Taa nyekundu ikikuwakia, simama, kuendelea na safari ni kujitakia kifo

Taa nyekundu ikikuwakia, simama, kuendelea na safari ni kujitakia kifo

Kuna zile story za kwamba unatoka na mtu chini hamna kitu yaan sijui nikikuambia chini unaelewa? Halafu tunakuja kukaa vizur kiuchumi anakuona wewe so kitu ni story ndefu ila mungu anajibu maombi nilipata hasira mnooo nikawa naomba mungu huyu mtu muadhibu Kwa namna yoyote
Mungu yupo nyie mungu yupo na anajibu yule mtu karud alipotoka ameanza moja Tena Kwa kipigo takatifu Allhamdullilah 🤲
Kumbe ni wewe umeniombea mabaya acha roho mbaya 🥵

Soon narudi kwenye game tena jiandae kisaikolojia 🤣
 
Njooni huku; naona kwenye ule uzi mwingine tumevamiwa na jinsia ya upande wa pili, ngoja tuwaachie.

Mahusiano ni kuvumiliana na kuchukuliana madhaifu yetu, ila kuna wakati unasema hapana, siwezi kuendelea.

Ladies, nini kilikutokea kwenye mahusiano kikafanya red light iwake kichwani na umuache mpenzi / mwenza / mume wako?

*Naanza: *

Mwanaume alikua mvivu, hajishughulishi, akili mgando na mlalamishi.
Kila akipata ajira hadumu anafukuzwa kwa sababu ya kutokujituma na malalamiko yasiyoisha (Ajira 3 tofauti in 2 years). Nilikua nalipa ada za wadogo zake, kodi nyumbani na majukumu mengine yote. Japo alikua na mema yake ila baada ya miaka miwili nilichoka na nikaona hakuna future. Niliomba uhamisho kazini kwenda mji mwingine, nilivyofika tu makao mapya, nikampiga kibuti.

── ⋆⋅☆⋅⋆ ──

CC:
nakwede97Aaliyyah
Sister AbigailBantu Lady
realMamyQashy Lilith
Atoto
Niwaheri
Lamomy
To yeye
Msweet
Chujio
Demi
ledada
Midekoo
Carleen
ABJ

Waiteni na wengine!
Hilo linaeleweka kitambo huña haja ya kujenga hoja.
Mwanaume ukiwa huna hela mwanamke anakuona tàkataka tuu.
 
Njooni huku; naona kwenye ule uzi mwingine tumevamiwa na jinsia ya upande wa pili, ngoja tuwaachie.

Mahusiano ni kuvumiliana na kuchukuliana madhaifu yetu, ila kuna wakati unasema hapana, siwezi kuendelea.
Ladies, nini kilikutokea kwenye mahusiano kikafanya red light iwake kichwani na umuache mpenzi / mwenza / mume wako?

*Naanza: *

Mwanaume alikua mvivu, hajishughulishi, akili mgando na mlalamishi.
Kila akipata ajira hadumu anafukuzwa kwa sababu ya kutokujituma na malalamiko yasiyoisha (Ajira 3 tofauti in 2 years). Nilikua nalipa ada za wadogo zake, kodi nyumbani na majukumu mengine yote. Japo alikua na mema yake ila baada ya miaka miwili nilichoka na nikaona hakuna future. Niliomba uhamisho kazini kwenda mji mwingine, nilivyofika tu makao mapya, nikampiga kibuti.

── ⋆⋅☆⋅⋆ ──

CC:
nakwede97Aaliyyah
Sister AbigailBantu Lady
realMamyQashy Lilith
Atoto
Niwaheri
Lamomy
To yeye
Msweet
Chujio
Demi
ledada
Midekoo
Carleen
ABJ

Waiteni na wengine!
Mtu mbinafsi nampiga kibuti kabla hakujakucha 😅
 
Nilikuwa na mwanaume ambaye anataka Mimi ndiyo niwe kichwa cha familia, just imagine familia iongozwe na mtu ambaye anatumia hisia badala ya akili, kuna kutoboa hapo kweli..??

Yeye kila kitu ajibu Ndiyo, ukimpa ideas hana challenges zozote zile, Ilikuwa ni mahusiano ambayo Mimi ndiyo natakiwa niwe na ultimatum, kwenye kila wazo yeye anataka kujua unawaza nini, utakachojibu ndicho atakachosema 'Sawa'..!

Wakati tukio hilo la kusikitisha likiendelea, Mimi nilikuwa nataka mwanaume ambaye ni KIONGOZI, ambaye ana akili kuniliko, mwanaume ambaye nitaweza Kumuheshimu na Kumsikiliza without second guessing, mwanaume ambaye sitakuwa natoa maelekezo bali tutakuwa tunajadiliana kwa kina, nikaona nitakuja msumbua bure kijana wa watu, akili za kaskazini hazitaki akili iliyolala..!!

Nikatembea mbele na Bwana, sahii niko na hekaheka moja matata sana, mnafanya mazungumzo mpaka hoja zinakuishia unanyanyua mikono juu mwendo wa mateka, and daaaaang', that is my thing..!!
 
Kuna zile story za kwamba unatoka na mtu chini hamna kitu yaan sijui nikikuambia chini unaelewa? Halafu tunakuja kukaa vizur kiuchumi anakuona wewe so kitu ni story ndefu ila mungu anajibu maombi nilipata hasira mnooo nikawa naomba mungu huyu mtu muadhibu Kwa namna yoyote
Mungu yupo nyie mungu yupo na anajibu yule mtu karud alipotoka ameanza moja Tena Kwa kipigo takatifu Allhamdullilah 🤲
Ndiyo maana hawa mabinti wa siku hizi wanataka hela mbele, washachoka na wengine waliona mama na dada zao walivyoteseka.

Nimefurahi kusikia huyo kimeo alishushwa chini na akaanza kukurudia kukuomba msaada. I hope ulimkandamiza vizuri kwenye kidonda asikie maumivu ya kutosha 😆😅
 
Mimi bhana ni story ndefu ila ni bonge la mwanaume, nikimfikiria nabaki nalia sana.!! 😭

Naweza kusema Mungu alinionyesha mwanaume ninayetakiwa kuwa naye ila kwa kunidolishia…. Unajua ile unapata kazi nzuri ina marupurupu ya kutosha na mshahara mkubwa bado dili za nje km zote?? Basi ndo nilikuwa mimi sasa..!! Niliokota dodo chini ya mnazi..!

Mpaka leo namlaani Mungu, ndiomana kuna muda siamini km yupo..!
Tuishie hapa nikiendelea kuna watu wanaojua kisa changu watanijua..!! 🥹
Daaah huwa inauma hiyo, pole beibs!
The universe will provide 🤍
 
Back
Top Bottom