Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Kuna kitu Cha kujifunza hapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Best mimi nimeweka kitako hapa kwenye comments yako ilikuwaje🤸🏿♀️Mimi bhana ni story ndefu ila ni bonge la mwanaume, nikimfikiria nabaki nalia sana.!! 😭
Naweza kusema Mungu alinionyesha mwanaume ninayetakiwa kuwa naye ila kwa kunidolishia…. Unajua ile unapata kazi nzuri ina marupurupu ya kutosha na mshahara mkubwa bado dili za nje km zote?? Basi ndo nilikuwa mimi sasa..!! Niliokota dodo chini ya mnazi..!
Mpaka leo namlaani Mungu, ndiomana kuna muda siamini km yupo..!
Tuishie hapa nikiendelea kuna watu wanaojua kisa changu watanijua..!! 🥹
MmmmhNdiyo maana hawa mabinti wa siku hizi wanataka hela mbele, washachoka na wengine waliona mama na dada zao walivyoteseka.
Nimefurahi kusikia huyo kimeo alishushwa chini na akaanza kukurudia kukuomba msaada. I hope ulimkandamiza vizuri kwenye kidonda asikie maumivu ya kutosha 😆😅
Ndugu zake wananiambia nimemroga ndugu Yao😀 nikawambia mganga wangu ni mungu na amempa alichostahiil😬Ndiyo maana hawa mabinti wa siku hizi wanataka hela mbele, washachoka na wengine waliona mama na dada zao walivyoteseka.
Nimefurahi kusikia huyo kimeo alishushwa chini na akaanza kukurudia kukuomba msaada. I hope ulimkandamiza vizuri kwenye kidonda asikie maumivu ya kutosha 😆😅
Duuuh kumkata mtu mkono tena 😳Mimi ubishi na wivu wa kipumbavu nilitoka 🏃🏽♀️Baada ya kupata story yake huko kwao kigoma aliwahi kumkata mpenzi wake mkono nikasema toba roho yangu.
Yaani ilikuwa akiwa na hasira anatetemeka mwili mzima huku jasho linamtoka hapo kapiga simu moja sijapokea ubize wa kazi 🤔Duuuh kumkata mtu mkono tena 😳
Bora ulitoka!
Pole my WiiMimi bhana ni story ndefu ila ni bonge la mwanaume, nikimfikiria nabaki nalia sana.!! 😭
Naweza kusema Mungu alinionyesha mwanaume ninayetakiwa kuwa naye ila kwa kunidolishia…. Unajua ile unapata kazi nzuri ina marupurupu ya kutosha na mshahara mkubwa bado dili za nje km zote?? Basi ndo nilikuwa mimi sasa..!! Niliokota dodo chini ya mnazi..!
Mpaka leo namlaani Mungu, ndiomana kuna muda siamini km yupo..!
Tuishie hapa nikiendelea kuna watu wanaojua kisa changu watanijua..!! 🥹
Tunakusubiri kwa hamu!Mm nilikuwa mbishi my dear ngoja nipike kwanza nakuja nisimulie huku nalia nikiwa nimeshiba 😂😂
Pole mamiiKuna zile story za kwamba unatoka na mtu chini hamna kitu yaan sijui nikikuambia chini unaelewa? Halafu tunakuja kukaa vizur kiuchumi anakuona wewe so kitu ni story ndefu ila mungu anajibu maombi nilipata hasira mnooo nikawa naomba mungu huyu mtu muadhibu Kwa namna yoyote
Mungu yupo nyie mungu yupo na anajibu yule mtu karud alipotoka ameanza moja Tena Kwa kipigo takatifu Allhamdullilah 🤲
Mmelala 😄Tunakusubiri kwa hamu!
BadoMmelala 😄
Hakuna Mungu wa hivyo huyo ni shetwani ndio husikiliza maombi mabaya, hivi unamuombeaje mtu mabaya na ulimpenda? Huo ndio upendo?Kuna zile story za kwamba unatoka na mtu chini hamna kitu yaan sijui nikikuambia chini unaelewa? Halafu tunakuja kukaa vizur kiuchumi anakuona wewe so kitu ni story ndefu ila mungu anajibu maombi nilipata hasira mnooo nikawa naomba mungu huyu mtu muadhibu Kwa namna yoyote
Mungu yupo nyie mungu yupo na anajibu yule mtu karud alipotoka ameanza moja Tena Kwa kipigo takatifu Allhamdullilah 🤲
Watu mna mlaani hadi Mungu 😐😂Mimi bhana ni story ndefu ila ni bonge la mwanaume, nikimfikiria nabaki nalia sana.!! 😭
Naweza kusema Mungu alinionyesha mwanaume ninayetakiwa kuwa naye ila kwa kunidolishia…. Unajua ile unapata kazi nzuri ina marupurupu ya kutosha na mshahara mkubwa bado dili za nje km zote?? Basi ndo nilikuwa mimi sasa..!! Niliokota dodo chini ya mnazi..!
Mpaka leo namlaani Mungu, ndiomana kuna muda siamini km yupo..!
Tuishie hapa nikiendelea kuna watu wanaojua kisa changu watanijua..!! 🥹
Karma is real. Ulifanya vyema kutokulipa kisasi ila ukamuacha Mungu mwenyewe alipe, Mungu akilipa huwa anamnyoosha mtu ipasavyo.Kuna zile story za kwamba unatoka na mtu chini hamna kitu yaan sijui nikikuambia chini unaelewa? Halafu tunakuja kukaa vizur kiuchumi anakuona wewe so kitu ni story ndefu ila mungu anajibu maombi nilipata hasira mnooo nikawa naomba mungu huyu mtu muadhibu Kwa namna yoyote
Mungu yupo nyie mungu yupo na anajibu yule mtu karud alipotoka ameanza moja Tena Kwa kipigo takatifu Allhamdullilah 🤲
Jama i mbona mie sipata wanawake wa namna hii wakulipia ada hadi wadogo zangu?Njooni huku; naona kwenye ule uzi mwingine tumevamiwa na jinsia ya upande wa pili, ngoja tuwaachie.
Mahusiano ni kuvumiliana na kuchukuliana madhaifu yetu, ila kuna wakati unasema hapana, siwezi kuendelea.
Ladies, nini kilikutokea kwenye mahusiano kikafanya red light iwake kichwani na umuache mpenzi / mwenza / mume wako?
*Naanza: *
Mwanaume alikua mvivu, hajishughulishi, akili mgando na mlalamishi.
Kila akipata ajira hadumu anafukuzwa kwa sababu ya kutokujituma na malalamiko yasiyoisha (Ajira 3 tofauti in 2 years). Nilikua nalipa ada za wadogo zake, kodi nyumbani na majukumu mengine yote. Japo alikua na mema yake ila baada ya miaka miwili nilichoka na nikaona hakuna future. Niliomba uhamisho kazini kwenda mji mwingine, nilivyofika tu makao mapya, nikampiga kibuti.
── ⋆⋅☆⋅⋆ ──
CC:
nakwede97 ⋆ Aaliyyah
Sister Abigail ⋆ Bantu Lady
realMamy ⋆ Qashy Lilith
Atoto ⋆ Niwaheri
Lamomy ⋆ To yeye
Msweet ⋆ Chujio
Demi ⋆ ledada
Midekoo ⋆ Carleen
ABJ
Waiteni na wengine!
Itakiwa jamaa alikuwa sio mvivu kitandani ndio maana bidada miaka miwili yupo tuuUtatusamehe tu kwakweli hatuwezi kuona uzi wa mahusiano tusiuchangie.
Sasa kwa huyu ni changamoto ya wazi kama hadi kazi alikuwa anapata then analeta uzembe huyu ni tatizo. Kama ulikuwa hadi unalipia ada za wadogo zake na kodi sasa yeye alikuwa ni nani kwako?
Anyways,usichukie wanaume sababu ya m'moja aliyekuvuruga kumbuka wewe ndie ulimchagua sisi hatukuwepo katika kutongozana kwenu.