Syria yatangaza Krismasi kuwa Sikukuu ya umma

Huyu mtawala mpya wa Syria na timu yake wana hekima na busara sana! Haya mataifa yanayojiita ya kidini ni tatizo. Huwezi kuwanyima wengine haki zao kwa kisingizio cha wingi au uchache.
Huyu Al Sharaa ameachana na zile itikadi kali za kidini.
imhotep
 
Mtume Mohamad mbona alikuwa anaitambua Christmass.
 

Attachments

  • Screenshot_20241224_163423_Facebook.jpg
    503 KB · Views: 3
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…