Syria yatangaza Krismasi kuwa Sikukuu ya umma

Ubalikiwe sana mtumish

Na huu ndo uzuri wa jamiiforum Maxence Melo soma madini hayo
 
Huyu mtawala mpya wa Syria na timu yake wana hekima na busara sana! Haya mataifa yanayojiita ya kidini ni tatizo. Huwezi kuwanyima wengine haki zao kwa kisingizio cha wingi au uchache.
Waislam wenye msimamo mkali wanasema hawajui historia yake and wanasema anafanana kisura na Zelensky so kuna uwezekano mkubwa kuwa ni myahudi haswa pale aliposema hataki vita na Israel na kusema Syria inahitaji kupumzika na fujo za Iran .
 
Waislam wenye msimamo mkali wanasema hawajui historia yake and wanasema anafanana kisura na Zelensky so kuna uwezekano mkubwa kuwa ni myahudi haswa pale aliposema hataki vita na Israel na kusema Syria inahitaji kupumzika na fujo za Iran .
Amani amani amani! That's its.
 
Wapi umeona au kusoma kwamba watu hao wanataka watu wa huko wafuate imani yao au haujui kusoma kilicho andikwa hapo juu unakurupuka tu na aya zako bila kuusanisha na habari iliyopo, wewe ndio unawafanya wengine waonekane sio kumbe shida ni wewe na misimamo yako ya chuki kwa wasio na imani yako.
 
Hahaha kunatetesi Msikiti wa Mtambani na wa Mtoro wanajiandaa kwa siku kuu ya Krismass pia.
 
Safi kabsa
 
Umeandika vyema sana lakini makobazi grade b ya kibongo hayataki kabsa kuelewa
 
Wapo sahihi. Kwenye hii karne ya 21 huwezi kumwamulia mtu mzima aamini dini yako moja tu ya kuhadithiwa, kila mtu awe huru kuamini anachoamini yeye.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…