Syria yatangaza Krismasi kuwa Sikukuu ya umma

Syria yatangaza Krismasi kuwa Sikukuu ya umma

Huyu mtawala mpya wa Syria na timu yake wana hekima na busara sana! Haya mataifa yanayojiita ya kidini ni tatizo. Huwezi kuwanyima wengine haki zao kwa kisingizio cha wingi au uchache.
Maneno hayo yanatokana na Aya ya Qur’an katika Surat Al-Baqara (2:120), ambayo inasema:

"Wala Mayahudi hawatoridhika nawe, wala Manasara, mpaka ufuate mila yao."

Aya hii inaeleza kwamba baadhi ya watu kutoka dini nyingine hawatakubali na kuridhika na Uislamu au waumini wake hadi waumini hao wafuate njia yao ya maisha na imani. Inatufundisha umuhimu wa kushikamana na dini yetu ya Kiislamu bila kuyumba au kushawishiwa na mwelekeo wa watu wengine ambao huenda wana ajenda za kubadili imani yetu.
 
Maneno hayo yanatokana na Aya ya Qur’an katika Surat Al-Baqara (2:120), ambayo inasema:

"Wala Mayahudi hawatoridhika nawe, wala Manasara, mpaka ufuate mila yao."

Aya hii inaeleza kwamba baadhi ya watu kutoka dini nyingine hawatakubali na kuridhika na Uislamu au waumini wake hadi waumini hao wafuate njia yao ya maisha na imani. Inatufundisha umuhimu wa kushikamana na dini yetu ya Kiislamu bila kuyumba au kushawishiwa na mwelekeo wa watu wengine ambao huenda wana ajenda za kubadili imani yetu.
Umeanza!
 
Maneno hayo yanatokana na Aya ya Qur’an katika Surat Al-Baqara (2:120), ambayo inasema:

"Wala Mayahudi hawatoridhika nawe, wala Manasara, mpaka ufuate mila yao."

Aya hii inaeleza kwamba baadhi ya watu kutoka dini nyingine hawatakubali na kuridhika na Uislamu au waumini wake hadi waumini hao wafuate njia yao ya maisha na imani. Inatufundisha umuhimu wa kushikamana na dini yetu ya Kiislamu bila kuyumba au kushawishiwa na mwelekeo wa watu wengine ambao huenda wana ajenda za kubadili imani yetu.
Mtu yeyote anayewabagua watu wa imani yoyote ile kwa namna yoyote ile, huyo ni uzao wa shetani.

Wacha watu waabudu wanavyotaka na kwa namna wanayotaka, muamuzi ni Mungu.

Mungu kama angetaka watu wa aina fulani au wa dini fulani wasiwepo Duniani, asingeshindwa. Kwa nini ameruhusu sote tuwe pamoja? Hekima ya Mungu haihojiwi na mwanadamu, na Mungu siyo mwanadamu.
 
Maneno hayo yanatokana na Aya ya Qur’an katika Surat Al-Baqara (2:120), ambayo inasema:

"Wala Mayahudi hawatoridhika nawe, wala Manasara, mpaka ufuate mila yao."

Aya hii inaeleza kwamba baadhi ya watu kutoka dini nyingine hawatakubali na kuridhika na Uislamu au waumini wake hadi waumini hao wafuate njia yao ya maisha na imani. Inatufundisha umuhimu wa kushikamana na dini yetu ya Kiislamu bila kuyumba au kushawishiwa na mwelekeo wa watu wengine ambao huenda wana ajenda za kubadili imani yetu.
We ni pumbavu pumbavu.
 
Jamaa ana akili huyu! Nashauri Serikali ya Mama Samia imtoe kwenye orodha ya magaidi na tuanze immediately kupeleka misaada Syria, in donor country's voice
 
Back
Top Bottom