Taarifa kutoka hospitali aliyopo Wastara kuhusu matibabu yake

Taarifa kutoka hospitali aliyopo Wastara kuhusu matibabu yake

WAST1-480x400.png

Siku ya February 10, 2018 imetolewa taarifa na Masoud Kaftany ambaye ni Afisa Habari, Uenezi , Mahusiano katika chama cha Waigizaji Kinondoni, kuhusu Muigizaji Wastara Juma taarifa hiyo inasema Wastara ameshafanyiwa Vipimo (Operation ) na anaendelea kupatiwa Matibabu.

Muigizaji Wastara ambaye yupo katika Hospitali ya Saifee (Mumbai ) Nchini India anaendelea vizuri na siku hiyo ya jana alitembelewa hospitalini na Muigizaji wa Bongomovie REGINA KAOLE ambaye yupo Mumbai nchini India kwa shughuli zake za kikazi.

Wanatasnia na wadau wa filam nchini wanaombwa kuzidi kumuombea Muigizaji huyo Wastara ili apone Haraka na kurejea nchini salama.

WhatsApp-Image-2018-02-10-at-10.39.46-PM.jpeg


Chanzo: Millard Ayo.
Mimi niliamuwa kukaa kimya lakini sasa navunja ukimya, kuna tatizo kwa huyu Wastara.

Hiyo picha hapo juu huyo muuguzi/ daktari? Ni pure mbongo ksbisa, na binafsi huwezi kuniaminisha eti India wana uhaba wa madaktari mpaka wamuajiri Muafrica kwenye hosputali zao.

Kuna kitu hakiko sawa, kwenye tukio lolote la kiharifu ni mara chache sana waharifu kutokuacha xbit cha kurahisisha uchunguzi, something fishy katika hili open ur eyes.

Isitoshe taarifa ya hospitali huwa inatolewa na Ofisa uhusiano wa hospitali husika na siyo na Mbongo movie.
 
Ulichokiongea ni 100%. Yaaan tuna wasanii nabaadhi ya viongozi wa kisiasa wanaoshangaza sanaaa .

Sijui nikwann hatuna kasumba ya kuinvest kwabaadae.
Hichi kinachoendelea kwa mgonjwa huyu, wacha iwe funzo kwake na kwa wengine,

Simuonei huruma, sitafanya hivyo, kwa sababu ni mpuuzi,

Aliomba mwanzoni akapewa, Mungu akampa nafasi nyingine akajisahau, tena karudi kwa staili ile ile, kwan tz wenye uhitaji wa kuonewa huruma ni yy peke yake?

Redio free afrika kila j2 kuna kipindi pale kuanzia SAA mbili asubuhi, mkuu watu wana matatizo

Penda kutembelea Hosp uone watu walivyo na mazito, huna pesa hupati matibabu, na hata ukilia hakuna ataejali sauti wala machozi yako, kwa sababu hakuna anokujua

Bora nikanywe pombe kuliko kumchangia MTU aina ya huyu, asiyejua maana ya uwepo wake duniani
 
Guys mwacheni kumpa stress wastara aiii. Mi nimekaa india naijua vizuri hata mumbai nishafika, nliugua nikaenda kutibiwa appolo hospital ya bangarole nlikalia viti vya plastik kama cha alichokalia wastara. India ni kama bongo tu wala haina tofauuti labda barabara za flyover ni nyingi kuliko kwetu. Ila mambo mengine ni kama dar tu.
Haya ndio madhara ya degree za India unakuwa mpumbavu wa kiwango cha PhD.

Mimi nimetimba India tangu Mumbai ikiitwa Bombay lakini huwezi kulinganisha na Dar wacha longolongo zako.
 
aiseee kumbe umeona ..hahaa ana wiving then kasuka ..hii Kali aisee..kwahiyo amelazwa huku anasuka huko huko hospital


Sasa unataka alale hospitali kama yupo kwa Sangoma?
 
Wabongo watu waajabu sana !! msaada hawakumpa wao lkn sasa MTU anataka kujua mpaka Matibabu anayopewa.

Una uhakika gani 15m za sozinje si kodi zetu? Sozinje anetamka wazi kuwa mshahara wake ni 9m kwa mwezi. Inaingia akilini yeye atoe 15m?
 
Pole yake ila nikikumbuka vituko alivyomfanyiaga yule mbunge kipind kile nasema tu wadada wanatakiwa kujifunza mambo mengi hasa nidhamu ya ndoa na kuwa na muono wa mbali Leo hii alikuwa sio kuteseka hivyo
 
Sasa unataka alale hospitali kama yupo kwa Sangoma?
nyinyi ndio mnaolishwa matango pori daily ..kwahiyo zile pictr zinamuonyesha kuwa yupo India au sio ..!?? hahaa yupo India huku akiwa anahudumiwa na wabongo wenzie yaani hao wabongo wamepewa kazi katk hospital za India ..tena pictr zote mbili ni za wabongo lol...wameshindwa kupata hata muhudumu mmoja wa kihindi ..aiseee
 
Bollywood vs Tollywood . Tusubiri filamu kali. Ila wastara huenda anaumwa kweli na ni muigizaji mahiri sana wa vyote. Alishawahi kuigiza anabonda gari kioo (windscreen) akaibonda ukweli ukweli japo alikuwa anaigiza. Hadi sasa Wastara bado ni muigizaji.

Tunamuombea [emoji1431]
 
WAST1-480x400.png

Siku ya February 10, 2018 imetolewa taarifa na Masoud Kaftany ambaye ni Afisa Habari, Uenezi , Mahusiano katika chama cha Waigizaji Kinondoni, kuhusu Muigizaji Wastara Juma taarifa hiyo inasema Wastara ameshafanyiwa Vipimo (Operation ) na anaendelea kupatiwa Matibabu.

Muigizaji Wastara ambaye yupo katika Hospitali ya Saifee (Mumbai ) Nchini India anaendelea vizuri na siku hiyo ya jana alitembelewa hospitalini na Muigizaji wa Bongomovie REGINA KAOLE ambaye yupo Mumbai nchini India kwa shughuli zake za kikazi.

Wanatasnia na wadau wa filam nchini wanaombwa kuzidi kumuombea Muigizaji huyo Wastara ili apone Haraka na kurejea nchini salama.

WhatsApp-Image-2018-02-10-at-10.39.46-PM.jpeg


Chanzo: Millard Ayo.

Nadhani tungepewa taarifa kamili ni lini labda anatarajia kuacha kuwa Tapeli tungeshukuru na hata kufarijika zaidi ili tuliobakia huku nchini Tanzania tusizidi Kutapeliwa nae tena.
 
Ata wewe si ndo walewale tu,. Nimeona tangazo lako la kuomba mchango wa kuumwa
Mkuu, nimeomba uniombee. Pesa yako haitosaidia maana nimeshatumia dawa lakini imedunda. Kinachotakiwa ni maombi maana niko kwenye maumivu makali sana as I speak.
 
Hizi hospital zetu shida tupu!

Hiyo picha ya kwanza mbona anafanyiws matibabu huku akiwa amevaa suruali na kachumba ni km kadogo km choo, ila pia hicho kiti alichokaliwa ni kweli Hiyo ni hospital iliyopo India??

Na huyu jamaa anaemfungua/funga mguu ni mhindi kweli, mbona km mweusi??


Km bi hivyo basi Bora hata angetibiwa akiwa Tanzania!
Ni kweli utofauti wa kimazingira wa hizo picha upo wazi kabisa, picha ya juu hapo siyo hospital bali ni kichumba fulani hivi, picha ya chini hapo ni kweli inaonesha ni hospital
 
Back
Top Bottom