Taarifa njema Mke wa Waziri Mkuu Victoria mteule Uingereza ni myahudi, Mungu ibariki Israel

Taarifa njema Mke wa Waziri Mkuu Victoria mteule Uingereza ni myahudi, Mungu ibariki Israel

Wadau hamjamboni nyote?

Hii ni habari njema kwa Wana Israel mke wa Waziri Mkuu mteule Uingereza aendaye kwa jina la Victoria Starmer ni myahudi

Mungu ibariki Israel

Victoria Alexander was raised in north London. Her father is a former accountant from a Polish-Jewish background and her mother was a community doctor. She studied law at Cardiff University in Wales where she was head of the student unio.

View attachment 3034421View attachment 3034422
Nyinyi wagalatia mmechanganyikiwa sio Bure kwahiyo mke wa waziri mkuu wa uingereza kuwa myahudi ndio Nini

Hivi unajua kama ukiongea habari za ukristo nchini Israel unaenda jera miaka 30?
 
Wadau hamjamboni nyote?

Hii ni habari njema kwa Wana Israel mke wa Waziri Mkuu mteule Uingereza aendaye kwa jina la Victoria Starmer ni myahudi

Mungu ibariki Israel

Victoria Alexander was raised in north London. Her father is a former accountant from a Polish-Jewish background and her mother was a community doctor. She studied law at Cardiff University in Wales where she was head of the student unio.

View attachment 3034421View attachment 3034422
U
Anaweza kuwa ana uhusiano na wewe huyo mke ila wewe mweusi tu
Happy now
Yaani akili ya mtu mweusi ni kuwaza ujinga tu
ukisikia shobo ndo hizi
Wakati muisrael wewe analuona kima tuu
 
Hahaha hivi we Malaika mtoa roho unadhani anakuja puuu kuchukua roho yako, bila kupewa amri na Mungu.

Mtume Muhammad alikuwa kipenzi cha Mwenyezi Mungu, unadhani Malaika mtoa roho atakuja puu mchukua roho yake kama vile mimi na wewe hahaha, yule ni Mtume anaonana na Malaika live kabisa.

Unashangaa Mtume Muhammad kumuona Malaika mtoa roho, usishangae Daudi alikuwa anamfungia mke wake ndani asitoke, Malaika mtoa roho alingia kwake.

Nabii Daudi alipo ingia ndani akamuona Malaika ndani kwake, akamuliza wewe nani, akajibiwa mimi ni yule naingia popote, hakuna wakunizuia, pale pale akamwambie wewe ni Malaika mtoa roho.

Usishangae Nabii Ibrahim kuwaona Malaika wawili wamekuja kwake, akawachinjia ndama akidhani wageni, badaye akawajua kama ni Malaika wamekuja kuteketeza group za kina MK254 na wenzao.

Mitume walikuwa wanawaona Malaika, na huyo Malaika mtoa roho wanamuona kabisa.

Tatizo lenu nyie wafuasi wa Paulo, nyimbo za kanisani zinawavuruga, mnatoka tupu, hamna faida kanisani, labda kama unataka kuopoa demu kama wanavyo sema vijana 😄
Sina shida na Mitume kuona malaika Mkuu hilo halina shida. Ninachojaribu kuelewa ni namba gani malaika mtoa roho anamuomba kibali anayetajwa kumtoa roho. Hebu fafanua hapo!
 
Nyinyi wagalatia mmechanganyikiwa sio Bure kwahiyo mke wa waziri mkuu wa uingereza kuwa myahudi ndio Nini

Hivi unajua kama ukiongea habari za ukristo nchini Israel unaenda jera miaka 30?
Hoja siyo Ukiristo Mkuu bali ni taarifa kuwa mkewe Waziri Mkuu ni myahudi, shida iko wapi?
 
Nyie mna mtatizo mnaamini Mungu anawapenda wayahudi kuliko nyie , laiti mngewajua shobo zenu zingeisha.
 
Hahaha kwani ukristo ulikuja kwa kiswahili nyie machizi nini.
Angarau wakiristo walibakiwa na akili kidogo watafusiri kitabu cha dini waliyo letewa kwenye lugha wanazo elewa vizuri. Lakini wezao walio letewa dini ya kiarabu wakawambia ili uwe mwezao lazima ujifuza kiarabu kwaza.
 
Slay the unbelievers wherever you find them – 2.191”
“Terrorise and behead those who believe in scriptures other than the Koran – 8.12”
“Make war on the infidels living in your neighbourhood – 9.123”
“Do not hanker for peace with the infidels; behead them when you catch them – 47.4”
It says : Fight in the cause of Allah those who fight you but do not trangress limits for Allah loves not the transgressors. (Quran 2:190)

In the earlier verse it is very clearly stated to fight only those who attacks first.

Then Allah says : And kill them wherever you overtake them and expel them from wherever they have expelled you, and fitnah is worse than killing. And do not fight them at al-Masjid al- Haram until they fight you there. But if they fight you, then kill them. Such is the recompense of the disbelievers. (Qur'an 2:191)

Now,do you know what verses come after this, ok I will let you know; It says : And if they cease, then indeed, Allah is Forgiving and Merciful(Qur'an 2:192)

So the first part of the verse is a reminder to muslims fighting that battle, to not be scared because God is with them, and that God will cast terror into the hearts of those enemies, Abu Sufyaan's army.


Peaceful religion does not mean that if an enemy attacks, you sit and die yourself. Many verses of the Quran, including 9:29, were revealed when an event occured.


Unlike the Bible and most religious scriptures, the Quran does not record the circumstances that leads to a verse being revealed



Qur’an 47:4 If you encounter (in war) those who disbelieve, you may strike the necks.

If you take them as captives you may set them free or ransom them, until the war ends. Had God willed, He could have granted you victory, without war. But He thus tests you by one another.


As for those who get killed in the cause of God, He will never put their sacrifice to waste.

I advise you; Whenever Satan puts bad thoughts about Allah or Islam, as soon as you recite Subhanallah, you are immediately negating and destroying those thoughts by declaring the Perfection of Allah, keep trying that.
 
Slay the unbelievers wherever you find them – 2.191”
“Terrorise and behead those who believe in scriptures other than the Koran – 8.12”
“Make war on the infidels living in your neighbourhood – 9.123”
“Do not hanker for peace with the infidels; behead them when you catch them – 47.4”
Yaani......
I whole heartedly support each of all those Surah
Kufanya hivyo wala sio shida kwangu, na tena kwa fahari kubwa
 
Angarau wakiristo walibakiwa na akili kidogo watafusiri kitabu cha dini waliyo letewa kwenye lugha wanazo elewa vizuri. Lakini wezao walio letewa dini ya kiarabu wakawambia ili uwe mwezao lazima ujifuza kiarabu kwaza.
Lazima ufahamu ukita kuwa PhD holder lazima ujifunze lugha ngeni kwako huwezi kuchukua PhD kama hujui kizungu.

Mungu anapima imani za binadamu, we kama unampenda basi lazima ujifunze Qur'an kwa kiarabu, Mungu anataka kukuona utaweza mbona kizungu na lugha zingine mnajifundisha sio kazi kwenu, kiarabu iwe kazi.


Kwenda peponi dogo usizani nyimbo za kanisani oh Yesu kachukua dhambi zetu, oh Yesu ndio muokozi wetu sio hivyo unavyo fikiria.

Pepo ni juhudi zako kutafata elimu ya Mungu na kupata elimu ya Mungu usidhani unaipata bila mtihani.

Nabii Ismail alipewa Mtihani wa kuchinjwa na Nabii Ibrahim alipewa mtihani wa kumchinja mwanae, walipo pasi wakakarimiwa na Mungu na moja wapo ni hio lugha ya kiarabu ya mke wa Ibrahim bi Hajar,.

Sababu ni mke aliye pewa mtihani na Mungu, yeye na mwanae, kwa hio we utake usitake kiarabu lazima ndio lugha utaongea siku ya kufufuka, na utakapo fika kaburini utajilaumu kwanini hukujifunza Qur'an .

We endelea kupoteza mda na dini ya Fake ya Paulo.
 
Sina shida na Mitume kuona malaika Mkuu hilo halina shida. Ninachojaribu kuelewa ni namba gani malaika mtoa roho anamuomba keep bali anayetajwa kumtoa roho. Hebu fafanua hapo!
Hapo we kumulize Malaika mtoa roho alienda kwa Nabii Daudi akamwambia kuna kijana yupo kwenye vikao vya Nabii Daudi umri wake miaka 20 atatoa roho yake baada ya siku 7

Kwanini alishindwa chukua roho yake na akaishi yule kijana miaka miaka 80, ushangae alienda kwa Mtume Muhammad mara moja, tena kwa kuomba idhini aingie kuchukua roho yake?

Usishangae kaenda kwa Nabii Daudi mara mbili ya kwanza kumuarifu atachukua roho ya yule kijana baada ya siku 7 na ya pili kumuambia Mwenyezi Mungu kampa umri yule kijana tena miaka 80.

Mara ya tatu alipo enda chukua roho ya Nabii Daud alikuwa ndani ya nyumba ya Nabii Daudi, na Nabii Daud alishangaa kumkuta ndani anamsubiri haha kabla ya kuchukua roho ya Nabii Daudi

Mnachekesha sana, kwa Mtume Muhammad lazima mlete ujinga ujinga sababu shetani anawatumia kwa njia ya Paulo hahaha.
 
Lazima ufahamu ukita kuwa PhD holder lazima ujifunze lugha ngeni kwako huwezi kuchukua PhD kama hujui kizungu.

Mungu anapima imani za binadamu, we kama unampenda basi lazima ujifunze Qur'an kwa kiarabu, Mungu anataka kukuona utaweza mbona kizungu na lugha zingine mnajifundisha sio kazi kwenu, kiarabu iwe kazi.


Kwenda peponi dogo usizani nyimbo za kanisani oh Yesu kachukua dhambi zetu, oh Yesu ndio muokozi wetu sio hivyo unavyo fikiria.

Pepo ni juhudi zako kutafata elimu ya Mungu na kupata elimu ya Mungu usidhani unaipata bila mtihani.

Nabii Ismail alipewa Mtihani wa kuchinjwa na Nabii Ibrahim alipewa mtihani wa kumchinja mwanae, walipo pasi wakakarimiwa na Mungu na moja wapo ni hio lugha ya kiarabu ya mke wa Ibrahim bi Hajar,.

Sababu ni mke aliye pewa mtihani na Mungu, yeye na mwanae, kwa hio we utake usitake kiarabu lazima ndio lugha utaongea siku ya kufufuka, na utakapo fika kaburini utajilaumu kwanini hukujifunza Qur'an .

We endelea kupoteza mda na dini ya Fake ya Paulo.
KWanini Mungu achaguwa kiarabu kuwa luhga ya dini? Yaani Mungu alikosa sehemu zote akamuwa kwenda kuazisha dini na lugha jagwani ?
 
Lazima ufahamu ukita kuwa PhD holder lazima ujifunze lugha ngeni kwako huwezi kuchukua PhD kama hujui kizungu.

Mungu anapima imani za binadamu, we kama unampenda basi lazima ujifunze Qur'an kwa kiarabu, Mungu anataka kukuona utaweza mbona kizungu na lugha zingine mnajifundisha sio kazi kwenu, kiarabu iwe kazi.


Kwenda peponi dogo usizani nyimbo za kanisani oh Yesu kachukua dhambi zetu, oh Yesu ndio muokozi wetu sio hivyo unavyo fikiria.

Pepo ni juhudi zako kutafata elimu ya Mungu na kupata elimu ya Mungu usidhani unaipata bila mtihani.

Nabii Ismail alipewa Mtihani wa kuchinjwa na Nabii Ibrahim alipewa mtihani wa kumchinja mwanae, walipo pasi wakakarimiwa na Mungu na moja wapo ni hio lugha ya kiarabu ya mke wa Ibrahim bi Hajar,.

Sababu ni mke aliye pewa mtihani na Mungu, yeye na mwanae, kwa hio we utake usitake kiarabu lazima ndio lugha utaongea siku ya kufufuka, na utakapo fika kaburini utajilaumu kwanini hukujifunza Qur'an .

We endelea kupoteza mda na dini ya Fake ya Paulo.
Kwahiyo Mungu anachaguwa watu wa kumuabudu na anawapa mtihani kwanza?
 
KWanini Mungu achaguwa kiarabu kuwa luhga ya dini? Yaani Mungu alikosa sehemu zote akamuwa kwenda kuazisha dini na lugha jagwani ?
Tatizo kwani msijiulize Mungu alileta Mitume wote karibu walikuwa Wayahudi na Warabu kwanini asilete Mitume Wakimarekani, Warusi, Wachina na Wahindi au Wafrika 😄
 
Hata kuna wake wa Mtume Muhammad wawili walikuwa wayahudi ni Rayhana bint Zayd and Safiya bint Huyayy, je kosa liko wapi, anaye endesha nchi ni mke au Mwanaume.

Vipi akili zako lakini
unataka tuchukue akili za kudai YESU alikuwa muislamu huku muislamu wa kwanza akiwa mudy?akili ndo hizi?
 
Baadhi ya wakristu (sio dini) bali "baadhi" ya waumini wa kikristu ni wajinga kupindukia. Kutoka kuuziwa papai kwa 150,000 au kuuziwa viwanja mbinguni mpaka kuishabikia taifa linalofanya mauaji ya kimbari wakiamini Mungu ndio amewapa agizo hilo. (Hakuna Mungu anayeamrisha mauaji)
sawa abdulratif,utumwa ni kutojitambua!
 
Kwahiyo Mungu anachaguwa watu wa kumuabudu na anawapa mtihani kwanza?
Kwa hio Mungu wawakristo kwanini achague taifa teule mengine sio mataifa 😄

Ungeiuliza bibili yako kwanza hilo swali, kama unamini Mungu wa bibilia ya Paulo anataifa teule, kwani usiamini Mungu kachagua kiarabu Kwenye Qur'an.

Au ulitaka Mungu aongee kiyahudi ndio uamini yeye Mungu, Kwani Mungu haelewi lugha zingine.

Kwanini ashushe Taurat na Injili kwa lugha ya kiyahudi, na kosa kushusha Qur'an kwa kiarabu hahaha

Wakristo wajinga kweli nyie, mnataka kumchagulia Mungu ashushe Qur'an kwa kiswahili au kifaransa 😆
 
Back
Top Bottom