Jitambulishe tukujue we ni nani na uchunguzi wako utasaidia vipi wamanchi au mamalaka za juu.So unamaanisha kwamba nini kifanyike
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jitambulishe tukujue we ni nani na uchunguzi wako utasaidia vipi wamanchi au mamalaka za juu.So unamaanisha kwamba nini kifanyike
Ninapenda kuwajulisha kuwa kuanzia Jumapili tarehe 9 mwezi wa nane,2020 hadi Jummane tarehe 11 Mwezi wa 8,2020 kutafanyika shughuli ya ukusanyaji wa taarifa na maoni ya wananchi wakazi wa wilaya ya Kigamboni Juu ya matamanio yao maoni, na matarajioi yao kuelekea uchaguzi mkuu wa Oktoba 2020.
Source : azam tv11 Sep 2018
Baadhi ya watafiti nchini wamepaza sauti na kudai mabadiliko ya sheria ya takwimu yanayotarajiwa kupitishwa na bunge yatawanyima fursa ya kufanya tafiti na kuzichapisha. Lakini mtakwimu mkuu wa Serikali ametolea ufafanuzi sheria hiyo na mengineyo. Wasikilize wote
(1) Hebu malizia kwanza hiyo M na J kwenye jina lako na uweke mawasiliano yako.Ndugu wakazi wa Wilaya ya Kigamboni;
Ninapenda kuwajulisha kuwa kuanzia Jumapili tarehe 9 mwezi wa nane,2020 hadi Jummane tarehe 11 Mwezi wa 8,2020 kutafanyika shughuli ya ukusanyaji wa taarifa na maoni ya wananchi wakazi wa wilaya ya Kigamboni Juu ya matamanio yao maoni, na matarajioi yao kuelekea uchaguzi mkuu wa Oktoba 2020.
Zoezi hili litahusisha kata zote za wilaya ya Kigamboni na linalenga kuwafikia wakazi wapatao 4000 kwa ajili ya kukusanya maoni yao juu ya maeneo ambayo wangependa yapewe kipaumbele na uongozi utakaochaguliwa na matarajio yao kwa miaka mitano ijayo
Maoni yote na ushauri wa mambo ambayo ungependa yawe kipaumbele katika uchaguzi huu yatapokelewa kwa njia ya Email:
mbungekigamboni20@gmail.com. au kwa kuzungumza na wakusanya taarifa ambao watapita katika maeneo mbalimbali katika wilaya yetu kupata taarifa za wananchi.
Kumbuka zoezi hili ni muhimu katika katika maendele.
Zoezi halina uhusiano na chama chochote cha siasa wala taasisi yoyote bali ni jitihada za Wana Kigamboni katika kutaka kuweka malengo ya pamoja kwa miaka mitano na kujua vipaumbele katika kila kata
Zoezi hili ni muhimu kwani litasaidia kuwawezesha wanakigamboni kushiriki katika kupanga sera na mipango ya maendeleo kwa kata zao na mitaa yao.Ripoti kamili ya zoezi hili itatolewa Ijumaa Tarehe 21 August 2020
Maoni yatumwe kwenda kwa EMAIL.mbungekigamboni20@gmail.com
Kumbuka kutaja mtaa ulipo katika kutoa maoni yako ili kusaidia katika ufuatiliaji.
Asanteni Sana kwa ushiriki wenu.
Taarifa Imetolewa,
Gwakisa M.J
Mdau wa Maendeleo Wilaya ya Kigamboni
Angalau wewe umeanza kuelewa...Wengine naona wana sentiments.Kama wewe ni kazi wa Kigamboni unaweza leta maoni yako pia
Mbona watu wana hofu za namna hii,Mimi nafahamu ninachokifanya sijui kama wewe unaelewa ulichokisema
Mtoa mada lazima watu wakushangae kwa kuwa unafanya kitu ambacho sio muda muafaka.Duh,Watanzania tuna safari ndefu sana
Anasumbuliwa na njaa huyoWhy Kigamboni???who are you ???
Mkuu,natamani nifanye hivyo ila wakati muafaka ukifika nitaweka ila kwa sasa wana Kigamboni wanweza kutoa maoni yao ili tuandae mipango nakuhakikisha wagombea wote wanatambua matarajio yetu ili kama wakijipima wakiona hawatoshi wajue kwamba kazi ni nzito.(1) Hebu malizia kwanza hiyo M na J kwenye jina lako na uweke mawasiliano yako.
(2) Kampeni zimesharuhusiwa kuanza?
Weka kibali cha ruhusa ambacho kimetolewa na tume ya uchaguzi, vinginevyo ni zoezi haramu.Ndugu wakazi wa Wilaya ya Kigamboni;
Ninapenda kuwajulisha kuwa kuanzia Jumapili tarehe 9 mwezi wa nane,2020 hadi Jummane tarehe 11 Mwezi wa 8,2020 kutafanyika shughuli ya ukusanyaji wa taarifa na maoni ya wananchi wakazi wa wilaya ya Kigamboni Juu ya matamanio yao maoni, na matarajioi yao kuelekea uchaguzi mkuu wa Oktoba 2020.
Zoezi hili litahusisha kata zote za wilaya ya Kigamboni na linalenga kuwafikia wakazi wapatao 4000 kwa ajili ya kukusanya maoni yao juu ya maeneo ambayo wangependa yapewe kipaumbele na uongozi utakaochaguliwa na matarajio yao kwa miaka mitano ijayo
Maoni yote na ushauri wa mambo ambayo ungependa yawe kipaumbele katika uchaguzi huu yatapokelewa kwa njia ya Email:
mbungekigamboni20@gmail.com. au kwa kuzungumza na wakusanya taarifa ambao watapita katika maeneo mbalimbali katika wilaya yetu kupata taarifa za wananchi.
Kumbuka zoezi hili ni muhimu katika katika maendele.
Zoezi halina uhusiano na chama chochote cha siasa wala taasisi yoyote bali ni jitihada za Wana Kigamboni katika kutaka kuweka malengo ya pamoja kwa miaka mitano na kujua vipaumbele katika kila kata
Zoezi hili ni muhimu kwani litasaidia kuwawezesha wanakigamboni kushiriki katika kupanga sera na mipango ya maendeleo kwa kata zao na mitaa yao.Ripoti kamili ya zoezi hili itatolewa Ijumaa Tarehe 21 August 2020
Maoni yatumwe kwenda kwa EMAIL.mbungekigamboni20@gmail.com
Kumbuka kutaja mtaa ulipo katika kutoa maoni yako ili kusaidia katika ufuatiliaji.
Asanteni Sana kwa ushiriki wenu.
Taarifa Imetolewa,
Gwakisa M.J
Mdau wa Maendeleo Wilaya ya Kigamboni
Asante sana ndugu yangu wewe ni mwanakigamboni kweli.Tuendelee kutoa maoni ili tupate viongozi bora wanaojua kile tunachotaka kwa maendeleo ya kigamboni.Tunataka wananchi nao wawe na sauti sio wagombea kuja na ahadi hewa na rushwa na kupotea baada y uchaguzi kwenda kukusanya faida.Mabadiliko yataanzia Kigamboni.Pili pale tulipompora manji gezaulole pajengwe michezo complex yaani viwanja vya michezo yote kuanzia uogeleaji,riadha zote,netball,kikap,football.badala ya kuja na hoja ya kizamani za kugawa kwa wananchi.natumai panatosha pamoja na kuwa ofisi za serikali zimeshakaa lakini patatosha tu.
Ikifika wakati wa kampeni itakuwa kampeni ila kwa sasa ni fact finding tu.
Uharamu wa hili zoezi ni upi,Kibali cha tume kitalipa zoezi uhalali?Usiwe na uchungu moyoni na kushindwa kufikiri kama mzalendo.Kama vyama vvyote vingetumia mfumo huu wa maoni kwa hakika wananchi wengi wangshiriki na tungepata maoni ambayo yanaakisi mahitaji ya wananchiWeka kibali cha ruhusa ambacho kimetolewa na tume ya uchaguzi, vinginevyo ni zoezi haramu.
Mkuu,hakuna kitu kama hicho,ila kama umechagua kuamini sishangai kwa nini miaka 50+ baada ya uhuru bado tuna watu wenye fikra kama zako.Ni uthibitisho kwamba kuna tatizo katika mfumo wetu wa elimu na uongoziMatatizo na mahitaji yote muhimu ya watanzania yanajulikana na yanafanana,acha kupoteza muda.