Karibu Sana
JF-Expert Member
- Mar 14, 2020
- 991
- 1,765
Mimi Ni wakala wa accacia kwa kupitia miga mpenzi wa jinsia moja lisuWhy Kigamboni???who are you ???
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi Ni wakala wa accacia kwa kupitia miga mpenzi wa jinsia moja lisuWhy Kigamboni???who are you ???
Laiti ungelijua comment zako zinavoumiza moyo wangu.Naililia Tanzania ambayo ina watu wenye fikra za aina yako ambao ni wengi kwani hata mtaani watu wanafikra kama hizo.najiuliza sana namna bora ya kuweza kubadili fikra zetu ni ipi na wala sioni.Nakulilia TanzaniaHuwezi badilisha ideology za watu kupitia siasa uchwara za kujikomba kwa watu.
Mkuu na wewe umeingia katika janga hilo hilo?Miaka mitano iliyopita ulikuwa wapi?
Kama kweli huna malengo ya kisiasa kwanini usisubiri uchaguzi upite uje na hizi tafiti zako?
Mkuu kama nia ni ubunge hujapitwa, kuna vyama kadhaa bado havijapata wagombea Kigamboni.
Kama nia yako ni tiketi ya CCM unachofanya ni fujo maana wana CCM wa Kigamboni waneshaamua.
Mkuu,Does it matter or is the typical reactionary mindset.We can do it for other areas as well if there is a person interested with such data.You are welcome to take part if you are based in Kigamboni.I hope your mind is eased.
Who said you are dumb?What is valid?Is it an insult?It is a valid question, who are you na why kigamboni. I would add another question, why now ?
Those who live in the said area don't need a study, to create a wishlist. The issues are known
Your email address is mbungekigamboni .... that also raises more questions...
We aren't that dumb.. !!
Huyo mleta uzi lazima atakuwa ni team Bashite.Why Kigamboni???who are you ???
Naona mzee una mkusanyia hoja za kampeni mgombea mmojawapo wa Kigamboni.
Safi sana, mjini akili.
Kama matokeo ya kazi hii yatafikishwa kwa wagombea wote itakuwa poa vinginevyo hii itamsaidia mmoja tu, na kama ni hivyo kima adili wakusanya data na sponsor wao wanatakiwa wajitambulishe na waliweke hili wazi.Angalau wewe umeanza kuelewa...Wengine naona wana sentiments.Kama wewe ni kazi wa Kigamboni unaweza leta maoni yako pia
Mkuu Makonda hana uwezo wa kutulipa,Hii ni Fact finding Mission tu.
REDET NA TWAWEZA wanakuja kivingine. Wamepata wapi Ethical clearance wakati uendeshaji wa kinachoitwa fact finding kinafanywa na watu binafsi. Watu wanafanya assessment kwenye wilaya na hawajulikani ni watu gani. Ni taasisi gani na wamepewa ruhusa na nani??Why Kigamboni???who are you ???
Lazima wawe na ethical clearance kuhakikisha no conflict of interest arises.Kama matokeo ya kazi hii yatafikishwa kwa wagombea wote itakuwa poa vinginevyo hii itamsaidia mmoja tu, na kama ni hivyo kima adili wakusanya data na sponsor wao wanatakiwa wajitambulishe na waliweke hili wazi.
Siyo yeriko?Cha kwanza wanakigamboni tunamtaka dada maregeresi awe mbunge
Mkuu,Wakitaka kupata wanaweza kuipata,kwa sababu tutaiweka public.Kama matokeo ya kazi hii yatafikishwa kwa wagombea wote itakuwa poa vinginevyo hii itamsaidia mmoja tu, na kama ni hivyo kima adili wakusanya data na sponsor wao wanatakiwa wajitambulishe na waliweke hili wazi.
Kwanini umeweka email yenye vinasaba na siasa.Mkuu Makonda hana uwezo wa kutulipa,Hii ni Fact finding Mission tu.