Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
- Thread starter
- #61
Yesu Kristo alikufa kwa ajili yetuAbariki WAUA YESU KRISTO!
WAKRISTO WANAPATA SHIDA SANA ISRAEL!
WAKRISTO WA HAPA HATA HAWAJUI!
NDOROBO KABISA!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yesu Kristo alikufa kwa ajili yetuAbariki WAUA YESU KRISTO!
WAKRISTO WANAPATA SHIDA SANA ISRAEL!
WAKRISTO WA HAPA HATA HAWAJUI!
NDOROBO KABISA!
Hiyo ni taarifa MkuuDuh bongo hii kwahiyo akiwa myahudi.......
Muafrika yupi huyo alosahau kabila lake?Wa Afrika wamesahau hata makabila yao na kuyadharau huku wakithamini wayahudi. Afrika laana, tote hiyo ni kwa sababu ya dini.
Ibada imetajwa wapi hapo?Sijaelewa kwa hiyo na huyu mtamuabudu kama bikira la Maria au ?!
Dini ya kiarabu ndiyo ipi hiyo?Kama kuna watu waliharibiwa akili na dini za kiarabu na kizungu basi ni wafirika ,hasa watanzania ndio kabisa machizi.
Uliza vizuri tupate ufafanuzi wa taarifa hiyo kama ni kweli!Nahisi asilimia kubwa ya waafrika wana shida katika ubongo wao
Magaidi hayawezi barikiwa ndio mana gaza imegeuzwa majivu na magaidi yote kutangulizwa ahera kwa allaMungu Ibariki pia Palestine.
Mada husika umeielewa kweli?Baadhi ya wakristu (sio dini) bali "baadhi" ya waumini wa kikristu ni wajinga kupindukia. Kutoka kuuziwa papai kwa 150,000 au kuuziwa viwanja mbinguni mpaka kuishabikia taifa linalofanya mauaji ya kimbari wakiamini Mungu ndio amewapa agizo hilo. (Hakuna Mungu anayeamrisha mauaji)
Much Mungu yupi huyo?Mungu Ibariki pia Palestine.
Aliye mywesha sumu na kumuuua wakala wa shatani ni nani kati yahao.Hata kuna wake wa Mtume Muhammad wawili walikuwa wayahudi ni Rayhana bint Zayd and Safiya bint Huyayy, je kosa liko wapi, anaye endesha nchi ni mke au Mwanaume.
Vipi akili zako lakini
Taifa la shetani kwa mujibu wa kitabu kipi hasa?Palestinian Christians under Israeli occupation speak out
Wakristo wenzako wanauliwa wewe umekazana Mungu ibariki Israel (kisa umeona Israel ya bible ukadhani ni sawa na hili taifa la shetani lilolaaniwa)
Ila magaidi yaliamrishwa yakauwe wayahudi ila octb 7,huku yakisema alakbaru na wewe mmatumbi ukishabikia...pumbafu wa headBaadhi ya wakristu (sio dini) bali "baadhi" ya waumini wa kikristu ni wajinga kupindukia. Kutoka kuuziwa papai kwa 150,000 au kuuziwa viwanja mbinguni mpaka kuishabikia taifa linalofanya mauaji ya kimbari wakiamini Mungu ndio amewapa agizo hilo. (Hakuna Mungu anayeamrisha mauaji)
Malaika mtoa roho anaombaje kibali kutoa roho ya mwanadamu?Nani alio wambia Mtume kafa kwa sumu, sijui mnaota 😄
Mtume wakati anatolewa roho alikuja Malaika mtoa roho anamuomba ruhusa aingie kwake, waje wajinga wamuwe kwa sumu hahaha.
Alipo tolewa roho yake ni yeye ndiye alimuambia Maika mtoa roho achukue roho yake, hakuja malaika mtoa roho kama anavyo kuja kutoa roho za wengine bila hodi.
Hahaha hivi we Malaika mtoa roho unadhani anakuja puuu kuchukua roho yako, bila kupewa amri na Mungu.Malaika mtoa roho anaombaje kibali kutoa roho ya mwanadamu?
Dini ambayo kitabu chake imeandkwa kwa kiarabu, na waumini wake wanaenda uarabuni kutakaswa.Dini ya kiarabu ndiyo ipi hiyo?
Wewe Israel inakusaidia nini?Wadau hamjamboni nyote?
Hii ni habari njema kwa Wana Israel mke wa Waziri Mkuu mteule Uingereza aendaye kwa jina la Victoria Starmer ni myahudi
Mungu ibariki Israel
Victoria Alexander was raised in north London. Her father is a former accountant from a Polish-Jewish background and her mother was a community doctor. She studied law at Cardiff University in Wales where she was head of the student unio.
View attachment 3034421View attachment 3034422
Kwenye maswala ya kidini wakristo na waislam wote hamchekani kwani ukweli uko wazi kwamba ili uwe muumini wa dini lazima ukubali kuwa mjinga.Baadhi ya wakristu (sio dini) bali "baadhi" ya waumini wa kikristu ni wajinga kupindukia. Kutoka kuuziwa papai kwa 150,000 au kuuziwa viwanja mbinguni mpaka kuishabikia taifa linalofanya mauaji ya kimbari wakiamini Mungu ndio amewapa agizo hilo. (Hakuna Mungu anayeamrisha mauaji)
Slay the unbelievers wherever you find them – 2.191”Hizo ni fixed za kanisani tu, Mtume hakuwa na chuki na taifa lolote sababu Qur'an ilisema wazi kabisa, hutukukupeleka duniani ila uwe Rehema ya kila kitu, vipi awachukie wayahudi.
God Almighty says, “And We have not sent you but as a mercy to the worlds.” (Al-Anbiyaa' 21:107)
Jamaa mjanja sana.Hata kuna wake wa Mtume Muhammad wawili walikuwa wayahudi ni Rayhana bint Zayd and Safiya bint Huyayy, je kosa liko wapi, anaye endesha nchi ni mke au Mwanaume.
Vipi akili zako lakini