Syria yatangaza Krismasi kuwa Sikukuu ya umma

Syria yatangaza Krismasi kuwa Sikukuu ya umma

hakuna muislamu anamchukia mkristu
Yanayoendelea kaskazini mwa nigeria kumbe yanafanywa na wahindu?achilia mbali makundi ya kigaidi yanao ua na kutesa watu kila uchwao.

Pemba waliandamana kupinga ujenzi wa kanisa..give us a break mvaakobazi
 
 
Maneno hayo yanatokana na Aya ya Qur’an katika Surat Al-Baqara (2:120), ambayo inasema:

"Wala Mayahudi hawatoridhika nawe, wala Manasara, mpaka ufuate mila yao."

Aya hii inaeleza kwamba baadhi ya watu kutoka dini nyingine hawatakubali na kuridhika na Uislamu au waumini wake hadi waumini hao wafuate njia yao ya maisha na imani. Inatufundisha umuhimu wa kushikamana na dini yetu ya Kiislamu bila kuyumba au kushawishiwa na mwelekeo wa watu wengine ambao huenda wana ajenda za kubadili imani yetu.
Utumbo mtupu. Wangeridhikaje na dini feki ya uislam sawa na ukristo?
 
Sio hekima,walisaidiwa na NATO kumtoa Assad hawanabudi kufanya Yale yote wanayofanya waliowasaidia mpk ushoga wataruhusu Subiri uone
Ushoga ni matakwa ya mtu binafsi wala usiisingizie serikali unataka kusema hapo ulipo serikali ikisema ushoga ni ruksa nawe utafanya ushoga? Bilashaka ni hapana, ni mpaka uwe na chembechembe za ushoga ndipo utafanya ushoga.
 
Wasyria ni moja watu wa kwanza kwanza kabisa duniani kuupokea Ukristo. Walikuwa wakkristo kabla hata ya Waroma wa Roma.
 
Back
Top Bottom