Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama kuna watu waliharibiwa akili na dini za kiarabu na kizungu basi ni wafirika ,hasa watanzania ndio kabisa machizi.Wadau hamjamboni nyote?
Hii ni habari njema kwa Wana Israel mke wa Waziri Mkuu mteule Uingereza aendaye kwa jina la Victoria Starmer ni myahudi
Mungu ibariki Israel
Victoria Alexander was raised in north London. Her father is a former accountant from a Polish-Jewish background and her mother was a community doctor. She studied law at Cardiff University in Wales where she was head of the student unio.
View attachment 3034421View attachment 3034422
Ulongo mtupu,nani alimwona huyo malaika?,ukweli ni kuwa binti wa kiisrael alimwekea sumu mtume na ndio maana mpaka anakufa aliwalaani waisrael mwanzo mwisho.Nani alio wambia Mtume kafa kwa sumu, sijui mnaota 😄
Mtume wakati anatolewa roho alikuja Malaika mtoa roho anamuomba ruhusa aingie kwake, waje wajinga wamuwe kwa sumu hahaha.
Alipo tolewa roho yake ni yeye ndiye alimuambia Maika mtoa roho achukue roho yake, hakuja malaika mtoa roho kama anavyo kuja kutoa roho za wengine bila hodi.
We jamaa pamoja na kwamba tupo kwenye dunia ya kijidigital lakini wewe bado upo zama za mawe za kale,, kwa hiyo huyo mkewe akiwa myahudi ndo ibarikiwe Israel 😃,, kwamba bado una zile mentality myahudi mtu bora na sio wanyakyusa wenzio wa mwakaleli 😄,, vijana kama nyie hamna mchango wowote kwenye taifa😃😃Wadau hamjamboni nyote?
Hii ni habari njema kwa Wana Israel mke wa Waziri Mkuu mteule Uingereza aendaye kwa jina la Victoria Starmer ni myahudi
Mungu ibariki Israel
Victoria Alexander was raised in north London. Her father is a former accountant from a Polish-Jewish background and her mother was a community doctor. She studied law at Cardiff University in Wales where she was head of the student unio.
View attachment 3034421View attachment 3034422
Hizo ni fixed za kanisani tu, Mtume hakuwa na chuki na taifa lolote sababu Qur'an ilisema wazi kabisa, hutukukupeleka duniani ila uwe Rehema ya kila kitu, vipi awachukie wayahudi.Ulongo mtupu,nani alimwona huyo malaika?,ukweli ni kuwa binti wa kiisrael alimwekea sumu mtume na ndio maana mpaka anakufa aliwalaani waisrael mwanzo mwisho.
Hakuna mauaji ya kimbari. Ni vita dhidi ya ugaidi wa hamas na HezbollahBaadhi ya wakristu (sio dini) bali "baadhi" ya waumini wa kikristu ni wajinga kupindukia. Kutoka kuuziwa papai kwa 150,000 au kuuziwa viwanja mbinguni mpaka kuishabikia taifa linalofanya mauaji ya kimbari wakiamini Mungu ndio amewapa agizo hilo. (Hakuna Mungu anayeamrisha mauaji)
Sahihi kabisa. Ebu tupe elimu kidogo kabla ya Uingereza kusaidia kulitengeneza taifa la Israel taifa hilo lilikuwa wapi? Na kwanini Uganda ilihusishwa?Sana
Ajue awe myahudi, au mhindu awe muislamu, Uingereza inaisapoti Israel 100%
Kwanza unatakiwa ujue Taifa la Israle limetengenezwa kwa msaada mkubwa na Uingereza, baada ya kuitawala Palestine.
Tuwe tunajifunza na kusoma sio kudandia vihoja vya visivyo na mashiko.
Hakuna fix kanisani hata kidogo. Ni fix gani hizo unazozijua?Hizo ni fixed za kanisani tu, Mtume hakuwa na chuki na taifa lolote sababu Qur'an ilisema wazi kabisa, hutukukupeleka duniani ila uwe Rehema ya kila kitu, vipi awachukie wayahudi.
God Almighty says, “And We have not sent you but as a mercy to the worlds.” (Al-Anbiyaa' 21:107)
Kwa hiyo we myahudi pori unafurahia dada ako napakuliwa na waziri mkuu wa UingerezaWadau hamjamboni nyote?
Hii ni habari njema kwa Wana Israel mke wa Waziri Mkuu mteule Uingereza aendaye kwa jina la Victoria Starmer ni myahudi
Mungu ibariki Israel
Victoria Alexander was raised in north London. Her father is a former accountant from a Polish-Jewish background and her mother was a community doctor. She studied law at Cardiff University in Wales where she was head of the student unio.
View attachment 3034421View attachment 3034422
Tena hao baadhi ambao ni wajinga ni 99.9%Baadhi ya wakristu (sio dini) bali "baadhi" ya waumini wa kikristu ni wajinga kupindukia. Kutoka kuuziwa papai kwa 150,000 au kuuziwa viwanja mbinguni mpaka kuishabikia taifa linalofanya mauaji ya kimbari wakiamini Mungu ndio amewapa agizo hilo. (Hakuna Mungu anayeamrisha mauaji)
Umesoma kilichoandikwa vizuri?Hata kuna wake wa Mtume Muhammad wawili walikuwa wayahudi ni Rayhana bint Zayd and Safiya bint Huyayy, je kosa liko wapi, anaye endesha nchi ni mke au Mwanaume.
Vipi akili zako lakini
ni kwamba, waziri pamoja na mkewe wote ni wayahudi pure,na wanasali kwenye masinagogi ya wayahudi kila jumamosi.Wadau hamjamboni nyote?
Hii ni habari njema kwa Wana Israel mke wa Waziri Mkuu mteule Uingereza aendaye kwa jina la Victoria Starmer ni myahudi
Mungu ibariki Israel
Victoria Alexander was raised in north London. Her father is a former accountant from a Polish-Jewish background and her mother was a community doctor. She studied law at Cardiff University in Wales where she was head of the student unio.
View attachment 3034421View attachment 3034422
Aisee hayo majibu yako siyo akili za ndege?Kwa hivyo kuwa myahudi wewe ndio unafuahi. unaakili za ndege
Abariki WAUA YESU KRISTO!Kwaiyo hapo mungu abariki uyahud au Israel?
Kwa hivyo kuwa myahudi wewe ndio unafuahi. unaakili za ndege
Kanisani kila Jumapili mnaenda kutongozana tu, ukristo hauna salaa toa bibilia zenu wapi inawambia mkasali kanisani jumapili hahaha, sa muwache kuimba nyimbo za kumzulia Mtume Muhammad uwongoHakuna fix kanisani hata kidogo. Ni fix gani hizo unazozijua?
Umepotea. Hudhuria siku moja usikilize mwenyewe usipende kuambiwa.Kanisani kila Jumapili mnaenda kutongozana tu, ukristo hauna salaa toa bibilia zenu wapi inawambia mkasali kanisani jumapili hahaha, sa muwache kuimba nyimbo za kumzulia Mtume Muhammad uwongo