Taa nyekundu ikikuwakia, simama, kuendelea na safari ni kujitakia kifo

Taa nyekundu ikikuwakia, simama, kuendelea na safari ni kujitakia kifo

Mshangazi dot com

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2011
Posts
1,345
Reaction score
3,503
Njooni huku; naona kwenye ule uzi mwingine tumevamiwa na jinsia ya upande wa pili, ngoja tuwaachie.

Mahusiano ni kuvumiliana na kuchukuliana madhaifu yetu, ila kuna wakati unasema hapana, siwezi kuendelea.
Ladies, nini kilikutokea kwenye mahusiano kikafanya red light iwake kichwani na umuache mpenzi / mwenza / mume wako?

*Naanza: *

Mwanaume alikua mvivu, hajishughulishi, akili mgando na mlalamishi.
Kila akipata ajira hadumu anafukuzwa kwa sababu ya kutokujituma na malalamiko yasiyoisha (Ajira 3 tofauti in 2 years). Nilikua nalipa ada za wadogo zake, kodi nyumbani na majukumu mengine yote. Japo alikua na mema yake ila baada ya miaka miwili nilichoka na nikaona hakuna future. Niliomba uhamisho kazini kwenda mji mwingine, nilivyofika tu makao mapya, nikampiga kibuti.

── ⋆⋅☆⋅⋆ ──

CC:
nakwede97Aaliyyah
Sister AbigailBantu Lady
realMamyQashy Lilith
Atoto
Niwaheri
Lamomy
To yeye
Msweet
Chujio
Demi
ledada
Midekoo
Carleen
ABJ

Waiteni na wengine!
 
Utatusamehe tu kwakweli hatuwezi kuona uzi wa mahusiano tusiuchangie.

Sasa kwa huyu ni changamoto ya wazi kama hadi kazi alikuwa anapata then analeta uzembe huyu ni tatizo. Kama ulikuwa hadi unalipia ada za wadogo zake na kodi sasa yeye alikuwa ni nani kwako?

Anyways,usichukie wanaume sababu ya m'moja aliyekuvuruga kumbuka wewe ndie ulimchagua sisi hatukuwepo katika kutongozana kwenu.
 
Kuna zile story za kwamba unatoka na mtu chini hamna kitu yaan sijui nikikuambia chini unaelewa? Halafu tunakuja kukaa vizur kiuchumi anakuona wewe so kitu ni story ndefu ila mungu anajibu maombi nilipata hasira mnooo nikawa naomba mungu huyu mtu muadhibu Kwa namna yoyote
Mungu yupo nyie mungu yupo na anajibu yule mtu karud alipotoka ameanza moja Tena Kwa kipigo takatifu Allhamdullilah 🤲
 
Utatusamehe tu kwakweli hatuwezi kuona uzi wa mahusiano tusiuchangie.

Sasa kwa huyu ni changamoto ya wazi kama hadi kazi alikuwa anapata then analeta uzembe huyu ni tatizo. Kama ulikuwa hadi unalipia ada za wadogo zake na kodi sasa yeye alikuwa ni nani kwako?

Anyways,usichukie wanaume sababu ya m'moja aliyekuvuruga kumbuka wewe ndie ulimchagua sisi hatukuwepo katika kutongozana kwenu.
Hupitwi
 
Kuna zile story za kwamba unatoka na mtu chini hamna kitu yaan sijui nikikuambia chini unaelewa? Halafu tunakuja kukaa vizur kiuchumi anakuona wewe so kitu ni story ndefu ila mungu anajibu maombi nilipata hasira mnooo nikawa naomba mungu huyu mtu muadhibu Kwa namna yoyote
Mungu yupo nyie mungu yupo na anajibu yule mtu karud alipotoka ameanza moja Tena Kwa kipigo takatifu Allhamdullilah 🤲
Wanaume hawana hizo kasumba. Tatizo lipo kwa wanawake.
 
UKIKUTA KESI ZA MAHUSIANO AU ZA NDOA 😂 USIEGEMEE UPANDE WOWOTE MAANA KILA IKICHOMOKA WANARUDISHIA KWA ZAMU MAKE SURE UNAWAAMBIA PENDANENI MAPENZI UJINGA WANATUSEMAGA FLANI KANISHAURI HIVI MBONA YAKE OVYO KABISA 😂
 
Mimi bhana ni story ndefu ila ni bonge la mwanaume, nikimfikiria nabaki nalia sana.!! 😭

Naweza kusema Mungu alinionyesha mwanaume ninayetakiwa kuwa naye ila kwa kunidolishia…. Unajua ile unapata kazi nzuri ina marupurupu ya kutosha na mshahara mkubwa bado dili za nje km zote?? Basi ndo nilikuwa mimi sasa..!! Niliokota dodo chini ya mnazi..!

Mpaka leo namlaani Mungu, ndiomana kuna muda siamini km yupo..!
Tuishie hapa nikiendelea kuna watu wanaojua kisa changu watanijua..!! 🥹
 
Back
Top Bottom