Tony Laurent
JF-Expert Member
- Jan 5, 2011
- 5,606
- 7,032
Mtu mwenyewe anajiita Malaria.😅. Mhurumie tu, huenda tayari imeshapanda kwenye ubongo hiyo malaria yakeUmeanza!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtu mwenyewe anajiita Malaria.😅. Mhurumie tu, huenda tayari imeshapanda kwenye ubongo hiyo malaria yakeUmeanza!
Ubalikiwe sana mtumishJe, wajua kuna tofauti kubwa kati ya neno “KRISMASI” na neno “X-MASS”? Ikiwa haukujua tofauti, soma yafuatayo:
KRISMASI ni mchanganyiko wa maneno 2: "Kristo" na "Misa"
Miaka mingi iliyopita, kabla Kristo hajazaliwa, tarehe 25 Desemba ilikuwa siku ya wapagani kwa ajili ya Sadaka.
Baadaye, katika mwaka wa 533 BK Constantine mkuu wa Kanisa la Roma la wakati huo, ambalo leo ni Kanisa Katoliki la Roma, alibadilisha siku kutoka siku ya wapagani ya kutoa dhabihu hadi ukumbusho wa kuzaliwa kwa Yesu Kristo. Aliita siku hiyo “MISA KWA AJILI YA KRISTO” yaani “KRISMASI”
1. KRISTO kwa Kiebrania maana yake ni “Mpakwa mafuta” au “Mteule”
2. MAS kwa Kigiriki maana yake ni “Mkusanyiko Mkubwa wa Watu”. Hivyo KRISMASI maana yake ni “Kusanyiko la Kristo”
Kisha neno "X-MASS", lilitoka wapi?
Inaaminika kwamba baada ya “Siku ya Kusanyiko la Kristo” (KRISMASI) kuwa maarufu na kuheshimiwa ulimwenguni pote, wasioamini Mungu na wapinga Kristo walifanya uamuzi wa kuibadilisha, kwa kuweka “X” badala ya jina la Kristo, kumaanisha kwamba hakuna Kristo.
Ilibadilisha maana kwa kuifanya "X-MASS" yaani kumaanisha "hakuna Mkusanyiko wa Kristo".
Heri ya CHRIST-MAS sio X-MAS.
X mara nyingi hutumiwa kutaja mtu, kitu, kipengele, ambaye jina lake halisi halijulikani au limezuiwa. Inatumika kuondoa, kughairi na kufuta maneno. "X" haina uhusiano wowote na "Kristo" "Mpakwa Mafuta". Tafadhali usibadilishe Kristo na "X".
Kama Mkristo usitumie X-MAS au Likizo Njema ambayo inatafuta kufanya vivyo hivyo. Tumia "KRISMASI" kila wakati.
Huenda ulifanya kosa hilo mwaka jana kwa kuwatakia watu "X-Mass" au "Likizo" badala ya "KRISMASI". Baba yetu wa mbinguni ni Baba mwenye upendo na mwenye rehema. Tafadhali wajulishe wengine.
Mungu akubariki unaposaidia kurekebisha kosa hili. Likizo Njema
Bwana akubariki.
Kuwa na "Krismasi Njema" sio "X-MASS".
Waislam wenye msimamo mkali wanasema hawajui historia yake and wanasema anafanana kisura na Zelensky so kuna uwezekano mkubwa kuwa ni myahudi haswa pale aliposema hataki vita na Israel na kusema Syria inahitaji kupumzika na fujo za Iran .Huyu mtawala mpya wa Syria na timu yake wana hekima na busara sana! Haya mataifa yanayojiita ya kidini ni tatizo. Huwezi kuwanyima wengine haki zao kwa kisingizio cha wingi au uchache.
Amani amani amani! That's its.Waislam wenye msimamo mkali wanasema hawajui historia yake and wanasema anafanana kisura na Zelensky so kuna uwezekano mkubwa kuwa ni myahudi haswa pale aliposema hataki vita na Israel na kusema Syria inahitaji kupumzika na fujo za Iran .
Jinga hilo! Ushetani umemjaa vilivyo.Mtu mwenyewe anajiita Malaria.😅. Mhurumie tu, huenda tayari imeshapanda kwenye ubongo hiyo malaria yake
Serikali mpya ya Syria imetangaza Krismasi kuwa sikukuu ya umma.
Ofisi za Serikali zitafungwa tarehe 25 na 26 Desemba ya kila mwaka.
Cc. Ritz
Cc. FaizaFoxy
View: https://x.com/visegrad24/status/1871516597107736691?t=-uBxA8srUJ7bZ61coYFMSg&s=08
Serikali mpya ya Syria imetangaza Krismasi kuwa sikukuu ya umma.
Ofisi za Serikali zitafungwa tarehe 25 na 26 Desemba ya kila mwaka.
Cc. Ritz
Cc. FaizaFoxy
View: https://x.com/visegrad24/status/1871516597107736691?t=-uBxA8srUJ7bZ61coYFMSg&s=08
Wapi umeona au kusoma kwamba watu hao wanataka watu wa huko wafuate imani yao au haujui kusoma kilicho andikwa hapo juu unakurupuka tu na aya zako bila kuusanisha na habari iliyopo, wewe ndio unawafanya wengine waonekane sio kumbe shida ni wewe na misimamo yako ya chuki kwa wasio na imani yako.Maneno hayo yanatokana na Aya ya Qur’an katika Surat Al-Baqara (2:120), ambayo inasema:
"Wala Mayahudi hawatoridhika nawe, wala Manasara, mpaka ufuate mila yao."
Aya hii inaeleza kwamba baadhi ya watu kutoka dini nyingine hawatakubali na kuridhika na Uislamu au waumini wake hadi waumini hao wafuate njia yao ya maisha na imani. Inatufundisha umuhimu wa kushikamana na dini yetu ya Kiislamu bila kuyumba au kushawishiwa na mwelekeo wa watu wengine ambao huenda wana ajenda za kubadili imani yetu.
Serikali mpya ya Syria imetangaza Krismasi kuwa sikukuu ya umma.
Ofisi za Serikali zitafungwa tarehe 25 na 26 Desemba ya kila mwaka.
Cc. Ritz
Cc. FaizaFoxy
View: https://x.com/visegrad24/status/1871516597107736691?t=-uBxA8srUJ7bZ61coYFMSg&s=08
Thubuuu! Hawa waislamu grade b wa bongo hawawezi kukubali hiloHahaha kunatetesi Msikiti wa Mtambani na wa Mtoro wanajiandaa kwa siku kuu ya Krismass pia.
Safi kabsaWapi umeona au kusoma kwamba watu hao wanataka watu wa huko wafuate imani yao au haujui kusoma kilicho andikwa hapo juu unakurupuka tu na aya zako bila kuusanisha na habari iliyopo, wewe ndio unawafanya wengine waonekane sio kumbe shida ni wewe na misimamo yako ya chuki kwa wasio na imani yako.
Umeandika vyema sana lakini makobazi grade b ya kibongo hayataki kabsa kuelewaMtu yeyote anayewabagua watu wa imani yoyote ile kwa namna yoyote ile, huyo ni uzao wa shetani.
Wacha watu waabudu wanavyotaka na kwa namna wanayotaka, muamuzi ni Mungu.
Mungu kama angetaka watu wa aina fulani au wa dini fulani wasiwepo Duniani, asingeshindwa. Kwa nini ameruhusu sote tuwe pamoja? Hekima ya Mungu haihojiwi na mwanadamu, na Mungu siyo mwanadamu.
Hahaha ilikuwa sherehe ya maulidi ya mtume kumbe.Thubuuu! Hawa waislamu grade b wa bongo hawawezi kukubali hilo
Serikali mpya ya Syria imetangaza Krismasi kuwa sikukuu ya umma.
Ofisi za Serikali zitafungwa tarehe 25 na 26 Desemba ya kila mwaka.
Cc. Ritz
Cc. FaizaFoxy
View: https://x.com/visegrad24/status/1871516597107736691?t=-uBxA8srUJ7bZ61coYFMSg&s=08
hakuna muislamu anamchukia mkristuKobazi magaidi wamenuna.
Serikali mpya ya Syria imetangaza Krismasi kuwa sikukuu ya umma.
Ofisi za Serikali zitafungwa tarehe 25 na 26 Desemba ya kila mwaka.
Cc. Ritz
Cc. FaizaFoxy
View: https://x.com/visegrad24/status/1871516597107736691?t=-uBxA8srUJ7bZ61coYFMSg&s=08