Red black
JF-Expert Member
- Nov 29, 2019
- 5,962
- 17,648
Kumbe ni wewe umeniombea mabaya acha roho mbaya 🥵Kuna zile story za kwamba unatoka na mtu chini hamna kitu yaan sijui nikikuambia chini unaelewa? Halafu tunakuja kukaa vizur kiuchumi anakuona wewe so kitu ni story ndefu ila mungu anajibu maombi nilipata hasira mnooo nikawa naomba mungu huyu mtu muadhibu Kwa namna yoyote
Mungu yupo nyie mungu yupo na anajibu yule mtu karud alipotoka ameanza moja Tena Kwa kipigo takatifu Allhamdullilah 🤲
Soon narudi kwenye game tena jiandae kisaikolojia 🤣