Syria yatangaza Krismasi kuwa Sikukuu ya umma

Syria yatangaza Krismasi kuwa Sikukuu ya umma

Maneno hayo yanatokana na Aya ya Qur’an katika Surat Al-Baqara (2:120), ambayo inasema:

"Wala Mayahudi hawatoridhika nawe, wala Manasara, mpaka ufuate mila yao."

Aya hii inaeleza kwamba baadhi ya watu kutoka dini nyingine hawatakubali na kuridhika na Uislamu au waumini wake hadi waumini hao wafuate njia yao ya maisha na imani. Inatufundisha umuhimu wa kushikamana na dini yetu ya Kiislamu bila kuyumba au kushawishiwa na mwelekeo wa watu wengine ambao huenda wana ajenda za kubadili imani yetu.
Mnababaika sana, hivi tangu lini Mkristo au Myahudi akawa na muda mchafu wa kumshawishi Muislam ahamie kwenye dini yake!? Hayo mambo mnayo nyie wakosa chakufanya.
 
Huyu mtawala mpya wa Syria na timu yake wana hekima na busara sana! Haya mataifa yanayojiita ya kidini ni tatizo. Huwezi kuwanyima wengine haki zao kwa kisingizio cha wingi au uchache.
Sio hekima,walisaidiwa na NATO kumtoa Assad hawanabudi kufanya Yale yote wanayofanya waliowasaidia mpk ushoga wataruhusu Subiri uone
 
Huyu mtawala mpya wa Syria na timu yake wana hekima na busara sana! Haya mataifa yanayojiita ya kidini ni tatizo. Huwezi kuwanyima wengine haki zao kwa kisingizio cha wingi au uchache.
Mzayuni huyu kachukua nchi
 
Huyu mtawala mpya wa Syria na timu yake wana hekima na busara sana! Haya mataifa yanayojiita ya kidini ni tatizo. Huwezi kuwanyima wengine haki zao kwa kisingizio cha wingi au uchache.
Mavazi anayoyavaa siku hizi yanampendezesha sana

Cc. Ritz
Cc. FaizaFoxy
 
Habari mbaya sana kwa watu wa mnyaaaazi na kobazi mpauko .........miguu yenye makenya na midomo iliyopasuka kama kinda la ndege kwa kura sana ubwabwa bila matunda.........
 
Huwa naona wanaandika hivyo, tofauti nini mkuu?
Je, wajua kuna tofauti kubwa kati ya neno “KRISMASI” na neno “X-MASS”? Ikiwa haukujua tofauti, soma yafuatayo:

KRISMASI ni mchanganyiko wa maneno 2: "Kristo" na "Misa"

Miaka mingi iliyopita, kabla Kristo hajazaliwa, tarehe 25 Desemba ilikuwa siku ya wapagani kwa ajili ya Sadaka.

Baadaye, katika mwaka wa 533 BK Constantine mkuu wa Kanisa la Roma la wakati huo, ambalo leo ni Kanisa Katoliki la Roma, alibadilisha siku kutoka siku ya wapagani ya kutoa dhabihu hadi ukumbusho wa kuzaliwa kwa Yesu Kristo. Aliita siku hiyo “MISA KWA AJILI YA KRISTO” yaani “KRISMASI”

1. KRISTO kwa Kiebrania maana yake ni “Mpakwa mafuta” au “Mteule”

2. MAS kwa Kigiriki maana yake ni “Mkusanyiko Mkubwa wa Watu”. Hivyo KRISMASI maana yake ni “Kusanyiko la Kristo”

Kisha neno "X-MASS", lilitoka wapi?

Inaaminika kwamba baada ya “Siku ya Kusanyiko la Kristo” (KRISMASI) kuwa maarufu na kuheshimiwa ulimwenguni pote, wasioamini Mungu na wapinga Kristo walifanya uamuzi wa kuibadilisha, kwa kuweka “X” badala ya jina la Kristo, kumaanisha kwamba hakuna Kristo.

Ilibadilisha maana kwa kuifanya "X-MASS" yaani kumaanisha "hakuna Mkusanyiko wa Kristo".

Heri ya CHRIST-MAS sio X-MAS.

X mara nyingi hutumiwa kutaja mtu, kitu, kipengele, ambaye jina lake halisi halijulikani au limezuiwa. Inatumika kuondoa, kughairi na kufuta maneno. "X" haina uhusiano wowote na "Kristo" "Mpakwa Mafuta". Tafadhali usibadilishe Kristo na "X".

Kama Mkristo usitumie X-MAS au Likizo Njema ambayo inatafuta kufanya vivyo hivyo. Tumia "KRISMASI" kila wakati.

Huenda ulifanya kosa hilo mwaka jana kwa kuwatakia watu "X-Mass" au "Likizo" badala ya "KRISMASI". Baba yetu wa mbinguni ni Baba mwenye upendo na mwenye rehema. Tafadhali wajulishe wengine.

Mungu akubariki unaposaidia kurekebisha kosa hili. Likizo Njema

Bwana akubariki.

Kuwa na "Krismasi Njema" sio "X-MASS".
 
Maneno hayo yanatokana na Aya ya Qur’an katika Surat Al-Baqara (2:120), ambayo inasema:

"Wala Mayahudi hawatoridhika nawe, wala Manasara, mpaka ufuate mila yao."

Aya hii inaeleza kwamba baadhi ya watu kutoka dini nyingine hawatakubali na kuridhika na Uislamu au waumini wake hadi waumini hao wafuate njia yao ya maisha na imani. Inatufundisha umuhimu wa kushikamana na dini yetu ya Kiislamu bila kuyumba au kushawishiwa na mwelekeo wa watu wengine ambao huenda wana ajenda za kubadili imani yetu.
Stupid
 
Huyu mtawala mpya wa Syria na timu yake wana hekima na busara sana! Haya mataifa yanayojiita ya kidini ni tatizo. Huwezi kuwanyima wengine haki zao kwa kisingizio cha wingi au uchache.
Huyu kiongozi Mungu amuongoze ni kama alitumia wana jihad kuingia ikulu ila yye siyo mdini
 
Back
Top Bottom