Taarifa kutoka hospitali aliyopo Wastara kuhusu matibabu yake

Taarifa kutoka hospitali aliyopo Wastara kuhusu matibabu yake

Yaani ukipewa Msaada unageuka kuwa mtumwa maana itakulazimu kuwahakikishia Raia kuwa ule Msaada unatumika kama ilivyopangwa.

Ndo maana Wastara anaangaika hivi, mara picha atume, mara ajirekodi tu-clip kidogo atume,
Sasa anapofanya yote hayo lazima ajiweke fresh katika suala zima la cosmetics huwezi kukurupuka maana wabongo mngeanza maneno yenu "ooohh hata kama kuumwa ndo uwe rough hivyo"

Afu watu hawajui kitu kimoja, unapoenda kutibiwa nje au hata hapa nchini lkn upo kibinafsi au Upo grade kama inavyojulikana Basi unaishi kama Mfalme unakuwa kama Upo home tu because you pay for all services.

Hii ndo Inaitwa operation monickbird....... Yaani uongo uenezwa kwa kasi mpaka watu uamini ni kweli kama Mange Kimambi alivyofanya kwa Wastara.
Dunia ngumu sana hii
 
Hiyo taarifa kutoka hospitali aliyopo wastara ipo wapi?

Mbona mie hata siioni, au wenzangu nyie mmeiona?.

Masoud Kaftany ni msemaji wa waigizaji. Sio msemaji wa saifee hospital (Mumbai).
Hapana mkuu, sijaona pia!
 
wewe nawe uwe unajiongeza kufikiri basiii ..hapo umeiona taarifa ya hospital au umeiona taarifa ya kutoka kwa kiongozi wa bongo movie..kuna taarifa yoyote iliyoambatana na muhuri wa hospital husika ..au huyo kiongozi wa bongo movie ndio ameshakuwa afisa habari wa hiyo hospital...halafu hta kujiuliza pia washindwa wajua ana ukaribu upi na wastara mpka ashindwe kumtetea ..aiseeee bado tunakazi kubwa mnooo kama taifa

vijana wengi mnooo ambao tuna waita wasomi bado nimabongo lala
Kuna wapumbavu wengi sana humu mitandaoni..

Tangu lini taarifa ya hospital ikawa ni public property!?
 
Sisi mazezeta tutamsikiliza kichaa mwenzetu ndo anataarifa ya kweli...
 
Wabongo ni watu wa choko choko. Basi mwenzao kupewa msaada wa pesa za matibabu imekuwa nongwa utadhani pesa zimetoka mifukoni mwao.
Mi naona ni 15 mil alizopewa na rais ndo zinawafanya watu wanaongea ovyo. Zimewauma balaa. Nafikiri angekufa pia wangemlaumu rais why hata hakutaka kumsaidia wastara akatibiwa. So watz wazembe kufanya kazi wamekalia majungu tu
 
Hiyo picha anayoonekana amekalia viti vya plastic itakuwa ya Tanzania. Hospitali za India hawana viti vya plastic!
Guys mwacheni kumpa stress wastara aiii. Mi nimekaa india naijua vizuri hata mumbai nishafika, nliugua nikaenda kutibiwa appolo hospital ya bangarole nlikalia viti vya plastik kama cha alichokalia wastara. India ni kama bongo tu wala haina tofauuti labda barabara za flyover ni nyingi kuliko kwetu. Ila mambo mengine ni kama dar tu.
 
Back
Top Bottom