EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,711
- 35,644
Mzee mwenzangu wa gx110 grandeCheck engine light mkuuView attachment 1519922
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzee mwenzangu wa gx110 grandeCheck engine light mkuuView attachment 1519922
Ooops hiyo sio gari yangu dearMzee mwenzangu wa gx110 grande
SanaHapo sawa mkuu Bora urudi tu, familia kwanza
Wasouth wana tabia gani mbofumbofu?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Na mbaya zaidi tatizo moja husababisha matatizo mengine kutokea.
Niliwahi kuwa na hilo tatizo la taa ya check engine. Nikaidharau.
Gari ikaanza kunywa mafuta kuliko kawaida, gari ikaanza kuoverheat, radiator top cover ikapasuka, silencer ikapanda juu na gari ikakosa nguvu kabisa.
Hizo taa usizichukulie poa, tatizo la kutibu kwa 100k unakuja tibu matatizo 6 kwa 800K. Ndo yalonikuta mimi.
Safety features ni expensive kuziweka.
Gari ya mjapan inayoenda EU au US ni gharama sana kuliko hata za huyo mzungu kwasababu ya kuweka features kama za huyo mzungu.
Mkuu mimi gari yangu inawaka taa ya abs muda sana zaidi ya mwaka.ina maana siku yyt tairi zinaweza kujilock?na nauliza tu spea za volvo zinapatikana uko nyumbani?
Maana nina wazo la kuja nalo uko .nishachoka na maisha ya stress ya south africa
Waswahili Wana msemo "wasiwasi ndiyo akili"
Kama Mimi nikiona sign yeyote Kwenye gari lazima niende Kwa fundi immediately kwasabb sijui mambo ya ufundi kiundani zaidi pia Kwa mtu ambaye Hana uzoefu wa kutosha wa Magari ni Bora akimbilie Kwa fundi baada ya kugundua hitilafu
Check engineView attachment 1519523
View attachment 1519524
Asilimia kubwa ya magari huwa yanakuwa na warning lights(taa za tahadhari) za aina tatu. Aina hizi nitazitofautisha kulingana na rangi za hizo warning lights. Aina hizo ni kama ifuatavyo....
Asante sana.
Nimesoma post za magari alama za barabarani, vitu kibaaoo.
Sasa nasubiri Uzi wa LESENI tu
Nimesha graduate tayari. Nipeni leseni
Check engine
Mimi magari yangu nanunua Ulaya na Marekani Zero KM.
Hapo si umestart gari iyo vinaonesha ivyo vitu vipo activeView attachment 2420117Yangu kama miti ya krismass lakini naishi nayo tu
Hiyo taa ya njano kushoto pembeni ya blue usiipuuzieView attachment 2420117Yangu kama miti ya krismass lakini naishi nayo tu
Taa ya kijanj au bluu ni taarifa tu.Kwangu nikiwasha gari inawaka taa ya coolant ya kijani na kuzima dakika nne au tano ninapokuwa kwenye mwendo, na hapo haiwaki tena mpaka nitakapo washa gari tena.