SZIFF 2019: Wadau wachukizwa na watoto kupewa tuzo za mwigizaji bora wa kike na kiume

SZIFF 2019: Wadau wachukizwa na watoto kupewa tuzo za mwigizaji bora wa kike na kiume

Sasa kama hukutilia mashaka wakati wa uteuzi wa hayo majina kwanini Unatilia mashaka ushindi wao ?? Hivi unaelewa unachoongea kweli ??


Sasa unaposema hakuna alietegemea watashinda mbona mlikuwa mkipiga kura , kwanini hao mliokuwa mkitegemea watashinda si mngewapa tuzo mapema kwasababu ilijulikana watashinda.


Acheni kuishi kimazoea hao Malaya wa bongo movie hawana la maana zaidi ya scandals na ufuska.

# Kamwene

Sent using Jamii Forums mobile app
Wanasema eti Wakajibebe
 
Kamweneee[emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Kumbe shida ni kupiga kura, kura ngapi zinapigwa halafu zinachakachuliwa,,, wewe mwenyewe maswali yangu kushindwa kuyajibu kunatia shaka kwamba wengine wengi walioshindwa kujibu kama wewe watawezaje kuwapigia kura watu wasiofahamika?? mtu kama Gabo , Monalisa, Johari , Wema wana Fan base kubwa sana kuliko wale watoto kana kwamba hata nusu tu wakipiga kura wanawazidi wale watoto

Pia nisije nikawa napeana challenge na mhehe maana hawezi kubali kua they don't deserve.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaaaa!!yaani wamechemka Azam bora mwaka Jana aseeeh!!ni charity kabisaa...sio kwa upuuzi ile

Yaani Azam Jana ilikua kituko

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukweli watu wengi walioenda jana hawatizami picha za kibongo sasa hatuna vigezo vya kusema hii picha ni bora au huyu actor bora jana imekuwa ni kama watu kwenda kusikiliza tu. event ni kubwa kuliko movies zenyewe bora Azam wakafanya music awards sababu ni rahisi kujuwa ubora. halafu show inaenda 6 hours sijui ya nini, two or 3 hours ila imeshiba burudani. Azam mbona ni rahisi tu kucopy events zingine hata hilo gumu kwenu. burudani inaendelea watu wanapanda tu jukwaani kutunza wengine waonekane vitu vidogo lakini vinatoa ukubwa wa show, utasema tuko kumbi za taarab. mbona wako watu special wakuandaa hivi vitu hata kama hatuna hapa nchi jirani utapata tu.
 
Ujanijibu kama nilivokuuliza , pia majina wakati wa uteuzi hakuna alietilia maanani maana hakuna alietegemea watashinda, pia watu wengi tumefuatilia tukio la mwisho ambalo n jana, process nzima toka uteuzi hata ww ukisema umefuatilia kuanzia mwanzo utakua muongo, pia jibu swali kama ulivoulizwa

Sent using Jamii Forums mobile app
Wengine tulikuwa tunafatilia toka mwanzo. Mkoa kwa mkoa.
 
carbamazepine
Karibu tuongee kizungu cha kukaririshwa
51691411_393937081182461_8558991043903316235_n.jpg
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]aiseeee
Ahahah Sasa sijui alikua anamrusha roho nani yan alipania mwenyewe halafu akakwama na sura yake kama nguchiro mxiww


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
wale watoto walitakiwa wawe kwenye category ya upcoming artists ila kwa jana wamechemka azam
 
Nimesoma uwepo wa IRANs INDIANs hao nao walifika kuchukua tuzo zao au walituma watu ama Tuzo za hewani?
 
Wakuu nilichoweza kuwaelewa Azam Tv juu ya hizi tuzo ni kwamba, wanatoa tuzo kwa filamu selected ambazo kwanza umiliki wake ni 100% upo chini ya wasanii husika. Wengi wa mastaa wa bongo movie hawana umiliki wa movie zao, wanaishia kucheza na kulipwa pesa basi. Sasa hawa Azam Tv ikifika msimu wa tuzo huwa kuna movies selected (kigezo nimekieleza hapo juu) wanakuwa wanazionesha mara kwa mara na kutaka watazamaji kuzipigia kura kwa categories tofauti tofauti.
Kwa upande mmoja wapo sahihi kwasababu wanawaamsha hawa mastaa wanaolalamika nao waanze kumiliki movies zao, lakini ninawashauri Azam Tv waboreshe vigezo vyao kwani kwa hali halisi ya sasa ya soko la filamu, ni ngumu sana wasanii wetu kumiliki movie....
 
Back
Top Bottom