NAPITA
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 5,077
- 2,246
Hizo alama kwa hiyo uko kwenye semina huwa kuna mitihani?kama nahisi wakili mmoja hivi maarufu sijui nae ni msomi nahizi hata hizo kumi kazipita huwenda yuko kwenye 50 maana kila kitu kwenye Sheria anajua adi jamaa mmoja akamwambia hadi wakati mwingine anawadaganya wezake lakini kwa vile wanamuamini wanakubali tu..