Taarifa Kwa Umma: Fact Finding Mission-Jimbo la Kigamboni

Taarifa Kwa Umma: Fact Finding Mission-Jimbo la Kigamboni

Ikifika wakati wa kampeni itakuwa kampeni ila kwa sasa ni fact finding tu.
Facts finding Kwa manufaa ya Nani?!...hayo mahitaji ya wanakigamboni yanabadirika kila wakati,nakushauri hiyo KAZI umwachie atakayeshinda ubunge,ndio KAZI yake kuwazungukia wananchi kuchukua kero zao na kuzipereka serikalini Kwa utatuzi... wanakigamboni Kwa sasa wanasubiria October wachague Mwakilishi wa kuwasaidia na sio siku nyingi zilizopita walitoa indication ya Nani wangependa wamtume Dodoma na Trust me waliogombea wote walishafanya utafiti na Kwa SASA mchakato uko hatua nzuri na kama unawatakia mema wanakigamboni, ningekushauri uwaachie KAZI waliyokwisha ianza waimalizie.
 
Facts finding Kwa manufaa ya Nani?!...hayo mahitaji ya wanakigamboni yanabadirika kila wakati,nakushauri hiyo KAZI umwachie atakayeshinda ubunge,ndio KAZI yake kuwazungukia wananchi kuchukua kero zao na kuzipereka serikalini Kwa utatuzi... wanakigamboni Kwa sasa wanasubiria October wachague Mwakilishi wa kuwasaidia na sio siku nyingi zilizopita walitoa indication ya Nani wangependa wamtume Dodoma na Trust me waliogombea wote walishafanya utafiti na Kwa SASA mchakato uko hatua nzuri na kama unawatakia mema wanakigamboni, ningekushauri uwaachie KAZI waliyokwisha ianza waimalizie.
Mbona watu wana hofu za namna hii,Mimi nafahamu ninachokifanya sijui kama wewe unaelewa ulichokisema
 
Back
Top Bottom