Wengine magaidi wasomi
Cc Mwigulu Nchemba
Mkuu Nyani Ngabu,usichukie.Huo ni msamiati wa kawaida kama ilivyo mingine. Kutuita wapuuzi hakutakusaidia kitu. Ukipenda kuitwa hivyo nawe kasome sheria na uwe Wakili Msomi ha ha ha ha haKwa nini mnapenda kujiita mawakili wasomi? Msipojiita hivyo watu hawatajua kama nyie ni wasomi au? Kuitwa wakili tu peke yake haitoshi?
Na nyie ndo mmesoma sana kuliko wengine au inakuwaje? Na kuna mawakili ambao sio wasomi?
Wapuuzi kabisa nyie watu. Jaribuni kuwa na humility hususan ukizingatia mambo yenyewe mmeiga iga tu kutoka nchi zingine.
Mkuu NAPITA,kuhudhuria tu Mikutano na Semina kunatosha kutoa alama husika.Hakuna mitihaniHizo alama kwa hiyo uko kwenye semina huwa kuna mitihani?kama nahisi wakili mmoja hivi maarufu sijui nae ni msomi nahizi hata hizo kumi kazipita huwenda yuko kwenye 50 maana kila kitu kwenye Sheria anajua adi jamaa mmoja akamwambia hadi wakati mwingine anawadaganya wezake lakini kwa vile wanamuamini wanakubali tu..
Mkuu Nyani Ngabu,usichukie.Huo ni msamiati wa kawaida kama ilivyo mingine. Kutuita wapuuzi hakutakusaidia kitu. Ukipenda kuitwa hivyo nawe kasome sheria na uwe Wakili Msomi ha ha ha ha ha
Basi Mkuu,ya Ngoswe mwachie NgosweMimi wala siyo msomi. Ni mbeba maboksi tu. Na sheria ni ngumu sana kuisoma hivyo hata nikijaribu nitafeli tu. Na wala sichukii. Ila kujiita wasomi ni upuuzi na upumbavu tu kwa sababu hamna usomi wowote ule zaidi ya wasomi wengine.
Basi Mkuu,ya Ngoswe mwachie Ngoswe
Mkuu NAPITA,kuhudhuria tu Mikutano na Semina kunatosha kutoa alama husika.Hakuna mitihani
Unapatikana wapi Wakili Msomi John Mnaku Bonaventure Mhozya? Hongereni sana (nyinyi na waliokuwa wateja zenu)Msomi mwenzangu Petro Eusebius Mselewa, asante sana kwa taarifa ya kutukumbusha kuhusu jukumu hilo la kulipia ada zetu za uwakili. Ofisi imepanga kuyakamilisha hayo yote kesho, Mwenyezi Mungu akitupa uhai. Naendelea kufurahia ushindi wa kesi ya Jamhuri dhidi ya Samson Maingu Mwigamba. Karibu tufurahi pamoja
Taarifa huwafikia Mawakili Wasomi wote popote pale walipo. Kuhudhuria na kupata alama ni jambo lingineKumbe sasa wale wakule kwetu Bariadi kunguliabashashi ambapo hata GPS Aisomi inakuaje hizo semina,na mikutano kweli wanapata mialiko au taarifa kwamba inafanyika?
Learned Brothers and Sisters. Being a Lawyer is neither trivial nor immaterial. It tastes goodWalatini walisema ndevu hazimfanyi mtu kuwa mwanafalsafa "barba non facit philosophum".
Waswahili wakasema "Chema chajiuza, kibaya chajitembeza".
Kwa wasomi wa kwee mashauzi noma.
Na wenye mashauzi ya kujipat kwa usomi kila wanapotajana hawajawa wasomi bado.
Learned Brothers and Sisters. Being a Lawyer is neither trivial nor immaterial. It tastes good
Dear non lawyers, (I purposely avoidf the term 'laymen' for obvious reasons).
You'll never understand some things. To that end, I would urge you to make no fuss about nothing.Cause you aren't compelled to call us 'mawakili wasomi.' which is a direct translation of 'learned advocates/counsels'.
It is a privilege amongst ourselves.I bet you didn't know that. Just as much as you don't necessarily have to bow before a judge/magistrate. I bet you also didn't know that that is a privilege of us 'mawakili wasomi.'
But I will be committing grave crime against logic assuming you'd take solace in learning. You may as well want to take the benefit of doubt.
I rest my case.