Taarifa kwa Umma: Humphrey Polepole Kufanya Mkutano na Waandishi wa Habari Leo Jumapili Kuanzia Saa 8 Mchana

Ndugu Mtanzania Mzalendo tafadhali mkumbushe & Mtaarifu Mwenzako

Tuna Jambo Letu Leo

Iko faida ya kuuishi na kuusema ukweli, Na leo nitausema na kuudhihirisha ukweli. Kura zote kwa Mkweli Namba1, Dkt. Magufuli
View attachment 1582246
Maskini mmechanganyikiwa kiasi hiki? poleni...hizi Press conferenec hazitakiwi kufanywa na msemaji wa chama bali zinatakiwa kuwa za mgombea mwenyewe...kwani mgombea anashida gani mbona mnataharuki kiasi hiki!!polenii MATAGA
 
Chadema kumshambulia polepole maana yake ni tishio kwao.
 
Unaenda dukani kuwanunulia watoto nguo halafu wanakataa kuvaa. Unawalazimisha wanalia na kukimbilia kwa jirani.

Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app
 
Baada ya Lissu kuwambia watu ufisadi wa kiwanja Chato na eka elf 25 karagwe na mzee baba kukosa hofa ya ku COUNTER ATTACK watu wengi wamepunguza imani na uaminifu kwa mzee baba. Lissu kinachombeba ukiachia hoja zake kali hana makandokando ya ufisadi. Waliokosa hoja dhidi yake wanatumia hoja dhaifu eti katumwa na mabeberu.
 
Ujasiri pia unamsaidia.
 
Huyu mkubwa si kaongea juzi tu hapa? Anahisi hakuweza kufikisha ujumbe vizuri anataka arudie?
Chakubanga ni mtu anayejiona anajua saana, na ana uwezo mkubwa sana wa kueleza na kufafanua jambo likaeleweka vizuri kwa watu kuliko mtu mwingine yeyote.
Kwenye sakata la tril.1.5 alijifanya anaelewa sana na kujaribu kulitolea ufafanua, watu wa aina ya Chakubamga ndivyo walivyo, they are suprisingly confident!!
 
CCM ina kampeni za kisayansi
Walioko na wanaogombea CCM ni wasaka tonge tu wala hawana uchungu na WANANCHI na ndio maana wametuletea Sheria za ajabu sana za MAFAO wakati wenyewe washachukua chao ni UBINAFSI WA HALI YA JUU SANA. WOTE MBWA TUU.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…