Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona naona mnakomaa tu. Keep determined!hatukati tamaa mkuu
Ni heri hii email yako ingekuwa
kigambonifactfinding@gmail.com
-Na izingatie ukusanyaji wa taarifa watakayopewa wagombea siyo Mbunge
je kama mimi ni mgombea na ninataka pia kuwapa wana kigamboni direct communication channel hata baada ya uchaguzi?
Wajumbe walifanya nini?
Mkuu sasa tunasubiri maoni ya wananchi
Uko nje ya muda ila kama Bashite anakupa mshiko pokea.
Safari fupi tu,ila kwa watu wanaotumika kama wewe mnafanya safari iwe ndefu sana kwa nchi yetuduh,tanzania ina safari ndefu sana
Mkuu kwanza simfanyii kazi Makonda na hata katika kufanya haya yote ni kuhakikisha kwamba tunapata kiongozi anayeelewa mahitaji yetu.Kuhusu mficho usikupe shaka kwa sababu ni namna moja wapo ya kuhakikisha integrity.Ukifika wkati wa kusema hivyo utasema hivyo ila kwa sasa Mgombea ameomba kuwa confidential.Je inatosha kusema hivyo?
Mna mu overate sana Bashite.Sipendi kuhusishwa naye.Hahusiki kwa namna yoyte ile katika jambo hili na wala kwa principles zangu sidhani kama naweza kufanya kazi na mtu wa calibre yake
dah!unakuwa kama don namilson
Bado anahangaika tu?? Kuna watu hawakati tamaa.
Jpm kamtema kweli au wanatuzuga tu'Mpumbavu Mwandamizi' huwa na 'Utashi' huo wa Kukata tamaa Mkuu? Tena angejua kuwa JPM 'ameshamchoka' wala 'asingehangaika' namna hii.
Jpm kamtema kweli au wanatuzuga tu
Katumwa afanye utafiti na maccm au somebody else...Ndugu wakazi wa Wilaya ya Kigamboni;
Ninapenda kuwajulisha kuwa kuanzia Jumapili tarehe 9 mwezi wa nane,2020 hadi Jummane tarehe 11 Mwezi wa 8,2020 kutafanyika shughuli ya ukusanyaji wa taarifa na maoni ya wananchi wakazi wa wilaya ya Kigamboni Juu ya matamanio yao maoni, na matarajioi yao kuelekea uchaguzi mkuu wa Oktoba 2020.
Zoezi hili litahusisha kata zote za wilaya ya Kigamboni na linalenga kuwafikia wakazi wapatao 4000 kwa ajili ya kukusanya maoni yao juu ya maeneo ambayo wangependa yapewe kipaumbele na uongozi utakaochaguliwa na matarajio yao kwa miaka mitano ijayo
Maoni yote na ushauri wa mambo ambayo ungependa yawe kipaumbele katika uchaguzi huu yatapokelewa kwa njia ya Email:
mbungekigamboni20@gmail.com. au kwa kuzungumza na wakusanya taarifa ambao watapita katika maeneo mbalimbali katika wilaya yetu kupata taarifa za wananchi.
Kumbuka zoezi hili ni muhimu katika katika maendele.
Zoezi halina uhusiano na chama chochote cha siasa wala taasisi yoyote bali ni jitihada za Wana Kigamboni katika kutaka kuweka malengo ya pamoja kwa miaka mitano na kujua vipaumbele katika kila kata
Zoezi hili ni muhimu kwani litasaidia kuwawezesha wanakigamboni kushiriki katika kupanga sera na mipango ya maendeleo kwa kata zao na mitaa yao.Ripoti kamili ya zoezi hili itatolewa Ijumaa Tarehe 21 August 2020
Maoni yatumwe kwenda kwa EMAIL.mbungekigamboni20@gmail.com
Kumbuka kutaja mtaa ulipo katika kutoa maoni yako ili kusaidia katika ufuatiliaji.
Asanteni Sana kwa ushiriki wenu.
Taarifa Imetolewa,
Gwakisa M.J
Mdau wa Maendeleo Wilaya ya Kigamboni
RATIBA YA SHUGHULI HII ITAKUWA KAMA IFUATAVYO
Jumapili -9Aug 2020 Wataalamu wetu watakuwa katika kata za Vijibweni,Tungi,Kigamboni na Mjimwema-Iwapo Ungependa kuzungumza nao tafadhali wasiliana nasi kwa email ili tukufikie ila unaweza kutuma maoni yako pia kwa njia ya EMAIL
Jumatatu tarehe 10 Augu 2020 tutakuwa katika Kata za Kibada,Kisarawe 2 na Baadhi ya maeneo ya kata Jirani
Jumanne Tutafika katika kata za Somangila,Kimbiji na Pemba Mnazi.
Iwapo unapenda kuzungumza nasi tafadhali wasiliana nasi kwa email ila unaweza kutuma maoni yako kwa njia ya email.
Nawatakieni Ushiriki mwema
Man down!manup
manup
Yayumkinika kuwa yeye mwenyewe Bashite ni " Eagle winger" ndio kusema mbwa kala Mbwa??Kwa aina tu ya 'Dossier' zake ambazo mara kwa mara Watu wa ( Eagle Wing House ) Obey walikuwa wakimpelekea JPM Jamaa ameshachokwa!!!!