Be calm
JF-Expert Member
- May 20, 2023
- 3,766
- 8,959
HakikaKrismas njema kwa watu wa Syria
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HakikaKrismas njema kwa watu wa Syria
Ameen!Tafuteni kuwa na amani na watu wote! Hawa jamaa watabarikiwa hawa! Syria watafunguliwa milango ya baraka hawa!
... tena mbwa mwitu hatari wa jangwani!AMINA tuendelee kuwaombea watu hao maana wanaishi katikati ya mbwa mwitu
Serikali mpya ya Syria imetangaza Krismasi kuwa sikukuu ya umma.
Ofisi za Serikali zitafungwa tarehe 25 na 26 Desemba ya kila mwaka.
Cc. Ritz
Cc. FaizaFoxy
View: https://x.com/visegrad24/status/1871516597107736691?t=-uBxA8srUJ7bZ61coYFMSg&s=08
Vyovyote la muhimu amani na upendo kwa watu wote bila ubaguzi.Anafanya hivyo ili aondolewe kwny orodha ya magaidi.
Uliwahi kufika Tiro na Sidoni au ndo mambo ya Map🥳🥳🥳Merry Christmas to them indeed! Baraka tele kwa watu wa Mungu waishio pande za Tiro, na Sidon, na Dameski! Mungu akawajalie amani na upendo tele.
Afisa wa jeshi mstaafu wa IDF ameandika makala akimwita kiongozi huyo ''A wolf in sheep's skin''Vyovyote la muhimu amani na upendo kwa watu wote bila ubaguzi.
Tumpe muda! Rangi zake halisi zitajulikana soon. But at least apongezwe kwa kidogo alichofanya so far.Afisa wa jeshi mstaafu wa IDF ameandika makala akimwita kiongozi huyo ''A wolf in sheep's skin''
Sidoni haipo syria ipo lebanoni.Merry Christmas to them indeed! Baraka tele kwa watu wa Mungu waishio pande za Tiro, na Sidon, na Dameski! Mungu akawajalie amani na upendo tele.
Huyu Al Sharaa ameachana na zile itikadi kali za kidini.Huyu mtawala mpya wa Syria na timu yake wana hekima na busara sana! Haya mataifa yanayojiita ya kidini ni tatizo. Huwezi kuwanyima wengine haki zao kwa kisingizio cha wingi au uchache.
Mtume Mohamad mbona alikuwa anaitambua Christmass.Maneno hayo yanatokana na Aya ya Qur’an katika Surat Al-Baqara (2:120), ambayo inasema:
"Wala Mayahudi hawatoridhika nawe, wala Manasara, mpaka ufuate mila yao."
Aya hii inaeleza kwamba baadhi ya watu kutoka dini nyingine hawatakubali na kuridhika na Uislamu au waumini wake hadi waumini hao wafuate njia yao ya maisha na imani. Inatufundisha umuhimu wa kushikamana na dini yetu ya Kiislamu bila kuyumba au kushawishiwa na mwelekeo wa watu wengine ambao huenda wana ajenda za kubadili imani yetu.
Mungu ajalie asijitokeze hater akajitoa mhanga .maana kuna watu wana akili finyu sana.... tena mbwa mwitu hatari wa jangwani!
Serikali mpya ya Syria imetangaza Krismasi kuwa sikukuu ya umma.
Ofisi za Serikali zitafungwa tarehe 25 na 26 Desemba ya kila mwaka.
Cc. Ritz
Cc. FaizaFoxy
View: https://x.com/visegrad24/status/1871516597107736691?t=-uBxA8srUJ7bZ61coYFMSg&s=08
BWANA awalinde sanaHakika