Taarifa kutoka hospitali aliyopo Wastara kuhusu matibabu yake

Taarifa kutoka hospitali aliyopo Wastara kuhusu matibabu yake

Hizi hospital zetu shida tupu!

Hiyo picha ya kwanza mbona anafanyiws matibabu huku akiwa amevaa suruali na kachumba ni km kadogo km choo, ila pia hicho kiti alichokaliwa ni kweli Hiyo ni hospital iliyopo India??

Na huyu jamaa anaemfungua/funga mguu ni mhindi kweli, mbona km mweusi??


Km bi hivyo basi Bora hata angetibiwa akiwa Tanzania!
Hiyo itakuwa Mloganzila mkuu..
 
Sasa wabongo kwa kujifanya wajuaji ooohhhh sijui Cannula imekaaje .

Achen mbwembwe zenu bana , hamna MTU anayeweza kutumia ugonjwa wake kujistarehesha.

KILIO CHA MTU MZIMA HUWA KINA UCHUNGU BANA !!.

Mliniboa sana nyote mlokalia kumponda mwanadada huyu.
wewe nawe uwe unajiongeza kufikiri basiii ..hapo umeiona taarifa ya hospital au umeiona taarifa ya kutoka kwa kiongozi wa bongo movie..kuna taarifa yoyote iliyoambatana na muhuri wa hospital husika ..au huyo kiongozi wa bongo movie ndio ameshakuwa afisa habari wa hiyo hospital...halafu hta kujiuliza pia washindwa wajua ana ukaribu upi na wastara mpka ashindwe kumtetea ..aiseeee bado tunakazi kubwa mnooo kama taifa

vijana wengi mnooo ambao tuna waita wasomi bado nimabongo lala
 
mimi ningekuwa yeye napiga picha kabisa mbele ya bango la hospitali na daktari anaenitibu halafu nisikie mtu anapiga kelele
uwezo huo hana ndio maana anahaha baada yakujua kuwa tumeshtuka kuwa ametunywesha chai..in short hayupo huko anapotaka tuamini kuwa yupo ..angeshayafanya yote hayo tena chap kwa haraka
 
uwezo huo hana ndio maana anahaha baada yakujua kuwa tumeshtuka kuwa ametunywesha chai..in short hayupo huko anapotaka tuamini kuwa yupo ..angeshayafanya yote hayo tena chap kwa haraka
Umeshtuka baada ya kushtushwa na da'Mange sio?
 
WAST1-480x400.png

Siku ya February 10, 2018 imetolewa taarifa na Masoud Kaftany ambaye ni Afisa Habari, Uenezi , Mahusiano katika chama cha Waigizaji Kinondoni, kuhusu Muigizaji Wastara Juma taarifa hiyo inasema Wastara ameshafanyiwa Vipimo (Operation ) na anaendelea kupatiwa Matibabu.

Muigizaji Wastara ambaye yupo katika Hospitali ya Saifee (Mumbai ) Nchini India anaendelea vizuri na siku hiyo ya jana alitembelewa hospitalini na Muigizaji wa Bongomovie REGINA KAOLE ambaye yupo Mumbai nchini India kwa shughuli zake za kikazi.

Wanatasnia na wadau wa filam nchini wanaombwa kuzidi kumuombea Muigizaji huyo Wastara ili apone Haraka na kurejea nchini salama.

WhatsApp-Image-2018-02-10-at-10.39.46-PM.jpeg


Chanzo: Mallard Ayo.
Kwa hyo hyo dokta kwisa aliyemshika mguu nae kaajiliwa India ucku izi ? Lini aliacha kaz mwananyamala ?
 
wewe nawe uwe unajiongeza kufikiri basiii ..hapo umeiona taarifa ya hospital au umeiona taarifa ya kutoka kwa kiongozi wa bongo movie..kuna taarifa yoyote iliyoambatana na muhuri wa hospital husika ..au huyo kiongozi wa bongo movie ndio ameshakuwa afisa habari wa hiyo hospital...halafu hta kujiuliza pia washindwa wajua ana ukaribu upi na wastara mpka ashindwe kumtetea ..aiseeee bado tunakazi kubwa mnooo kama taifa

vijana wengi mnooo ambao tuna waita wasomi bado nimabongo lala
Mbona kwa Tundu Lissu taarifa alikuwa anatoa Mbowe na Msigwa kwani madaktari hawakuwepo?!!......Ni mfano tu lakini wakuu!!
 
Jamani dada alikua anaumwa ndio maana akaomba msaada,hai make sense afanyie usanii jambo ambalo lilikua linamsumbua ,acheni kumsakama dada wa watu kisa Mange kasema...
 
Back
Top Bottom