Taarifa njema Mke wa Waziri Mkuu Victoria mteule Uingereza ni myahudi, Mungu ibariki Israel

Taarifa njema Mke wa Waziri Mkuu Victoria mteule Uingereza ni myahudi, Mungu ibariki Israel

Wadau hamjamboni nyote?

Hii ni habari njema kwa Wana Israel mke wa Waziri Mkuu mteule Uingereza aendaye kwa jina la Victoria Starmer ni myahudi

Mungu ibariki Israel

Victoria Alexander was raised in north London. Her father is a former accountant from a Polish-Jewish background and her mother was a community doctor. She studied law at Cardiff University in Wales where she was head of the student unio.

View attachment 3034421View attachment 3034422
Kama kuna watu waliharibiwa akili na dini za kiarabu na kizungu basi ni wafirika ,hasa watanzania ndio kabisa machizi.
 
Nani alio wambia Mtume kafa kwa sumu, sijui mnaota 😄

Mtume wakati anatolewa roho alikuja Malaika mtoa roho anamuomba ruhusa aingie kwake, waje wajinga wamuwe kwa sumu hahaha.
Alipo tolewa roho yake ni yeye ndiye alimuambia Maika mtoa roho achukue roho yake, hakuja malaika mtoa roho kama anavyo kuja kutoa roho za wengine bila hodi.
Ulongo mtupu,nani alimwona huyo malaika?,ukweli ni kuwa binti wa kiisrael alimwekea sumu mtume na ndio maana mpaka anakufa aliwalaani waisrael mwanzo mwisho.
 
Wadau hamjamboni nyote?

Hii ni habari njema kwa Wana Israel mke wa Waziri Mkuu mteule Uingereza aendaye kwa jina la Victoria Starmer ni myahudi

Mungu ibariki Israel

Victoria Alexander was raised in north London. Her father is a former accountant from a Polish-Jewish background and her mother was a community doctor. She studied law at Cardiff University in Wales where she was head of the student unio.

View attachment 3034421View attachment 3034422
We jamaa pamoja na kwamba tupo kwenye dunia ya kijidigital lakini wewe bado upo zama za mawe za kale,, kwa hiyo huyo mkewe akiwa myahudi ndo ibarikiwe Israel 😃,, kwamba bado una zile mentality myahudi mtu bora na sio wanyakyusa wenzio wa mwakaleli 😄,, vijana kama nyie hamna mchango wowote kwenye taifa😃😃
 
Ulongo mtupu,nani alimwona huyo malaika?,ukweli ni kuwa binti wa kiisrael alimwekea sumu mtume na ndio maana mpaka anakufa aliwalaani waisrael mwanzo mwisho.
Hizo ni fixed za kanisani tu, Mtume hakuwa na chuki na taifa lolote sababu Qur'an ilisema wazi kabisa, hutukukupeleka duniani ila uwe Rehema ya kila kitu, vipi awachukie wayahudi.

God Almighty says, “And We have not sent you but as a mercy to the worlds.” (Al-Anbiyaa' 21:107)
 
Baadhi ya wakristu (sio dini) bali "baadhi" ya waumini wa kikristu ni wajinga kupindukia. Kutoka kuuziwa papai kwa 150,000 au kuuziwa viwanja mbinguni mpaka kuishabikia taifa linalofanya mauaji ya kimbari wakiamini Mungu ndio amewapa agizo hilo. (Hakuna Mungu anayeamrisha mauaji)
Hakuna mauaji ya kimbari. Ni vita dhidi ya ugaidi wa hamas na Hezbollah
 
Sana

Ajue awe myahudi, au mhindu awe muislamu, Uingereza inaisapoti Israel 100%

Kwanza unatakiwa ujue Taifa la Israle limetengenezwa kwa msaada mkubwa na Uingereza, baada ya kuitawala Palestine.

Tuwe tunajifunza na kusoma sio kudandia vihoja vya visivyo na mashiko.
Sahihi kabisa. Ebu tupe elimu kidogo kabla ya Uingereza kusaidia kulitengeneza taifa la Israel taifa hilo lilikuwa wapi? Na kwanini Uganda ilihusishwa?
 
Hizo ni fixed za kanisani tu, Mtume hakuwa na chuki na taifa lolote sababu Qur'an ilisema wazi kabisa, hutukukupeleka duniani ila uwe Rehema ya kila kitu, vipi awachukie wayahudi.

God Almighty says, “And We have not sent you but as a mercy to the worlds.” (Al-Anbiyaa' 21:107)
Hakuna fix kanisani hata kidogo. Ni fix gani hizo unazozijua?
 
Wadau hamjamboni nyote?

Hii ni habari njema kwa Wana Israel mke wa Waziri Mkuu mteule Uingereza aendaye kwa jina la Victoria Starmer ni myahudi

Mungu ibariki Israel

Victoria Alexander was raised in north London. Her father is a former accountant from a Polish-Jewish background and her mother was a community doctor. She studied law at Cardiff University in Wales where she was head of the student unio.

View attachment 3034421View attachment 3034422
Kwa hiyo we myahudi pori unafurahia dada ako napakuliwa na waziri mkuu wa Uingereza
 
Baadhi ya wakristu (sio dini) bali "baadhi" ya waumini wa kikristu ni wajinga kupindukia. Kutoka kuuziwa papai kwa 150,000 au kuuziwa viwanja mbinguni mpaka kuishabikia taifa linalofanya mauaji ya kimbari wakiamini Mungu ndio amewapa agizo hilo. (Hakuna Mungu anayeamrisha mauaji)
Tena hao baadhi ambao ni wajinga ni 99.9%
Wakristo wachache sana ndio sio wajinga hata kama watakataa
 
Na hilo ndilo lengo la wayahudi, kuhakikisha kila kona ya dunia wana wawakilishi wao ili kutimiza lengo lao la world domination kabla ya mesiah wao kuwasili.

NOTE: Mesiah wao sio Jesus, yupo mwingine na atakuja pale ambapo ujenzi wa temple utakapo kamilika.
 
Wadau hamjamboni nyote?

Hii ni habari njema kwa Wana Israel mke wa Waziri Mkuu mteule Uingereza aendaye kwa jina la Victoria Starmer ni myahudi

Mungu ibariki Israel

Victoria Alexander was raised in north London. Her father is a former accountant from a Polish-Jewish background and her mother was a community doctor. She studied law at Cardiff University in Wales where she was head of the student unio.

View attachment 3034421View attachment 3034422
ni kwamba, waziri pamoja na mkewe wote ni wayahudi pure,na wanasali kwenye masinagogi ya wayahudi kila jumamosi.
 
Kwa hivyo kuwa myahudi wewe ndio unafuahi. unaakili za ndege
b984622235cc47cb86f061bcea479279.jpeg
 
Kanisani kila Jumapili mnaenda kutongozana tu, ukristo hauna salaa toa bibilia zenu wapi inawambia mkasali kanisani jumapili hahaha, sa muwache kuimba nyimbo za kumzulia Mtume Muhammad uwongo
Umepotea. Hudhuria siku moja usikilize mwenyewe usipende kuambiwa.
Utaelimika kidogo.
 
Back
Top Bottom