Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Hata mitume walibezwa hivi hivi,
sasa anza kutafuta wafuasi polepole
tutakusikia tu muda si mrefu na kanisa lako lenye jina refu mpaka tunachelewa maombi kwa kusoma ubao wa jina la kanisa nje.
[emoji23][emoji23][emoji23]Utakuta kuna wanawake wanamvulia
Jina lako tuBongo hatuhami
Don Nalimison amelenga uchaguzi October, angeendelea na jina lake asingekuwa na kigezo cha kugombea nafasi yoyote ya kisiasa hivyo ujaja wa Don Nalimison akaona kubadili jina ili asiwekee kikwazo/vikwazo na hata akiwekewa kikwazo aweze kupinga kisheria.
Hakimu : Mlalamikaji una ushahidi kuwa mlalamikiwa hana sifa za kugombea nafasi yoyote ya kichama ?
Mlalamikaji : ndio, ndugu Hakimu Don Nalimison alitumikia kifungo hivyo hana sifa.
Hakimu : Mlalamikiwa una chochote cha kuieleza hii Mahakama tukufu
Don : Ndio, Kipindi nasajiliwa kuingia kwenye gereza la Butimba waliniandikisha kwa jina gani ?
Mlalamikaji : Deogratius Kisandu
Don : Kwenye hii kesi imesajiliwa kwa jina lipi ?
Mlalamikaji : Don Nalimison
Don : Nenda ukamtafute Deogratius Kisandu, Don Nalimison hajawahi kutiwa hatiani na Mahakama yoyote ndani hata nje ya nchi.
Hakimu : Kesi imehairishwa hadi ushahidi wa kesi hii utakapokamilika, Mlalamikiwa ana sifa ya kugombea nafasi yoyote pasipo pingamizi.
Mkuu Deogratius Nalimi Kisandu sipping uamuzi wako,lakini hili jina jipya limekaa ki-ujana zaidi/kisanii. Alafu bado vyeti vyako vya elimu vinatumia jina lako la zamani,huoni litakuletea shida huko mbeleni?
Sory mkuu huyu ni aliekuwa akiitwa deo kisandu au?Wewe tumia JF tu achana na Facebook na YouTube na Instagram hapa Jf utakuwa safe huwezi kudondokea police maana ukiandika matusi yanafutwa ..
Pia tupe namba za Familiya yako ili tukutafutie msaada wa matibabu ya akili. Ili usije kurudi jela.
Nantombe mushiBongo hatuhami
Yeah.Sory mkuu huyu ni aliekuwa akiitwa deo kisandu au?
Nimeogopa kumuuliza yeye moja kwa moja
Usimlaumu sana kwanza tuangalie na alikokuwa sio kuzuri kwa wengineNaona dishi limegoma kukaa vizuri..chenga mwanzo mwisho..! Mkuu if the symptoms persist seek medical advice..
Dah ulipotelea wapi bibie?Ahaaa hivi huyu Kaka ana nini jamani?
Aise kaja kwa style ingine kabisaYeah.
Alifungwa miaka 3 kwa ajili ya yale maandishi ya fb ya kutaka serikali imsaidie kut00mba?Deo kisandu karogwa na Ccm
Sasa kazi kafukuzwa ya ualimu pia kafungwa miaka 3Very sad
😆😆😆😆!...had apone akili😉Wangari Maathai mnafunga lini ndoa na huyu mchumba wako?
hv gharama ya kubadili jna n sh ngapi na n office zipi wanashughulika na hili zoez