Taa yoyote nyekundu kwenye dashboard ya gari yako siyo ya kuipuuza

Taa yoyote nyekundu kwenye dashboard ya gari yako siyo ya kuipuuza

Mbona still watu wanakufa sasa, mbona haiwasaidii

Airbag siyo life assurance. Kusalimika au kufa inaweza kutegemea na vitu kadhaa mfano:-

1. Speed unayotembea na uzito wa mwili wako. Mfano kama una 60kg na unatembea kwa 50km/h unayo chance ya kusurvive bila jeraha au majeraha madogo ikiwa umegonga kitu ambacho kimesimama. Kama tukiongeza uzito na speed basi its a dufferent story.

2. Speed anayotembea uliyegongana naye.

3. Safety rating ya gari yako. Gari za mjapani nyingi ambazo watu wanaendesha mtaani unakuta zina airbag mbili tu, wakati za mzungu unakuta zina airbag hata 10. Je, hapo unategemea mtakuwa sawa?
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji849][emoji28][emoji1787][emoji1787] nimecheka asubuhi hii

Ngoja mida ya lunch time hapa ofisini, nipige picha dashboard ya gari la rafiki yangu niwatumie mcheke mpunguze stress...
Huyo muda si mrefu anaenda kulizima gari kwa kuchoma engine.

Rafiki yangu ameua engine miezi mitatu iliyopita na gari lilizima pale foleni ya lugalo. Ameingia gharama kubadiri engine mpya kwa kudharau hizo taa
 
Mtundu sana huyu jamaa

Huwa ananiambia " yaan Diana ukiliendekeza gari utashindwa kupumua, mi nachojua ni kukamata usukani tu"

Huwa nacheka balaa[emoji28][emoji28][emoji1787]

Gari linataka hela. Kuna matatizo ambayo ni sensitive na huwezi acha kuyasolve. Mfano kama hiyo taa yake ya Oil pressure kuna siku tu atajikuta amekaanga engine yake halafu aingie gharama kubwa.

Wakati kama angekagua mapema angeweza kukuta tu hata ni suala la kuongeza oil tu au angeweza kuta kuna sehemu inavuja wakaziba basi akawa amesave.
 
Gari linataka hela. Kuna matatizo ambayo ni sensitive na huwezi acha kuyasolve. Mfano kama hiyo taa yake ya Oil pressure kuna siku tu atajikuta amekaanga engine yake halafu aingie gharama kubwa. Wakati kama angekagua mapema angeweza kukuta tu hata ni suala la kuongeza oil tu au angeweza kuta kuna sehemu inavuja wakaziba basi akawa amesave.
Ngoja nimuoneshe hii comment now
 
Huyo muda si mrefu anaenda kulizima gari kwa kuchoma engine.

Rafiki yangu ameua engine miezi mitatu iliyopita na gari lilizima pale foleni ya lugalo. Ameingia gharama kubadiri engine mpya kwa kudharau hizo taa

Magari bhana yaani ubahili kwenye kitu kidogo tu unaweza kukufanya ujaja kutoa laki kadhaa once tatizo litakapokuwa kubwa.
 
Airbag siyo life assurance. Kusalimika au kufa inaweza kutegemea na vitu kadhaa mfano:-

1. Speed unayotembea na uzito wa mwili wako. Mfano kama una 60kg na unatembea kwa 50km/h unayo chance ya kusurvive bila jeraha au majeraha madogo ikiwa umegonga kitu ambacho kimesimama. Kama tukiongeza uzito na speed basi its a dufferent story...
Duuuh, ama kweli

Sema na siku zako zikifika lazima usepe
 
But mjapan na mjerumani si ndio inaaminika wana vitu Bora duniani?

Bei ya gari la mzungu ni noma, zote used zinaanza na $14,000

Usipime

Kama ubora kwa maana ya durability, sawa!

Ila kama ni safety basi mzungu yuko juu.

Ukiangalia safety rating gari nyingi za mzungu zimepewa 5 star wakati za mjapani nyingi ni 1 star mlaka 3 star.
 
Nina tatizo kama hili, tatizo fundi wangu anapenda sana hela, hata kama tatizo dogo,naendelea kumute kwanza.. naendelea kudrive hivyo hivyo nikisaka hela, inaweza niletea shida mkuu?
Umekosea Mkuu taa ya check engine sio ya kupuuzia hata kidogo tena ni Bora ulipaki Kwanza Hilo gari kuliko kuendesha huwezi jua ni nini kinazidi kufa hasa ndani ya engine.

Sikuzote gari linahitaji nidhamu ili uweze kudumu nalo
 
Back
Top Bottom