Taarifa Kwa Umma: Fact Finding Mission-Jimbo la Kigamboni

Taarifa Kwa Umma: Fact Finding Mission-Jimbo la Kigamboni

Wewe pimbi bashite andoza hii post ya huyu muungwana umeipita kimya kimya kama vile hujaiona. Typical Bashite character kujifanya kipofu kwa baadhi ya mambo muhimu.
Na si ulisema umeshastaafu mbona unahangaika sana
Sijaipita mkuu,upimbi wangu ni upi?Mimi sio huyo unayefikiri na wala sihusiane naye.Kuhusu alichokisema hapa naikiri ni swala latafsiri yake tu ila kisheria bado sijafikia hatua ya kuvunja sheria na hata kama nitahukumiwa kwa kuvunja sheria batili basi nitajione fahari zaidi
 
And then what after facts finding? Unazipeleka kwa nani hizo facts? Nani analipa gharama za kuzunguka kote na kukusanya facts?
Mkuu,inaweza kuwa mimi mwenyewe ni mgombea,inawekana nataka kufanya verification ya sera zangu.Je huamini hilo?
 
Hujajibu swali mkuu kwann sasa na s nyakati nyingne?
Kwa sababu tunaelekea kwenye uchaguzi,Tunatka wananchi nao wawe na organised way ya kufikisha matarajio yao kwa mgombea na sio tu wagombea wanatungansera kwa ajili ya kuwapa watu msisimko ila utekelezaji unakuwa chini.Mimi naweza kuwa pia ni mmoja wa wagombea
 
RATIBA YA SHUGHULI HII ITAKUWA KAMA IFUATAVYO
Jumapili -9Aug 2020 Wataalamu wetu watakuwa katika kata za Vijibweni,Tungi,Kigamboni na Mjimwema-Iwapo Ungependa kuzungumza nao tafadhali wasiliana nasi kwa email ili tukufikie ila unaweza kutuma maoni yako pia kwa njia ya EMAIL

Jumatatu tarehe 10 Augu 2020 tutakuwa katika Kata za Kibada,Kisarawe 2 na Baadhi ya maeneo ya kata Jirani

Jumanne Tutafika katika kata za Somangila,Kimbiji na Pemba Mnazi.

Iwapo unapenda kuzungumza nasi tafadhali wasiliana nasi kwa email ila unaweza kutuma maoni yako kwa njia ya email.
Nawatakieni Ushiriki mwema
 
Ikifika wakati wa kampeni itakuwa kampeni ila kwa sasa ni fact finding tu.
Facts finding Kwa manufaa ya Nani?!...hayo mahitaji ya wanakigamboni yanabadirika kila wakati,nakushauri hiyo KAZI umwachie atakayeshinda ubunge,ndio KAZI yake kuwazungukia wananchi kuchukua kero zao na kuzipereka serikalini Kwa utatuzi... wanakigamboni Kwa sasa wanasubiria October wachague Mwakilishi wa kuwasaidia na sio siku nyingi zilizopita walitoa indication ya Nani wangependa wamtume Dodoma na Trust me waliogombea wote walishafanya utafiti na Kwa SASA mchakato uko hatua nzuri na kama unawatakia mema wanakigamboni, ningekushauri uwaachie KAZI waliyokwisha ianza waimalizie.
Mbona watu wana hofu za namna hii,Mimi nafahamu ninachokifanya sijui kama wewe unaelewa ulichokisema
Kwasababu watanzania wamechoka na entrepreneurs wa kisiasa..kafanye utafiti wa jinsi ya kulima mazao Bora na ufugaji ,Kwa njia hiyo utaweza kuwasaidia vijana wengi Kwa tafiti zako..Kwa SASA tafiti yako inalenga kumtafutia fursa mwanakigamboni mmoja tuu..hiyo ni wastage ya bundle..smart up.
 
Facts finding Kwa manufaa ya Nani?!...hayo mahitaji ya wanakigamboni yanabadirika kila wakati,nakushauri hiyo KAZI umwachie atakayeshinda ubunge,ndio KAZI yake kuwazungukia wananchi kuchukua kero zao na kuzipereka serikalini Kwa utatuzi... wanakigamboni Kwa sasa wanasubiria October wachague Mwakilishi wa kuwasaidia na sio siku nyingi zilizopita walitoa indication ya Nani wangependa wamtume Dodoma na Trust me waliogombea wote walishafanya utafiti na Kwa SASA mchakato uko hatua nzuri na kama unawatakia mema wanakigamboni, ningekushauri uwaachie KAZI waliyokwisha ianza waimalizie.

Kwasababu watanzania wamechoka na entrepreneurs wa kisiasa..kafanye utafiti wa jinsi ya kulima mazao Bora na ufugaji ,Kwa njia hiyo utaweza kuwasaidia vijana wengi Kwa tafiti zako..Kwa SASA tafiti yako inalenga kumtafutia fursa mwanakigamboni mmoja tuu..hiyo ni wastage ya bundle..smart up.
Mkuu,mtazamo wako ni wa ajabu sana ila umenifurahisha sana.I will smart up.Je wewe ni mkazi wa kigamboni?toa maoni yako tuyafanyie kazi
 
acha porojo umetumwa na Makonda ww, au unadhani humu ndani wamejaa watoto?
Mimi nimependa enthusiasm yake but nadhani kaipereka sehemu isiyofaa na timing yake ni mbovu..nimemshauri akafanye tafiti ambazo matokeo yake yatatoa Ajira Kwa watu wengi (kama vile kilimo na ufugaji).kuliko kumtafutia Ajira MTU mmoja tuu.
 
Mkuu,mtazamo wako ni wa ajabu sana ila umenifurahisha sana.I will smart up.Je wewe ni mkazi wa kigamboni?toa maoni yako tuyafanyie kazi
Mi ni landlord wa Kigamboni na ninakushauri hizo nguvu, akili na resources zako ungezielekeza kwenye Maswala yanayoweza kusaidia jamii kubwa kuliko hii unayojaribu kufanya, Kwanza umechelewa kwani hayo Mambo ilibidi ufanye zamani Sana na uwapatie matokeo yako wajumbe ili yawasaidie kutafuta MTU atakayeweza kuyatatua, SASA hivi ni wastage of time.
 
Mimi nimependa enthusiasm yake but nadhani kaipereka sehemu isiyofaa na timing yake ni mbovu..nimemshauri akafanye tafiti ambazo matokeo yake yatatoa Ajira Kwa watu wengi (kama vile kilimo na ufugaji).kuliko kumtafutia Ajira MTU mmoja tuu.
Mkuu siasa pia ni fursa,na hii pia ni kazi,hata kwenye KILIMO PIA TUPO.Karibu tukuhudumie
 
Mi ni landlord wa Kigamboni na ninakushauri hizo nguvu, akili na resources zako ungezielekeza kwenye Maswala yanayoweza kusaidia jamii kubwa kuliko hii unayojaribu kufanya, Kwanza umechelewa kwani hayo Mambo ilibidi ufanye zamani Sana na uwapatie matokeo yako wajumbe ili yawasaidie kutafuta MTU atakayeweza kuyatatua, SASA hivi ni wastage of time.
Mkuu,What amounts to wastage of time?Wewe kama ni landlord basi hukupaswa kuwa na fikra zilizofungwa kwa kiwango hicho nilitarajia ungenipa maoni yako na ushuri kisha mengine tunaweza kuyajadili.Ila nimefurahi ushiriki wako katika mjadala kwani pia kuna mambo mengi sana ambayo nimeyaona ambayo nisingeyaona kama sijaweka Bandiko hili.

INBOX tayari nimepokea maoni kutoka KATA mbalimbali na mitaa,Mengine very personal issues kama watu kudhulumiwa haki zao,Mengine ni mahitaji ya kujengwa kwa miundo mbinu,Mengine ni kuhusu miradi ya maji.

Kwa ujumla napokea maoni ambayo yananifanya nitamani kufanya fact finding kwa amajimbo yote Dar es salaam na Tanzania.Ila kwa sasa wacha tuanze na Kigamboni tulifanye liwe jimbo la Mfano
 
Mkuu siasa pia ni fursa,na hii pia ni kazi,hata kwenye KILIMO PIA TUPO.Karibu tukuhudumie
Mimi nimependa enthusiasm yako lakini Kwa hili ... timing yako iko off...but the idea is interesting/amazing/bravo...msimu wa Siasa za Tanzania SASA hivi unakaribia ukingoni..hii ni Sawa na kubakiza mechi mbili na unahitaji pointi 6 na huku ukiombea aliyeko juu yako apoteze mechi zote mbili Kwa kufungwa magoli yasiyopungua 7 ili wewe umpiku..sisemi kwamba haiwezekani, lakini ni mission Ngumu Sana.
 
Back
Top Bottom