Wanasema eti WakajibebeSasa kama hukutilia mashaka wakati wa uteuzi wa hayo majina kwanini Unatilia mashaka ushindi wao ?? Hivi unaelewa unachoongea kweli ??
Sasa unaposema hakuna alietegemea watashinda mbona mlikuwa mkipiga kura , kwanini hao mliokuwa mkitegemea watashinda si mngewapa tuzo mapema kwasababu ilijulikana watashinda.
Acheni kuishi kimazoea hao Malaya wa bongo movie hawana la maana zaidi ya scandals na ufuska.
# Kamwene
Sent using Jamii Forums mobile app
You're such a mediocre and low capacity thinker. Your brain is surely purified can't take argument logically.Umekalia skendo, mtu kama Monalisa, Johari , Gabo wana skendo gani? labda useme wema hapo sawa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe shida ni kupiga kura, kura ngapi zinapigwa halafu zinachakachuliwa,,, wewe mwenyewe maswali yangu kushindwa kuyajibu kunatia shaka kwamba wengine wengi walioshindwa kujibu kama wewe watawezaje kuwapigia kura watu wasiofahamika?? mtu kama Gabo , Monalisa, Johari , Wema wana Fan base kubwa sana kuliko wale watoto kana kwamba hata nusu tu wakipiga kura wanawazidi wale watoto
Pia nisije nikawa napeana challenge na mhehe maana hawezi kubali kua they don't deserve.
Sent using Jamii Forums mobile app
KamweneUmekalia skendo, mtu kama Monalisa, Johari , Gabo wana skendo gani? labda useme wema hapo sawa
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukweli watu wengi walioenda jana hawatizami picha za kibongo sasa hatuna vigezo vya kusema hii picha ni bora au huyu actor bora jana imekuwa ni kama watu kwenda kusikiliza tu. event ni kubwa kuliko movies zenyewe bora Azam wakafanya music awards sababu ni rahisi kujuwa ubora. halafu show inaenda 6 hours sijui ya nini, two or 3 hours ila imeshiba burudani. Azam mbona ni rahisi tu kucopy events zingine hata hilo gumu kwenu. burudani inaendelea watu wanapanda tu jukwaani kutunza wengine waonekane vitu vidogo lakini vinatoa ukubwa wa show, utasema tuko kumbi za taarab. mbona wako watu special wakuandaa hivi vitu hata kama hatuna hapa nchi jirani utapata tu.Hahaaaa!!yaani wamechemka Azam bora mwaka Jana aseeeh!!ni charity kabisaa...sio kwa upuuzi ile
Yaani Azam Jana ilikua kituko
Sent using Jamii Forums mobile app
Wengine tulikuwa tunafatilia toka mwanzo. Mkoa kwa mkoa.Ujanijibu kama nilivokuuliza , pia majina wakati wa uteuzi hakuna alietilia maanani maana hakuna alietegemea watashinda, pia watu wengi tumefuatilia tukio la mwisho ambalo n jana, process nzima toka uteuzi hata ww ukisema umefuatilia kuanzia mwanzo utakua muongo, pia jibu swali kama ulivoulizwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo sasa kwanza waishukuru Azam hao Bongo Movie maana walishaanza kusahaulika mpaka wenyewe wanakili toka Kanumba kafariki mambo hovyo.Hata ukiwauliza watu kumi wakutajie filamu alizotoa Gabo kipindi hiki ni mashaka matupu. Zaidi tumezoea kumuona mitandaoni, kazi zake watu hawazifatilii
Hahaha hili taifa hili " sasa kama pangekuwa na magaidi " si tayari wangekuwa wame shatekeleza mipango yao hapopp
_😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Mpe salam zangu nyingi huyo jamaaTupo tunafatilia mkuu,mgeni mwalikwa ni Shahzade Mustafa wa tamthilia ya Sultan.
Ahahah Sasa sijui alikua anamrusha roho nani yan alipania mwenyewe halafu akakwama na sura yake kama nguchiro mxiww
Sent from my iPhone using JamiiForums
Duuuuu
Nimesoma uwepo wa IRANs INDIANs hao nao walifika kuchukua tuzo zao au walituma watu ama Tuzo za hewani?
Hakuna kinachoshindikana hapa duniani. Tuzo kufika Iran au India ni dakika 5 tu.Nimesoma uwepo wa IRANs INDIANs hao nao walifika kuchukua tuzo zao au walituma watu ama Tuzo za hewani?