Sweden: Mwanaume achoma Quran nje ya msikiti siku ya Eid

Tuliaminishwa kuwa ukichoma hata kipande kidogo cha kitabu hicho ghafla unakuwa kichaa.
 

Hehehe mama kwanza wewe ndiye ulipaswa uwe mstari wa mbele kukemea manyanyaso ya kingono aliyokua anafanya huyo 'mungu' wenu wa kiarabu, leo unajaribu kubadilisha kwa kuchanganya changanya maneno, kuna siku uliwahi kutetea ukisema enzi hizo iliruhusiwa kutia watoto.
Mwisho wa siku ukweli unabaki ule, hilo babu la kiarabu liligegeda hako katoto ka miaka 9 lenyewe likiwa na umri wa miaka 50
 
Siyo 9 wewe nyang'au, ni 6. Mbona unamkuza sana Bi Aisha, Alayha Salaam?

Alikaoa kakiwa na umri wa miaka 6, akakanyima fursa ya kuishi utotoni, kisha kwa alivyokua na minyege akashindwa kusubiri, akakafumua kakiwa na miaka 9
 
Uislam na waislam basi tu ila hii imani ni mtihani sana tumepewa duniani
Vipi na nyinyi imani yenu ya kusapoti ushoga na kufungisha ndoa za jinsia moja kwenye nyumba zenu za ibada nani ni mtihani hapa duniani?
 
Biblia hata uchome mpaka kesho hautaona Mkristo anawehuka na mizuka. Mungu wa kweli sio wa kulindwa na binadamu.
Nyie tunawajua mlivyo walegevu kuruhusu ruhusu kila jambo mpaka mnaruhusu vilivyo kinyume na maumbile ya mwanadamu na mko proud kabisa
 
Unazungumziaje fitna mlizofanya na kuthubutu kufanya uvamizi kwenye nchi za kiislam. Vipi 911 mkristo mwenzenu alivyowaangamiza wakristo wenzake. Au mnafumba macho na masikio
 
Zote story tu,hata ahmadia Wana vitabu vyao vinavyosema ghulam Mirza Ahmed kadiyani ni masihi,kitabu Cha dini yetu ni QUR'AN

Wewe ndio muislamu wa kwanza mimi kuona akikana hayo maandiko ya vitabu vyenu, wengine wote hadi scholars huwa naona wakijaribu kupiga twists za ajabu ajabu, wengine wakisema enzi hizo iliruhusiwa kudinya watoto hivyo hilo libabu la kiarabu lilikua sahihi kufumua katoto.
 
Unazungumziaje fitna mlizofanya na kuthubutu kufanya uvamizi kwenye nchi za kiislam. Vipi 911 mkristo mwenzenu alivyowaangamiza wakristo wenzake. Au mnafumba macho na masikio

Nyie mnaua Wakristo kisa mumeagizwa na "mungu" wenu, ona haya maagizo

“Slay the unbelievers wherever you find them – 2.191”
“Terrorise and behead those who believe in scriptures other than the Koran – 8.12”
“Make war on the infidels living in your neighbourhood – 9.123”
“Do not hanker for peace with the infidels; nehead them when you catch them – 47.4”
 
Tunajua nyinyi mnajiamini sana ndo mana mnathubutu mpaka kuruhusu ndoa za jinsia moja makanisani. Well done
Ila kwenye madrassa ushoga ndio dili.

Kina Anti Nuru
Anti Ali

Anti Iddy

Hao ni dini gani?
 
Hawa ndio wanaoleta mtafaruku wa dini upuuzi mtupu

Kesho uarabuni nao watachoma Biblia

Acha wachome tu, ilimradi hawajaichukua yangu na kuichoma.
Mwenyewe nayo ndo inabidi atoe kipondo kwa kumtia hasara.
 
Ila kwenye madrassa ushoga ndio dili.

Kina Anti Nuru
Anti Ali

Anti Iddy

Hao ni dini gani?

Hizo mnazo zozania siyo dini zenu. Nyie zenu ni zile za kule porini kwenye oracle.
 

Inawezekana ndiyo maana haogopewi wanachoma vitabu vyake.
 
Hayatuhusu hapa Tanzania tunaishi kwa Upendo. Hatuna udini tunaishi kama ndugu.

Hakuna watu wenye akili kubwa duniani kama waTanzania. Wenyewe wanchojua ukafiri siyo dini. Ni matendo yako. Kwa hiyo wanajua, kuna waislam wema na wasio wema. Pia kuna wasio waislam wema na wasio wema.
Hivyo wanachobakia nacho ni upendo tu.
 
Khalifa ummar (r.a) ,aliishi na mtume saw,na alipiga marufuku hivyo vitu,vikaibuka miaka 200 baadae mpaka Leo,usihadaike na scholars,wanafuata mapokeo tu,kupiga mawe mzinifu Hadi afe si Sheria ya uislam/Qur'an,mtoto wa nje ya ndoa,mlevi kumtia bakora nk ni vitu vya kiyahudi ambayo vilitiwa kwenye mitaala ya uislam kiujanja na syndicate ya kiyahudi ikiongozwa na Abdullah bin sabai,mtafute huyo bin sabai uone timbwili lake
 

Sasa wewe sina haja ya kuendelea na wewe maana ulishakana mtume hakudinya hako katoto, wacha nipambane na wenzako wote ambao wanakiri kweli alikadinya ila ilikua kawaida kwa kuwaingilia watoto enzi hizo, hivyo hilo libabu lenu halikufanya kosa wala kuona aibu kukapumulia na mijasho yote ya uarabuni na mindevu, yaani huku nje nikiangalia katoto ka miaka tisa halafu niwaze liarabu la miaka 50 limekachomeka dushe hadi napata kinyaa, hovyo sana.
 
Hiyo hata babu zako wakikuyu wamefanya,kuoa Binti wadogo,japo kwa mtume Hilo wasomi wengi wanalikataa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…