Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We mpumbavu sana, sasa mtu umekopa hela ya watu unataka ushauriwe nini zaidi ya kulipa deni?kaa kimya kama auna cha kushauri
Pesa za Mama hizo we bweghe, acha vijana wachangamkie fursaHizo chats za Whatsapp inaonesha umegoma kulipa deni la watu, hujadhalilishwa ila umejidhalilisha. Napenda mkomeshwe namna hiyo maana mna ugaigai mwingi kulipa madeni
Cledity ndo nini?Nimepitia udhalilishaji wa kimtandao naomba kupata utaratibu nifanyeje tafadhali.
Wamenidhalilisha vibaya mno wameniundia mpaka group, wameadd ndugu zangu na marafiki wakidai ni tapeli nimekaidi kulipa mkopo wao na matusi juu.
Kampuni inaitwa Credit Land
View attachment 2955837
Kwahiyo hii kampuni ya creditland ipo kweli? Maana na mimi nimepata message kuwa niliyemdhamini ni tapeli wakati sijamdhamini yeyoteUmeyakanyaga mzee,alafu walivyo na riba za ajabu usikute kwenye hiyo hela uliambulia 150k tu!
Mkuu kuweni na busara hakuna anaependa kudaiwa huwezi juwaWe mpumbavu sana, sasa mtu umekopa hela ya watu unataka ushauriwe nini zaidi ya kulipa deni?
Wafungulie kesi hawa wakulipeNimepitia udhalilishaji wa kimtandao naomba kupata utaratibu nifanyeje tafadhali.
Wamenidhalilisha vibaya mno wameniundia mpaka group, wameadd ndugu zangu na marafiki wakidai ni tapeli nimekaidi kulipa mkopo wao na matusi juu.
Kampuni inaitwa Credit Land
View attachment 2955837