Taarifa kwa Umma: Humphrey Polepole Kufanya Mkutano na Waandishi wa Habari Leo Jumapili Kuanzia Saa 8 Mchana

Ccm Sioni Popote Ikishindwa!!!
Ina Vyombo, Sinia, Bakuri, Pipa
JW,TISS, POLICE, PCCB, PRISON, FIRE, IMMIGRATION, MADAWA YA KULEVYA


Haa😁😂
Ila Siku Ya Kufa Nyani Miti Yote Huteleza, Maji Utaita Mmaa
Angalau umeanza kuwa na wasiwasi
 
Na pia wasisahau kuuliza kuhusu fao la kujitoa.. ccm wana mkakati gani juu ya hilo??? Ingawa sidhani kama haya maswali yataulizwa... Usishangae yakaja maswali kama ya press iliyopita... Waandishi wetu nao sijajua wanakwama wapi...
 
Msiwe na wasiwas huenda " Huenda anawaita kuwambia "Ndg waandishi tupo hapa kuwambia Mgombea wetu ameshindwa kujibu hoja "hivyo tumejitoa kwenye uchaguzi huu!!Mungu ibariki Tanzania Mungu ibariki Africa!! Hakuna maswali Kwaherini!!!

Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
 
Polepole, Bashiru na Mwenyekiti ndiyo wamechimba kaburi la Chama chetu.
 
Na pia wasisahau kuuliza kuhusu fao la kujitoa.. ccm wana mkakati gani juu ya hilo??? Ingawa sidhani kama haya maswali yataulizwa... Usishangae yakaja maswali kama ya press iliyopita... Waandishi wetu nao sijajua wanakwama wapi...

Tusiwalaumu sana. Maswali mengi huwa yameshaandaliwa, hivyo wanapewa watu fulani ili waulize, na majibu huwa yameshaandaliwa tayari.
 
Mgombea wao kajiengua kwa hiari yake mwenyewe ktk kinyang'anyiro cha nafasi nyeti ya uraisi nini? Atakuwa amefanya uamuzi sahihi, kwa kuwa anguko lake lilikuwa ni bayana kabisa.
 
Tatzo Polepole anapambana na hoja za Lissu kwa jazba.Ipo siku ataanza kulia mbele za watu.
 
Kututangazia mkutano wa chakubanga ni sawa kutangaza mapitio ya mdundiko
 
Wataongea sana na waandishi wa habari mwaka huu!! Dadeki, kweli Lissu kawashika pabaya saana!!
 
huyu jamaaa sura yake hata siiiyelewagi mzee si mzeee,kijana si kijana
 
Hii habari ya kujibizana huyu huku huyu kule itatuchosha sisi wapigakura. Tundu Lisu kutoka CHADEMA na Yeyote anayedhani anatosha kutoka CCM, iwe Polepole, iwe Palamagamba Kabudi, iwe Magufuli, iwe Majaliwa, wamlete ufanyike mdahalo live tumalizie ubishi!!!
 
Ndugu Mtanzania Mzalendo tafadhali mkumbushe & Mtaarifu Mwenzako

Tuna Jambo Letu Leo

Iko faida ya kuuishi na kuusema ukweli, Na leo nitausema na kuudhihirisha ukweli. Kura zote kwa Mkweli Namba1, Dkt. Magufuli
View attachment 1582246
Zungumzia naswala lanyavu kuchoma bilakuufata utaratibu nakuteka engeine zetu yaani mashine zaboat mmeziteka mpaka sasa mnazishikilia kwa kujidaia madaraka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…