Taarifa: Nimekwisha kula Kiapo (DEED POLI) na kwa msajili wa Viapo na Nyaraka (Mahakama ya Ardhi) kuanzia sasa nitakuwa naitwa DON NALIMISON



Hakuna kitu kama hicho, deed pool haiwezi kukuweka mbali na makosa yeyote uliyoyafanya nyuma vinginevyo tungekua tunafanya makosa na kubadilisha majina.
 
Mkuu Deogratius Nalimi Kisandu sipping uamuzi wako,lakini hili jina jipya limekaa ki-ujana zaidi/kisanii. Alafu bado vyeti vyako vya elimu vinatumia jina lako la zamani,huoni litakuletea shida huko mbeleni?


Haiwezi kumletea shida popote atakapotakiwa kuwasilisha vyeti vyake lazima aambatanishe na deed pool kuonyesha mabadiliko ya majina.
 
Kuna systems nyingi za Tanzania zinahitaji majina matatu, usije ukalazimika kupachika jina lingine kukamilisha hilo hivyo kuvuruga tena majina yako.
 
Mtemi kisandu jukwaa lilikumiss sana, karibu tena blaza tulimiss sana burudani yako...usipotee sana Don
 
Wewe tumia JF tu achana na Facebook na YouTube na Instagram hapa Jf utakuwa safe huwezi kudondokea police maana ukiandika matusi yanafutwa ..

Pia tupe namba za Familiya yako ili tukutafutie msaada wa matibabu ya akili. Ili usije kurudi jela.
Sory mkuu huyu ni aliekuwa akiitwa deo kisandu au?
Nimeogopa kumuuliza yeye moja kwa moja
 
Kuna gharama zinazohusiana na kuapa kwa maana ya kutengeneza hyo deed poll inategemea na anaesimamia kiapo lakini kwa ukienda kuapia mahakamani haziwezi kuzidi 10,000. Ukishamaliza unaenda kwa msajili wa nyaraka na deed poll yako ikishapitishwa unalipia 32000 . Kwa hyo haiwezi kuzidi 50000.
hv gharama ya kubadili jna n sh ngapi na n office zipi wanashughulika na hili zoez
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…