Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo itakuwa Mloganzila mkuu..Hizi hospital zetu shida tupu!
Hiyo picha ya kwanza mbona anafanyiws matibabu huku akiwa amevaa suruali na kachumba ni km kadogo km choo, ila pia hicho kiti alichokaliwa ni kweli Hiyo ni hospital iliyopo India??
Na huyu jamaa anaemfungua/funga mguu ni mhindi kweli, mbona km mweusi??
Km bi hivyo basi Bora hata angetibiwa akiwa Tanzania!
Sasa ndo wabongo wanataka hilo.mimi ningekuwa yeye napiga picha kabisa mbele ya bango la hospitali na daktari anaenitibu halafu nisikie mtu anapiga kelele
wewe nawe uwe unajiongeza kufikiri basiii ..hapo umeiona taarifa ya hospital au umeiona taarifa ya kutoka kwa kiongozi wa bongo movie..kuna taarifa yoyote iliyoambatana na muhuri wa hospital husika ..au huyo kiongozi wa bongo movie ndio ameshakuwa afisa habari wa hiyo hospital...halafu hta kujiuliza pia washindwa wajua ana ukaribu upi na wastara mpka ashindwe kumtetea ..aiseeee bado tunakazi kubwa mnooo kama taifaSasa wabongo kwa kujifanya wajuaji ooohhhh sijui Cannula imekaaje .
Achen mbwembwe zenu bana , hamna MTU anayeweza kutumia ugonjwa wake kujistarehesha.
KILIO CHA MTU MZIMA HUWA KINA UCHUNGU BANA !!.
Mliniboa sana nyote mlokalia kumponda mwanadada huyu.
uwezo huo hana ndio maana anahaha baada yakujua kuwa tumeshtuka kuwa ametunywesha chai..in short hayupo huko anapotaka tuamini kuwa yupo ..angeshayafanya yote hayo tena chap kwa harakamimi ningekuwa yeye napiga picha kabisa mbele ya bango la hospitali na daktari anaenitibu halafu nisikie mtu anapiga kelele
Umeshtuka baada ya kushtushwa na da'Mange sio?uwezo huo hana ndio maana anahaha baada yakujua kuwa tumeshtuka kuwa ametunywesha chai..in short hayupo huko anapotaka tuamini kuwa yupo ..angeshayafanya yote hayo tena chap kwa haraka
aiseee sina app ya InstaUmeshtuka baada ya kushtushwa na da'Mange sio?
Kwa hyo hyo dokta kwisa aliyemshika mguu nae kaajiliwa India ucku izi ? Lini aliacha kaz mwananyamala ?![]()
Siku ya February 10, 2018 imetolewa taarifa na Masoud Kaftany ambaye ni Afisa Habari, Uenezi , Mahusiano katika chama cha Waigizaji Kinondoni, kuhusu Muigizaji Wastara Juma taarifa hiyo inasema Wastara ameshafanyiwa Vipimo (Operation ) na anaendelea kupatiwa Matibabu.
Muigizaji Wastara ambaye yupo katika Hospitali ya Saifee (Mumbai ) Nchini India anaendelea vizuri na siku hiyo ya jana alitembelewa hospitalini na Muigizaji wa Bongomovie REGINA KAOLE ambaye yupo Mumbai nchini India kwa shughuli zake za kikazi.
Wanatasnia na wadau wa filam nchini wanaombwa kuzidi kumuombea Muigizaji huyo Wastara ili apone Haraka na kurejea nchini salama.
![]()
Chanzo: Mallard Ayo.
Hivi ni kwanini alifuta picha za Canula challenge? HahahahYaani mnatia huruma mlivyo "setiwa". Mmekua kama misukule.
Kamuulize da'Mange, atakujibu.Hivi ni kwanini alifuta picha za Canula challenge? Hahahah
aiseee watu mna data ..kama Google hahaaaKwa hyo hyo dokta kwisa aliyemshika mguu nae kaajiliwa India ucku izi ? Lini aliacha kaz mwananyamala ?
Hahaha haha mange katufundisha aiseeaiseee watu mna data ..kama Google hahaaa
Mbona kwa Tundu Lissu taarifa alikuwa anatoa Mbowe na Msigwa kwani madaktari hawakuwepo?!!......Ni mfano tu lakini wakuu!!wewe nawe uwe unajiongeza kufikiri basiii ..hapo umeiona taarifa ya hospital au umeiona taarifa ya kutoka kwa kiongozi wa bongo movie..kuna taarifa yoyote iliyoambatana na muhuri wa hospital husika ..au huyo kiongozi wa bongo movie ndio ameshakuwa afisa habari wa hiyo hospital...halafu hta kujiuliza pia washindwa wajua ana ukaribu upi na wastara mpka ashindwe kumtetea ..aiseeee bado tunakazi kubwa mnooo kama taifa
vijana wengi mnooo ambao tuna waita wasomi bado nimabongo lala
cannula!leo naona amechomwa right side tuendelee kumuombea