Syria imeanza hatua za mwanzo kujiunga katika vita kuipiga Israel

Syria imeanza hatua za mwanzo kujiunga katika vita kuipiga Israel

Narudia tena
Machoni mwako unahisi watu walichelewa ila watu walienda kwa wakati ufaao
Kukimbiwa ama kuasiwa na baadhi ya wanajeshi ni kawaida sana haikutokea tu Syria wala haitaishia Niger
Nimekupa mfano mapinduzi yalofanyika Nigeria watu walokua wanamlinda Rais mwisho wamempindua na nchi haikua mgogoroni baina ya jeshi na jeshi kwamba 99% walikua hawampendi rais wao
Iran na Russia walikuja kwa timing ila nyie mlitaka wafike muda munaoona nyie muafaka
Moubaraq hakua assad na assad hakua Moubaraq hawa watu tofauti na kila mmoja kapambana kivyake nachangamoto zake
Niger wamefanya mapinduzi hakuna switching sides imefanyika. Usitetee kwa hoja mfu.

Assad kakimbiwa na wanajeshi zaidi ya 50,000 wakaanzisha makundi ya waasi. Niger nako wanajeshi wakimbia jeshi lao?

Hiyo timing ya Russia unayosema ndio ileile walikuwa Armenia hadi Azerbaijan inashinda vita Warusi wapo wanajivutavuta. Hata Syria pale Assad angepigwa ungeleta hoja nyingine.
 
Miongoni mwa mataifa muhimu katika ushirika wa kuiadhibu Israel ni Syria ambayo tangu vita vianze hapo Oktoba 7 walikuwa wako kimya.

Kwa mara ya mwanzo leo wanamgambo walioko mashariki ya Israel na nyuma ya Jordan walirusha makombora machache kuelekea ndani ya Israel.

Hakuna madhara yaliyoripotiwa na jeshi la Israel japo jeshi hilo limetoa taarifa ya kufanikiwa kujua sehemu makombora hayo yaliporushiwa ndani ya Syria na kurudisha mapigo.

Hiyo inaweza kuwa ni habari mbaya kwa Israel kwani tayari ina mapambano kutokea kaskazini kutoka kwa Hizbullah na kusini kutoka kwa Houth wa Yemen na magharibi yake kutoka kwa Hamas.

Ikumbukwe kuwa Syria bado ina uchungu mkubwa na milima yake ya Golan ambayo ilitekwa na Israel wakati wa vita vya Yom Kipuri na kwamba milima hiyo pindi Syria ikianza kuidai kwa vita na kufanikiwa kuitia mkononi ni eneo ambalo linatazamana moja kwa moja na miji yote mikuu ya Israel ikiwemo Telavivi.

Wapiganaji wowote wa Syria wakiwa milima ya Golan wana uwezo wa kuchagua kituo chochote kukishambulia kwa makombora ya kawaida tu.
Israel full time wapo vitani na nchi ama makundi 5, hiyo sio ishu
 
Assad sio mpumbavu, Assad ni Rais mmoja anatumia akili sana kwenye maamuzi yake ndio maana kabaki madarakani wakati katokea kabila dogo na hana support kubwa kutoka kwa civilians.

Hayo mambo ya kutumia nguvu na war crimes ni matokeo kama wengine ila yuko very diplomatic na hakurupuki.

Israel huwa inafanya mashambulizi kwa wanamgambo au silaha za Iran humo Syria bila kipingamizi. Syria haina ubavu wa kuleta direct confrontation na Israel itapigwa mapema sana.

Haijatengamaa ina matatizo ya kiusalama yenyewe alafu ilete ugomvi na formidable foe. Hapo na Turkey upande wa Kaskazini muda wowote inavunja makubaliano na Russia inaenda kuwatafuta Wakurdi.

Makundi mengi sana ya waasi yatatumia hiyo opportunity kumtoa Assad. Kwanza jeshi lake litamtelekeza
Umelala mchana unaota ndoto za Abunuasi mkuu Unachekesha
 
Niger wamefanya mapinduzi hakuna switching sides imefanyika. Usitetee kwa hoja mfu.

Assad kakimbiwa na wanajeshi zaidi ya 50,000 wakaanzisha makundi ya waasi. Niger nako wanajeshi wakimbia jeshi lao?

Hiyo timing ya Russia unayosema ndio ileile walikuwa Armenia hadi Azerbaijan inashinda vita Warusi wapo wanajivutavuta. Hata Syria pale Assad angepigwa ungeleta hoja nyingine.
Al assad kama angepigwa ungeleta hoja gani zaidi yakua kapigwa
Uzuri na ubaya wa ukweli hua unachelewa tu kujuulikanika ila mwishowe hua wajulikanika
Narejelea tena wanajeshi walompindua bazoum na walomkimbia assad wote wanaitwa wanajeshi walio asi sirikali zao au wanaitwaje (hapa hakuna hoja mfu ila uelewa wako tu ndio unaweza kua mfu)
Hata huko Armenia na Azerbaijan pia Russia kaenda na move zake nzuri nisuala la muda tu utaelewa kama Russia alikosea ama alikua sahihi
Yaani Russia [emoji635] aloweza kumkingia kifua assad alokua anapigwa vita na us na shost zake wote ndio angeshindwa kumuokoa mshirika wake hapo barazani kwake pole tena pole haswaa
Yaani Russia aloweza kumbakiza madarakani Maduro kule Venezuela aliepo jirani na us ndio angeshindwa kuzuia mgogoro wa nagorno karabakh
Kwanini hili lililotokea leo lisingetokea vita ya mwaka 2020
Russia anajua anachokifanya
 
Israel huwa inafanya mashambulizi kwa wanamgambo au silaha za Iran humo Syria bila kipingamizi. Syria haina ubavu wa kuleta direct confrontation na Israel itapigwa mapema sana.
Russia haiwezi kubali hili, otherwise Israel supported ISIS ili imuondoe Assad rather nchi isitawalike. Kiburi cha Israel ni USA same as Syria ni Russia na Iran.

Hata Gadaffi angekua team Putin basi angekua madarakani. Balance of power ndio inaamua hizi vita sio individual countries.

Russia akiingilia Israel haiwezi lolote hapo ndio maana walimtamani Assad ila waliogopa kumgusa maana walijua Russia ingewa pound.
 
Miongoni mwa mataifa muhimu katika ushirika wa kuiadhibu Israel ni Syria ambayo tangu vita vianze hapo Oktoba 7 walikuwa wako kimya.

Kwa mara ya mwanzo leo wanamgambo walioko mashariki ya Israel na nyuma ya Jordan walirusha makombora machache kuelekea ndani ya Israel.

Hakuna madhara yaliyoripotiwa na jeshi la Israel japo jeshi hilo limetoa taarifa ya kufanikiwa kujua sehemu makombora hayo yaliporushiwa ndani ya Syria na kurudisha mapigo.

Hiyo inaweza kuwa ni habari mbaya kwa Israel kwani tayari ina mapambano kutokea kaskazini kutoka kwa Hizbullah na kusini kutoka kwa Houth wa Yemen na magharibi yake kutoka kwa Hamas.

Ikumbukwe kuwa Syria bado ina uchungu mkubwa na milima yake ya Golan ambayo ilitekwa na Israel wakati wa vita vya Yom Kipuri na kwamba milima hiyo pindi Syria ikianza kuidai kwa vita na kufanikiwa kuitia mkononi ni eneo ambalo linatazamana moja kwa moja na miji yote mikuu ya Israel ikiwemo Telavivi.

Wapiganaji wowote wa Syria wakiwa milima ya Golan wana uwezo wa kuchagua kituo chochote kukishambulia kwa makombora ya kawaida tu.
Habari mbya kivipi wakati Israel naye inayo wanayoi support kivita?....acha watwangane mpake kieleweke
 
Miongoni mwa mataifa muhimu katika ushirika wa kuiadhibu Israel ni Syria ambayo tangu vita vianze hapo Oktoba 7 walikuwa wako kimya.

Kwa mara ya mwanzo leo wanamgambo walioko mashariki ya Israel na nyuma ya Jordan walirusha makombora machache kuelekea ndani ya Israel.

Hakuna madhara yaliyoripotiwa na jeshi la Israel japo jeshi hilo limetoa taarifa ya kufanikiwa kujua sehemu makombora hayo yaliporushiwa ndani ya Syria na kurudisha mapigo.

Hiyo inaweza kuwa ni habari mbaya kwa Israel kwani tayari ina mapambano kutokea kaskazini kutoka kwa Hizbullah na kusini kutoka kwa Houth wa Yemen na magharibi yake kutoka kwa Hamas.

Ikumbukwe kuwa Syria bado ina uchungu mkubwa na milima yake ya Golan ambayo ilitekwa na Israel wakati wa vita vya Yom Kipuri na kwamba milima hiyo pindi Syria ikianza kuidai kwa vita na kufanikiwa kuitia mkononi ni eneo ambalo linatazamana moja kwa moja na miji yote mikuu ya Israel ikiwemo Telavivi.

Wapiganaji wowote wa Syria wakiwa milima ya Golan wana uwezo wa kuchagua kituo chochote kukishambulia kwa makombora ya kawaida tu.

Ila ume andika kinadharia sana na kirahisi mno, uhalisia hauko hivyo, Israel ni USA and vice versa, so Israel inaweza piga nchi zote in Middle East at once, so wewe unaongea kitu unachotaka kiwe kwa nadharia tu, usifikiri nchi za middle East hazitaki kuipiga Israel, ila haziwezi kamwe
 
Mleta mada umeiangalia Israel kama Israel peke yake wakati huo huo ukaingalia Hamas na washirika wake. Je washirika wa Israel umewaweka upande gani? Unakumbuka Marekani imepeleka manowari ngapi za kivita - ni za nini?
 
Russia haiwezi kubali hili, otherwise Israel supported ISIS ili imuondoe Assad rather nchi isitawalike. Kiburi cha Israel ni USA same as Syria ni Russia na Iran.

Hata Gadaffi angekua team Putin basi angekua madarakani. Balance of power ndio inaamua hizi vita sio individual countries.

Russia akiingilia Israel haiwezi lolote hapo ndio maana walimtamani Assad ila waliogopa kumgusa maana walijua Russia ingewa pound.
Kwahiyo mkuu unadhani Israel itaacha kuipiga Syria ikivamia kisa kuna nchi inaitwa Russia?
Kwani wakati Israel inatwaa Golan heights USSR haikuwepo tena ikiwa na nguvu zaidi ya Russia hii.

Ni lini Israel iliwahi iogopa Russia. Yeyote anayevamia Israel anapigwa haijalishi anaungwa mkono na nani.
 
Kwahiyo mkuu unadhani Israel itaacha kuipiga Syria ikivamia kisa kuna nchi inaitwa Russia?
Kwani wakati Israel inatwaa Golan heights USSR haikuwepo tena ikiwa na nguvu zaidi ya Russia hii.

Ni lini Israel iliwahi iogopa Russia. Yeyote anayevamia Israel anapigwa haijalishi anaungwa mkono na nani.
Israel ni kibaraka wa USA So Russia hawezi kubali USA iwe na foothold hapo Syria. Iran pia haitokubali and so will China.

Kama Israel wana jeuri hiyo mbona waliufyata kumtoa Assad? Walionywa kwamba wakijaribu kuingilia vita basi Tel Aviv ingegeuka majivu.

Hizi vita zinaamuliwa na wababe fuatilia zote Iwe ya Angola, DRC, Vietnam, Cuba hauwezi pata ushindi unless upo upande mmoja wa superpower
 
Ila ume andika kinadharia sana na kirahisi mno, uhalisia hauko hivyo, Israel ni USA and vice versa, so Israel inaweza piga nchi zote in Middle East at once, so wewe unaongea kitu unachotaka kiwe kwa nadharia tu, usifikiri nchi za middle East hazitaki kuipiga Israel, ila haziwezi kamwe
Israhell msiipe kazi ngumu ambayo haiwezi yakuyatwanga mataifa yote ya mashariki ya kati
Tunawaombea muwaachie kazi hii hii moja waliojipa yakuifuta hamas kama wataweza
Us ilokimbia Afghanistan [emoji1023] ndio ikaipige mido ist yote pole kijana
Hata israhell huko nyuma tulipigwa fix kua israhell iliyatwanga mataifa yakiarabu yote ndani ya siku sita
Leo israhell ile ile tena ikiwa mnavyoipamba more advanced kisiasa kiuchumi kijeshi na pia ki LGBTq+ imeshindwa kuimaliza hamas
Hamas ambayo haina hata kiwanda chakutengenezea zana vita
Israhell na us labda wakapigane tena na libya [emoji1149]
 
Israhell msiipe kazi ngumu ambayo haiwezi yakuyatwanga mataifa yote ya mashariki ya kati
Tunawaombea muwaachie kazi hii hii moja waliojipa yakuifuta hamas kama wataweza
Us ilokimbia Afghanistan [emoji1023] ndio ikaipige mido ist yote pole kijana
Hata israhell huko nyuma tulipigwa fix kua israhell iliyatwanga mataifa yakiarabu yote ndani ya siku sita
Leo israhell ile ile tena ikiwa mnavyoipamba more advanced kisiasa kiuchumi kijeshi na pia ki LGBTq+ imeshindwa kuimaliza hamas
Hamas ambayo haina hata kiwanda chakutengenezea zana vita
Israhell na us labda wakapigane tena na libya [emoji1149]
Hahahaaa.
 
Israhell msiipe kazi ngumu ambayo haiwezi yakuyatwanga mataifa yote ya mashariki ya kati
Tunawaombea muwaachie kazi hii hii moja waliojipa yakuifuta hamas kama wataweza
Us ilokimbia Afghanistan [emoji1023] ndio ikaipige mido ist yote pole kijana
Hata israhell huko nyuma tulipigwa fix kua israhell iliyatwanga mataifa yakiarabu yote ndani ya siku sita
Leo israhell ile ile tena ikiwa mnavyoipamba more advanced kisiasa kiuchumi kijeshi na pia ki LGBTq+ imeshindwa kuimaliza hamas
Hamas ambayo haina hata kiwanda chakutengenezea zana vita
Israhell na us labda wakapigane tena na libya [emoji1149]
Fix nyengine ni kuhusu Iron dome.Mimi mwenyewe niianza kuzigopa na nikadhani ni kitu kinatanda juu kama chuma hakuna kitu kinapenya ikishakunjuliwa.
Kumbe si chochote.Nchi za mashariki ya kati wala haziigopi Israel kwa silaha zake.Wanachoogopa ni kuchokoza mapambano ambayo yatahamasisha kuondoshwa madarakani mwao.Kumbuka mataifa mengi ya kiarabu tunayoyazungumza yana tawala za kifalme na wafalme ni walafi sana wa madaraka.
 
Assad sio mpumbavu, Assad ni Rais mmoja anatumia akili sana kwenye maamuzi yake ndio maana kabaki madarakani wakati katokea kabila dogo na hana support kubwa kutoka kwa civilians.

Hayo mambo ya kutumia nguvu na war crimes ni matokeo kama wengine ila yuko very diplomatic na hakurupuki.

Israel huwa inafanya mashambulizi kwa wanamgambo au silaha za Iran humo Syria bila kipingamizi. Syria haina ubavu wa kuleta direct confrontation na Israel itapigwa mapema sana.

Haijatengamaa ina matatizo ya kiusalama yenyewe alafu ilete ugomvi na formidable foe. Hapo na Turkey upande wa Kaskazini muda wowote inavunja makubaliano na Russia inaenda kuwatafuta Wakurdi.

Makundi mengi sana ya waasi yatatumia hiyo opportunity kumtoa Assad. Kwanza jeshi lake litamtelekeza.
Assad Putin hawezi kumuacha. Fuatilia maslahi ya Urusi pale ambayo yamemsaidia kubakia madarakani pamoja na kwamba US walitaka wamtoe.
 
Fix nyengine ni kuhusu Iron dome.Mimi mwenyewe niianza kuzigopa na nikadhani ni kitu kinatanda juu kama chuma hakuna kitu kinapenya ikishakunjuliwa.
Kumbe si chochote.Nchi za mashariki ya kati wala haziigopi Israel kwa silaha zake.Wanachoogopa ni kuchokoza mapambano ambayo yatahamasisha kuondoshwa madarakani mwao.Kumbuka mataifa mengi ya kiarabu tunayoyazungumza yana tawala za kifalme na wafalme ni walafi sana wa madaraka.
Naungana nawewe wengi pale wanaangalia matumbo yao
Israhell na hayo machuma chuma yao wala hawana uspecial wowote ule nikutudanganya tuuu
Israhell anapambwa mpaka unaona duuuh huyu un touchable ila field ndio kunatoa majibu
Israhell hamna kitu
 
Naungana nawewe wengi pale wanaangalia matumbo yao
Israhell na hayo machuma chuma yao wala hawana uspecial wowote ule nikutudanganya tuuu
Israhell anapambwa mpaka unaona duuuh huyu un touchable ila field ndio kunatoa majibu
Israhell hamna kitu
Israel wangekuwa hawana nia ya mauwaji ya halaiki, wangeacha wananchi wahamie kusini mwa Gaza kisha wafanye kuwamiza Hamas hapo kaskazini. Wapige mabomu na kuingia huko kwenye tunnels kuwaondoa Hamas ama kumaliza infrastructure zao.

Kuna taratibu nyingi tu ambazo zingeweza kufanyika endapo walikuwa wanajiamini.
 
Hili la Assad kuanzisha vita naungana na wewe kwa %kubwa
Suala la kukimbiwa na wanajeshi ama kuasiwa linapotokea mgogoro nijambo lakawaida san popote pale ulimwenguni na wala haikutokea Syria [emoji1238] tuuu
Mfano wa punde nipale Niger [emoji1183] wanajeshi walomlinda rais punde wakampindua
Syria [emoji1238] alipoteza huko alipopoteza sababu alopigana nao walikua na sapot ya mataifa makubwa na yenye nguvu
Sababu ukitoa Iran [emoji1130] hapo mido ist karibu mataifa yote yalikua against na Assad ulitegemea miujiza gani hapa kutoka kwa Assad
Iran [emoji1130] na Russia [emoji635] hawakuchelewa kuingilia Syria [emoji1238] ila walikua na mahesabu yao nandio maana walipoona mambo yao yamekaa sawa wakaona waingilie
Yaani ulitegemea kabisa Russia [emoji635] na Iran [emoji1130] waiache Syria [emoji1238] kuanguka lilikua haliwezekani watu walipiga hesabu za mbali hawakuwahi wala kuchelewa kama unavyodhani
Ila waliacha watu waamini kama unavyodhani wewe ila ghafla mambo yakabadilika
Ndio nakumbuka Urusi ilitangaza kuingilia baada ya USA kumpa siku 7 Assad awe ameachia nchi

Urusi wakatoa tamko la kibabe kuwa ole wake nchi itakayojaribu kuishambulia Syria USA wakajua ni mkwara tu lkn wakapata taarifa za kijasusi kuwa Urusi tayari Ana kambi kubwa ya jeshi ndani ya Syria (hawakujua imejengwa muda gani)

Baada ya tamko hilo la Urusi USA na Nato wakarudi kujipanga upya kwa miezi 6 ndio waje kukabiliana na Urusi

Nakumbuka pia kipindi Urusi anazindua mashambulizi dhidi ya Isis alianza kushambulia kwa makombora kutoka kwenye nyambizi yake iliyokuwepo maelfu ya kilometa mbali na Syria lkn yalilenga shabaha
 
Damascus,latakia na tartus hii miji inalindwq na russia,assad kilichomsaidia mpaka leo kuwepo madarakani ni putin la sivyo west wangekua washamuua kama ilivyokua kwa gadafi
 
Back
Top Bottom