishwa kutoka Zambia au SA utaona wanavyopelekwa Lindela kwa ajili ya kurudishwa Daslm..
 
View attachment 3120461Sweden leo itatuma ndege pamoja yenye watu wenye asili ya Iraq Kwenda Iraq ambao WATAFUKUZWA KWA NGUVU (deportation) kutoka Sweden hadi Iraq. Baadhi ya Wairaq ambao watafukuzwa leo wamekuwa wakiishi Uswidi kwa miaka 17.

Sweden imechukua hatua hizi baada ya kuona watoto wao wanabakwa kila siku , mashambulizi ya kigaidi na uchomaji wa makanisa yao ya asili ukiendelea kutokana na hawa wahamiaji haramu! Pili baadhi ya nchi 53 za Afrika zimeongezewa mashart kupata visa Kwenda Sweden, isipokuwa nchi Tatu Tu, Rais wa Tanzania , Botswana na Kenya ndo mashart yamebaki yale Yale Je, unaunga mkono hatua hii kutoka Uswidi?

Ila pia tunaomba chanzo kwa uelewa zaidi.
 
Hahahahaaaa, anakatwa jambia faster

Mnalala mkifikiria stori za kiudini tu.
Hii ni mbinifu hakuna nchi itafukuza watu wote.
Bwana Yesu hakuwafundisheni chuki. Huu ushetani mliuokota wapi? Yeye aliwafundisha upendo.
Mapadri waliwafundisheni ukichapwa kofi shavuni, mpe na la upande wa pili akuchape.
 
Nipo China, naona Waafganistan nao wamekimbilia hapa kwa wingi....ila so far wana adabu, siwasikii usiku wala alfajiri wakipiga makelele yao!.

Hiyo nchi, yaani China 🇨🇳 inajielewa. Hairuhusu kuingiliwa mambo yake na wageni. Halafu nayo harpenden kuingilia mambo ya ndani ya nchi za wengine. Hata mabeberu wanalijua hilo. Pia watu wa mudi lazima walijue hilo.
 
Nimekunukuu wapi ?? unaanza kuchanganyikiwa ?? A unabadilisha id halafu unajisahau ?? 😛 😛 😛
"Kwani wewe unaamini Mungu yupi? Huyu aliyetahiriwa ? "
👆
Hayo maneno umemwandikia nani hapo juu post namba #123, ?

Umeshajisahaulisha tayari.
Huwa siongei na watu wa aina yako, sababu moja wapo ni hii ya kutokujua umemnukuu nani, wapi na umesema nini muda mfupi baada ya kufanya hivyo.
 
Haya majitu yanazaana sana, afu yanq roho ya kikatili na ubinafsi kama ukiyaacha baada ya miaka 100 yanaweza kubadikisha katiba na kuwatawala.
Naunga mkono hoja.
 
Hakuna Kiumbe anaye penda kuishi nchi ya Sharia Law.
La sivyo wangekuwa wanapambana wakaishi Afghanistan.
Nashangaa mdomoni wanatangaza kufuata Sharia Law ila kiuhalisia wanaikimbia hiyo Sharia.
Ni kati ya maajabu ya Dunia.

Kwa makafiri ndiyo kwenye maisha. Wewe huoni mikoa ambako makobaz ni wengi, kumepauka kinyama. Wenyewe kazi yao kubwa ni umbea tu. Wamejaa uvivu na wivu.
 
Back
Top Bottom