Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi ukinidhalilisha hivyo ujue ndio tumemalizana hapo, hutopata hata senti yangu tena. Sasa utapima mwenyewe faida na hasara za maamuzi yako ya hovyo.Hivi hili swala mbona hazipiti siku mbili watu mnakuja kulia humu achaneni na mikopo hiyo mkope haya mshikaji sio unakopa kopa tu.Pia wabongo kulipa maden bibwagum sana acha mzalilishwe akili iwakae sawa
Sema shida mara zote, haina adabu, hawa siyo wakuwakopa kopa kabisa.Hivi hili swala mbona hazipiti siku mbili watu mnakuja kulia humu achaneni na mikopo hiyo mkope haya mshikaji sio unakopa kopa tu.Pia wabongo kulipa maden bibwagum sana acha mzalilishwe akili iwakae sawa
Watanzania wengi ni wapumbavu...taarifa binafsi si kawapa mwenyewe?Mkuu kuweni na busara hakuna anaependa kudaiwa huwezi juwa
Umetoa solution na madongo juu😆😆😆🙌nenda ofisini kwao kawalipe lakini na wewe kusanya ushahidi wa defamation mtafute peter kibatala kama utaweza kumlipa
yani wao tu hujawalipa ndo utaweza kumlipa kibatala mbona kama najitesa kutoa ushauri
lakini navyokuona utawaweza kwa njia moja tafuta uchawi waloge sababu ukienda kwa mganga wa kienyeji hutaweza kumlipa
Hujifiche ❌ ujifiche✔️, udharirishwe ❌ udhalilishwe✔️Hao watu unatakiwa uwa face sio hujifiche.
Wakituma message unawajibu wakitaka ujue upo wapi unawaambia. Kama wanahisi wanatapeliwa basi kwanini wasiripoti polisi?
Haimaanishi ukidaiwa basi udharirishwe?
Wangapi wana mikopo na taasisi mbalimbali na wameshindwa kuilipa kwa wakati? Wangekuwa wanafanyiwa hivyo kama wewe si mjini yangejaa mabango na mitandaoni zingejaa jumbe za madeni ya watu na taasisi walizokopa...