Taa yoyote nyekundu kwenye dashboard ya gari yako siyo ya kuipuuza

Taa yoyote nyekundu kwenye dashboard ya gari yako siyo ya kuipuuza

Hivi Airbag ni nini? Inafanyaje kazi[emoji848]

Sent from my TECNO KB8 using JamiiForums mobile app
Airbag ni puto linalojaa upepo ili kukukinga wewe Kama abiria au dereva was gari , pindi manapopata msukosuko was ajali

Majeruhi wa ajali za magari hutokea kutokana na kujibamiza kwenye kuta ,kioo au hata steraring, kwa sababu hiyo watengenezaji waliamua kuweka sensors ili Kama impact ni kubwa basi Kuna chemical reaction hutokea na airbags hujaa, kwa hiyo badala ya kichwa au kifua kujibamiza moja kwa moja , kitakutana na airbag hiyo na ndo usalama wenyewe

Hapo zamani hii feature ilikuwa ni optional lakini siku hizi ni standard feature
 
Hivi Airbag ni nini? Inafanyaje kazi[emoji848]

Sent from my TECNO KB8 using JamiiForums mobile app

1. Huu ni mfumo wa usalama ambao umewekwa kwenye gari ili kukulinda inapotokea ajali. Lakini sharti kuu uwe umevaa seatbelt.

2. Nakosa maelezo mazuri ya kuelezea ni jinsi gani inafanya kazi. Ila inapotokea ajali kuna mfuko huwa unajaa hewa. Kwa hiyo kama kujibamiza utajibamiza kwenye huo mfuko.
 
Airbag ni puto linalojaa upepo ili kukukinga wewe Kama abiria au dereva was gari , pindi manapopata msukosuko was ajali

Majeruhi wa ajali za magari hutokea kutokana na kujibamiza kwenye kuta ,kioo au hata steraring, kwa sababu hiyo watengenezaji waliamua kuweka sensors ili Kama impact ni kubwa basi Kuna chemical reaction hutokea na airbags hujaa, kwa hiyo badala ya kichwa au kifua kujibamiza moja kwa moja , kitakutana na airbag hiyo na ndo usalama wenyewe

Hapo zamani hii feature ilikuwa ni optional lakini siku hizi ni standard feature

Shukrani umeelezea vizuri sana.
 
Duuh hapo sasa ndo shida, ujue ile kibinadamu ukishaona tatizo ndilo linakukaa kichwani, so mi naendesha naona kawaida but nina uwoga nahisi naharibu kitu, na nahisi kuna tofauti

Okay... Yaani changamoto ya kuwaka check engine linaweza kuwa tatizo dogo tu kama air filter kuwa chafu lakini pia linaweza kuwa tatizo kubwa kama gearbox kwa upande wa automatic.

Ila relax tu... Kama kingekuwa ni kitu kinachohitaji attention basi ingekuwa taa nyekundu.
 
Okay... Yaani changamoto ya kuwaka check engine linaweza kuwa tatizo dogo tu kama air filter kuwa chafu lakini pia linaweza kuwa tatizo kubwa kama gearbox kwa upande wa automatic.

Ila relax tu... Kama kingekuwa ni kitu kinachohitaji attention basi ingekuwa taa nyekundu.
Mmmmh gear box?[emoji15][emoji15][emoji26]

Naomba Mungu aniepushie mbali mweeh, ndio maana naogopa kwenda kwa fundi[emoji26]
 
Liko kawaida sana, nilingia YouTube kucheck, danger signs & solution nikambulia patupu

Ngoja nitulie kwanza

Yaani hapo ndo kuna shida. Maana kuna matatizo zaidi ya 10 kwenye gari ambayo yanaweza kupelekea hiyo taa iwake. Ndio inakuwa rahisi zaidi kusolve endapo hiyo taa itawaka ikiwa imeambatana na hali fulani wakati wa uendeshaji.
 
Kuna watu dashboard inawaka mataa kama disco lights.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji849][emoji28][emoji1787][emoji1787] nimecheka asubuhi hii

Ngoja mida ya lunch time hapa ofisini, nipige picha dashboard ya gari la rafiki yangu niwatumie mcheke mpunguze stress

Yaan Kuna siku mpaka traffic alimuuliza hivi unawezaje kuendesha gari la namna hii

Mataa double double kama yote[emoji28]: ABS, CHECK ENGINE LIGHT, LOW FUEL INDICATOR, BATTERY ALERT, OIL PRESSURE LIGHT,TRACTION CONTROL LIGHT n.k

Mwenyewe Hana hata pressure, yaan mi nachekaga Sana, wanaume mna moyo[emoji16]
 
1. Huu ni mfumo wa usalama ambao umewekwa kwenye gari ili kukulinda inapotokea ajali. Lakini sharti kuu uwe umevaa seatbelt.

2. Nakosa maelezo mazuri ya kuelezea ni jinsi gani inafanya kazi. Ila inapotokea ajali kuna mfuko huwa unajaa hewa. Kwa hiyo kama kujibamiza utajibamiza kwenye huo mfuko.
Mbona still watu wanakufa Sasa, mbona hauwasaidii
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji849][emoji28][emoji1787][emoji1787] nimecheka asubuhi hii

Ngoja mida ya lunch time hapa ofisini, nipige picha dashboard ya gari la rafiki yangu niwatumie mcheke mpunguze stress

Yaan Kuna siku mpaka traffic alimuuliza hivi unawezaje kuendesha gari la namna hii

Mataa double double kama yote[emoji28]: ABS, CHECK ENGINE LIGHT, LOW FUEL INDICATOR, BATTERY ALERT, OIL PRESSURE LIGHT,TRACTION CONTROL LIGHT n.k

Mwenyewe Hana hata pressure, yaan mi nachekaga Sana, wanaume mna moyo[emoji16]

Hahahah... Huyo atakipata anachokitafuta siku siyo nyingi.
 
Back
Top Bottom