Taarifa Kwa Umma: Fact Finding Mission-Jimbo la Kigamboni

je kama mimi ni mgombea na ninataka pia kuwapa wana kigamboni direct communication channel hata baada ya uchaguzi?

Ni kweli nawe ulikuwa ni 'Mtia Nia' kwa Tiketi ya CCM huko Kigamboni na pamoja na 'Kuhonga' Kwako na 'Kutishia' Watu umekuwa Mtu wa Tatu tu.
 
Mkuu sasa tunasubiri maoni ya wananchi

Tena kwa Kukusaidia tu Baba yako Kipenzi wa Magogoni 'Ulipofeli' alifurahia mno kwani alikuwa anakutafutia tu sababu utoke katika Mfumo wake.
 

Najua kuwa JPM na Wasadizi wake huwa wanayafanyia mno Maoni ya hapa JF hivyo unataka Maoni yetu ili yakubebe na akuteue Ugombee Wewe.
 
Mna mu overate sana Bashite.Sipendi kuhusishwa naye.Hahusiki kwa namna yoyte ile katika jambo hili na wala kwa principles zangu sidhani kama naweza kufanya kazi na mtu wa calibre yake

Cheza na 'Wapumbavu' Wenzako wote ila siyo Mimi GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE sawa? Nilikushtukia mapema sana na sasa 'tunakusanifu' tu.
 
Katumwa afanye utafiti na maccm au somebody else...

Fvck you nigga!
 
Kwa aina tu ya 'Dossier' zake ambazo mara kwa mara Watu wa ( Eagle Wing House ) Obey walikuwa wakimpelekea JPM Jamaa ameshachokwa!!!!
Yayumkinika kuwa yeye mwenyewe Bashite ni " Eagle winger" ndio kusema mbwa kala Mbwa??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…