Kumbe ni wewe umeniombea mabaya acha roho mbaya 🥵Kuna zile story za kwamba unatoka na mtu chini hamna kitu yaan sijui nikikuambia chini unaelewa? Halafu tunakuja kukaa vizur kiuchumi anakuona wewe so kitu ni story ndefu ila mungu anajibu maombi nilipata hasira mnooo nikawa naomba mungu huyu mtu muadhibu Kwa namna yoyote
Mungu yupo nyie mungu yupo na anajibu yule mtu karud alipotoka ameanza moja Tena Kwa kipigo takatifu Allhamdullilah 🤲
Nakuja my Wii kilio bila kushiba ni kupoteza nguvuWifi wahi nataka kucheka hapa 😹
Hilo linaeleweka kitambo huña haja ya kujenga hoja.Njooni huku; naona kwenye ule uzi mwingine tumevamiwa na jinsia ya upande wa pili, ngoja tuwaachie.
Mahusiano ni kuvumiliana na kuchukuliana madhaifu yetu, ila kuna wakati unasema hapana, siwezi kuendelea.
Ladies, nini kilikutokea kwenye mahusiano kikafanya red light iwake kichwani na umuache mpenzi / mwenza / mume wako?
*Naanza: *
Mwanaume alikua mvivu, hajishughulishi, akili mgando na mlalamishi.
Kila akipata ajira hadumu anafukuzwa kwa sababu ya kutokujituma na malalamiko yasiyoisha (Ajira 3 tofauti in 2 years). Nilikua nalipa ada za wadogo zake, kodi nyumbani na majukumu mengine yote. Japo alikua na mema yake ila baada ya miaka miwili nilichoka na nikaona hakuna future. Niliomba uhamisho kazini kwenda mji mwingine, nilivyofika tu makao mapya, nikampiga kibuti.
── ⋆⋅☆⋅⋆ ──
CC:
nakwede97 ⋆ Aaliyyah
Sister Abigail ⋆ Bantu Lady
realMamy ⋆ Qashy Lilith
Atoto ⋆ Niwaheri
Lamomy ⋆ To yeye
Msweet ⋆ Chujio
Demi ⋆ ledada
Midekoo ⋆ Carleen
ABJ
Waiteni na wengine!
Mtu mbinafsi nampiga kibuti kabla hakujakucha 😅Njooni huku; naona kwenye ule uzi mwingine tumevamiwa na jinsia ya upande wa pili, ngoja tuwaachie.
Mahusiano ni kuvumiliana na kuchukuliana madhaifu yetu, ila kuna wakati unasema hapana, siwezi kuendelea.
Ladies, nini kilikutokea kwenye mahusiano kikafanya red light iwake kichwani na umuache mpenzi / mwenza / mume wako?
*Naanza: *
Mwanaume alikua mvivu, hajishughulishi, akili mgando na mlalamishi.
Kila akipata ajira hadumu anafukuzwa kwa sababu ya kutokujituma na malalamiko yasiyoisha (Ajira 3 tofauti in 2 years). Nilikua nalipa ada za wadogo zake, kodi nyumbani na majukumu mengine yote. Japo alikua na mema yake ila baada ya miaka miwili nilichoka na nikaona hakuna future. Niliomba uhamisho kazini kwenda mji mwingine, nilivyofika tu makao mapya, nikampiga kibuti.
── ⋆⋅☆⋅⋆ ──
CC:
nakwede97 ⋆ Aaliyyah
Sister Abigail ⋆ Bantu Lady
realMamy ⋆ Qashy Lilith
Atoto ⋆ Niwaheri
Lamomy ⋆ To yeye
Msweet ⋆ Chujio
Demi ⋆ ledada
Midekoo ⋆ Carleen
ABJ
Waiteni na wengine!
😂😂😂 Acha basKumbe ni wewe umeniombea mabaya acha roho mbaya 🥵
Soon narudi kwenye game tena jiandae kisaikolojia 🤣
Ndo manake 😃😂😂😂 Acha bas
Ndio kauli nilikua namwambia bado anauvulana sio mwanaumeHuyo hakuwa mwanaume bado.
nilikua nakerekwa sana na hiyo kauliNdio kauli nilikua namwambia bado anauvulana sio mwanaume
Ndo ukwel inapaswa mtu wa miaka 30' act kama real man sio kavulana ka chuo mwaka wa kwanzanilikua nakerekwa sana na hiyo kauli
Hapana, siko tayari!Ukipata responsible man, mtu mwenye kupenda awe na functional family, kufa na kuzikana, uko tayari kuwa mke tena?
Kama uko tayari niambie nije pm.
Ni hilo tu au kulikuwa na lingine behind the scene 🙂Ndo ukwel inapaswa mtu wa miaka 30' act kama real man sio kavulana ka chuo mwaka wa kwanza
[emoji3][emoji3][emoji3] ni mengi ila Hilo la yeye kutambua na kunitambua Kwa kipind choteNi hilo tu au kulikuwa na lingine behind the scene [emoji846]
Daaah, nawaonea huruma hao wenzangu.Wenzako wanatafuta anayepumua tu hayo mengine hawaangalii.
Ukifika 30+ utaelewa vizuri huu ujumbe.
Haya mambo huwa yanaenda vice versa, ukikuta mume amenyooka, ni husband material haswa, basi mke mara nyingi anakuwa kimeo.
Ukikuta mke amenyooka kama wewe, ni wife material haswa, basi mume anakuwa goigoi kama huyo wako..
Aaaah narudi kwenye game kwa version nyingine jiandae mamilo🥵[emoji3][emoji3][emoji3] ni mengi ila Hilo la yeye kutambua na kunitambua Kwa kipind chote
HahahahaUongo,huu ni uongo
Ndiyo maana hawa mabinti wa siku hizi wanataka hela mbele, washachoka na wengine waliona mama na dada zao walivyoteseka.Kuna zile story za kwamba unatoka na mtu chini hamna kitu yaan sijui nikikuambia chini unaelewa? Halafu tunakuja kukaa vizur kiuchumi anakuona wewe so kitu ni story ndefu ila mungu anajibu maombi nilipata hasira mnooo nikawa naomba mungu huyu mtu muadhibu Kwa namna yoyote
Mungu yupo nyie mungu yupo na anajibu yule mtu karud alipotoka ameanza moja Tena Kwa kipigo takatifu Allhamdullilah 🤲
Daaah huwa inauma hiyo, pole beibs!Mimi bhana ni story ndefu ila ni bonge la mwanaume, nikimfikiria nabaki nalia sana.!! 😭
Naweza kusema Mungu alinionyesha mwanaume ninayetakiwa kuwa naye ila kwa kunidolishia…. Unajua ile unapata kazi nzuri ina marupurupu ya kutosha na mshahara mkubwa bado dili za nje km zote?? Basi ndo nilikuwa mimi sasa..!! Niliokota dodo chini ya mnazi..!
Mpaka leo namlaani Mungu, ndiomana kuna muda siamini km yupo..!
Tuishie hapa nikiendelea kuna watu wanaojua kisa changu watanijua..!! 🥹