Taarifa njema Mke wa Waziri Mkuu Victoria mteule Uingereza ni myahudi, Mungu ibariki Israel

Taarifa njema Mke wa Waziri Mkuu Victoria mteule Uingereza ni myahudi, Mungu ibariki Israel

Dhulma haidumu ipo siku wataanguka. Hakuna aliye dhulumu akapona. Just time will tell. Unawatetea kwa sababu wametajwa katika Bibilia, na sidhani kwamba ingelikuwa familia yako imevamiwa na wahindu na kuanza kuuliwa kutoka babu yako, baba yako na ndugu zako huku mali zao zikitaifishwa, sidhani kama ungemuelewa mtu ambaye atakwambia wacha chuki dhidi wa wahindi waliopewa wamepewa, huwezi shindana nao. Na wewe ni mmoja kati ya wakristu wasio kuwa na akili...
Tetea kwanza weusi wenzio kule sudan kusini dhidi ya hao wakoloni wenu wa kiimani na kitamaduni acha unafiki.
 
Kwa hio Mungu wawakristo kwanini achague taifa teule mengine sio mataifa 😄

Ungeiuliza bibili yako kwanza hilo swali, kama unamini Mungu wa bibilia ya Paulo anataifa teule, kwani usiamini Mungu kachagua kiarabu Kwenye Qur'an.

Au ulitaka Mungu aongee kiyahudi ndio uamini yeye Mungu, Kwani Mungu haelewi lugha zingine.

Kwanini ashushe Taurat na Injili kwa lugha ya kiyahudi, na kosa kushusha Qur'an kwa kiarabu hahaha

Wakristo wajinga kweli nyie, mnataka kumchagulia Mungu ashushe Qur'an kwa kiswahili au kifaransa 😆
Wengine hatuna dini tunakuja kuamusha waathirika wa dini mbili za kizushi,kutoka uarabubini na uyahudini.. amukeni Mungu ni roho anaishi ndani ya kila binadamu. Ila watu wanapumbazwa na dini za wafanya biashara
 
Mijitu mingi bhana yaani unatawaliwa kimsosi,kifikra,kimavazi,kilugha,kimkao...yaani wanaudhi sana hawa kobazi.
 
Wengine hatuna dini tunakuja kuamusha waathirika wa dini mbili za kizushi,kutoka uarabubini na uyahudini.. amukeni Mungu ni roho anaishi ndani ya kila binadamu. Ila watu wanapumbazwa na dini za wafanya biashara
Wacheni ujinga Mungu aishi kwenye roho. Umemdharau sana yani mdogo kuliko hata mwili wako.

Amkeni nyie Islam mana yake ni one who submits to God.

What we mean by Muslim is not necessarily a follower of the Muslim faith today. The meaning of the term “Muslim” is one who submits to God. As a submitter to God, Jesus can be seen even in the gospels to be submitting in the Garden of Gethsemane. He fell on his face and prayed according to Matthew chapter 26, verse 39

Sa kuna mkristo anasali vile 😄
 
Hii ndio afrika, unasapoti dictators.

Hebu tuambie amekuahidi nini huyo mama wa kiyahudi?
 
Yaani......
I whole heartedly support each of all those Surah
Kufanya hivyo wala sio shida kwangu, na tena kwa fahari kubwa
Mbona hufanyi basi acha uongo bwana, jaribu kama hata maiti yako itaonekana.
 
Mbona hufanyi basi acha uongo bwana, jaribu kama hata maiti yako itaonekana.
Karibu Cabo Delgado

1720357076120.png
 
Wadau hamjamboni nyote?

Hii ni habari njema kwa Wana Israel mke wa Waziri Mkuu mteule Uingereza aendaye kwa jina la Victoria Starmer ni myahudi

Mungu ibariki Israel

Victoria Alexander was raised in north London. Her father is a former accountant from a Polish-Jewish background and her mother was a community doctor. She studied law at Cardiff University in Wales where she was head of the student unio.

View attachment 3034421View attachment 3034422
Watu weusi sijui nani katuroga ,
Huruma sana ,
 
Sahihi kabisa. Ebu tupe elimu kidogo kabla ya Uingereza kusaidia kulitengeneza taifa la Israel taifa hilo lilikuwa wapi? Na kwanini Uganda ilihusishwa?
Halikuwepo hilo Taifa, ila ilikuwepo Uzayuni ambao ilikuwa ni harakati la kutengeneza au kulirudisha Taifa la Israel ikiwa ni maandalizi ya kurudi kwa masihi wao wanaomsubiri kwa mujibu wa maandiko ya kitabu cha Talmud.

Uzayuni ulikuwepo na umeendelea kuwepo katika mataifa makubwa yaliyo na yanayotawala Ulimwengu. Ndio maana mataifa haya ni damudamu na Israel. Kupitia uchumi, usomi na mipango yao wao ndio wanayatawala haya mataifa na hata baadhi ya viongozi unakuta wana asili ya Uyahudi.

Lakini Uzauyuni au Zionism , wapo wayahudi wanaopinga harakati hizo. Kajiongeze ukasome aina za wayahudi itakusaidia pia kukua kwa nini wakina Netanyahu wanaonekana kama Wazungu (caucasians).

Pitia mchango wa myahudi mwingereza na zionist Rothschild katika uundwaji wa Taifa la Israel na influence yake katika siasa za Uingereza.

Mengi sana ya kujifunza, soma vitabu, soma makala, pitia habari huko mashirika makubwa BBC, CNN na n.k utajua hata kwanini kuna aina ya wayahudi walikuwa wamepata ruhusua maalum ya kutojiinga na jeshi lao la IDF wakisema ni kinyume na imani yao.

Katika kujiunza, jielemishe kutofautisha katika ya Zionism, Jew na Israelites.
 
Halikuwepo hilo Taifa, ila ilikuwepo Uzayuni ambao ilikuwa ni harakati la kutengeneza au kulirudisha Taifa la Israel ikiwa ni maandalizi ya kurudi kwa masihi wao wanaomsubiri kwa mujibu wa maandiko ya kitabu cha Talmud.

Uzayuni ulikuwepo na umeendelea kuwepo katika mataifa makubwa yaliyo na yanayotawala Ulimwengu. Ndio maana mataifa haya ni damudamu na Israel. Kupitia uchumi, usomi na mipango yao wao ndio wanayatawala haya mataifa na hata baadhi ya viongozi unakuta wana asili ya Uyahudi.

Lakini Uzauyuni au Zionism , wapo wayahudi wanaopinga harakati hizo. Kajiongeze ukasome aina za wayahudi itakusaidia pia kukua kwa nini wakina Netanyahu wanaonekana kama Wazungu (caucasians).

Pitia mchango wa myahudi mwingereza na zionist Rothschild katika uundwaji wa Taifa la Israel na influence yake katika siasa za Uingereza.

Mengi sana ya kujifunza, soma vitabu, soma makala, pitia habari huko mashirika makubwa BBC, CNN na n.k utajua hata kwanini kuna aina ya wayahudi walikuwa wamepata ruhusua maalum ya kutojiinga na jeshi lao la IDF wakisema ni kinyume na imani yao.

Katika kujiunza, jielemishe kutofautisha katika ya Zionism, Jew na Israelites.
Kwa hiyo kwenye paragrafu yako ya kwanza unaposema NANUKUU ...
Halikuwepo hilo Taifa, ila ilikuwepo Uzayuni ambao ilikuwa ni harakati la kutengeneza au kulirudisha Taifa la Israel ikiwa ni maandalizi ya kurudi kwa masihi wao wanaomsubiri kwa mujibu wa maandiko ya kitabu cha Talmud.

Uzayuni ulikuwepo na umeendelea kuwepo katika mataifa makubwa yaliyo na yanayotawala Ulimwengu. Ndio maana mataifa haya ni damudamu na Israel. Kupitia uchumi, usomi na mipango yao wao ndio wanayatawala haya mataifa na hata baadhi ya viongozi unakuta wana asili ya Uyahudi.

Lakini Uzauyuni au Zionism , wapo wayahudi wanaopinga harakati hizo. Kajiongeze ukasome aina za wayahudi itakusaidia pia kukua kwa nini wakina Netanyahu wanaonekana kama Wazungu (caucasians).

Pitia mchango wa myahudi mwingereza na zionist Rothschild katika uundwaji wa Taifa la Israel na influence yake katika siasa za Uingereza.

Mengi sana ya kujifunza, soma vitabu, soma makala, pitia habari huko mashirika makubwa BBC, CNN na n.k utajua hata kwanini kuna aina ya wayahudi walikuwa wamepata ruhusua maalum ya kutojiinga na jeshi lao la IDF wakisema ni kinyume na imani yao.

Katika kujiunza, jielemishe kutofautisha katika ya Zionism, Jew na Israelites.
Kwenye paragrafu yako ya kwanza hapo juu unaposema kuwa NANUKUU ... ilikuwa ni harakati la (sic) kutengeneza au kulirudisha taifa la Israel ... MWISHO WA KUNUKUU una maana taifa la Israel lilikuwepo kabla? Kama jibu ni ndiyo kijiografia (ya sasa) taifa hilo lilikuwa wapi? Huoni unajichanganya na unaposema kuwa NANUKUU ... Halikuwepo hilo taifa ... MWISHO WA KUNUKUU kwenye mwanzo wa paragrafu hiyo ya kwanza!? Nini tofauti ya Jew (au Jews?) na Israelites? Zionism inaingiaje katika kutafuta ukweli wa kuwepo au kutokuwepo kwa taifa la Israel kabla ya mwaka 1948?
 
Wadau hamjamboni nyote?

Hii ni habari njema kwa Wana Israel mke wa Waziri Mkuu mteule Uingereza aendaye kwa jina la Victoria Starmer ni myahudi

Mungu ibariki Israel

Victoria Alexander was raised in north London. Her father is a former accountant from a Polish-Jewish background and her mother was a community doctor. She studied law at Cardiff University in Wales where she was head of the student unio.

View attachment 3034421View attachment 3034422
Bora Netanyahu ni myahudi na mzayuni wa asili na amechoka vita vinamuathiri kila leo watu wake wanauliwa itakua huyo mama? Fuatilia emu mkuu mayahudi wenyewe Israel wanaandama usiku na mchana kumpinga Netanyahu
 
Back
Top Bottom