Yaani ukipewa Msaada unageuka kuwa mtumwa maana itakulazimu kuwahakikishia Raia kuwa ule Msaada unatumika kama ilivyopangwa.
Ndo maana Wastara anaangaika hivi, mara picha atume, mara ajirekodi tu-clip kidogo atume,
Sasa anapofanya yote hayo lazima ajiweke fresh katika suala zima la cosmetics huwezi kukurupuka maana wabongo mngeanza maneno yenu "ooohh hata kama kuumwa ndo uwe rough hivyo"
Afu watu hawajui kitu kimoja, unapoenda kutibiwa nje au hata hapa nchini lkn upo kibinafsi au Upo grade kama inavyojulikana Basi unaishi kama Mfalme unakuwa kama Upo home tu because you pay for all services.
Hii ndo Inaitwa operation monickbird....... Yaani uongo uenezwa kwa kasi mpaka watu uamini ni kweli kama Mange Kimambi alivyofanya kwa Wastara.