Lovelovie
JF-Expert Member
- Oct 2, 2021
- 12,582
- 26,053
Hawana cha kukufanyaNimepitia udhalilishaji wa kimtandao naomba kupata utaratibu nifanyeje tafadhali.
Wamenidhalilisha vibaya mno wameniundia mpaka group, wameadd ndugu zangu na marafiki wakidai ni tapeli nimekaidi kulipa mkopo wao na matusi juu.
Kampuni inaitwa Credit Land
View attachment 2955837