Taarifa njema Mke wa Waziri Mkuu Victoria mteule Uingereza ni myahudi, Mungu ibariki Israel

Taarifa njema Mke wa Waziri Mkuu Victoria mteule Uingereza ni myahudi, Mungu ibariki Israel

Baadhi ya wakristu (sio dini) bali "baadhi" ya waumini wa kikristu ni wajinga kupindukia. Kutoka kuuziwa papai kwa 150,000 au kuuziwa viwanja mbinguni mpaka kuishabikia taifa linalofanya mauaji ya kimbari wakiamini Mungu ndio amewapa agizo hilo. (Hakuna Mungu anayeamrisha mauaji)
Mada husika umeielewa kweli?
 
Hata kuna wake wa Mtume Muhammad wawili walikuwa wayahudi ni Rayhana bint Zayd and Safiya bint Huyayy, je kosa liko wapi, anaye endesha nchi ni mke au Mwanaume.

Vipi akili zako lakini
Aliye mywesha sumu na kumuuua wakala wa shatani ni nani kati yahao.
 
Baadhi ya wakristu (sio dini) bali "baadhi" ya waumini wa kikristu ni wajinga kupindukia. Kutoka kuuziwa papai kwa 150,000 au kuuziwa viwanja mbinguni mpaka kuishabikia taifa linalofanya mauaji ya kimbari wakiamini Mungu ndio amewapa agizo hilo. (Hakuna Mungu anayeamrisha mauaji)
Ila magaidi yaliamrishwa yakauwe wayahudi ila octb 7,huku yakisema alakbaru na wewe mmatumbi ukishabikia...pumbafu wa head
 
Nani alio wambia Mtume kafa kwa sumu, sijui mnaota 😄

Mtume wakati anatolewa roho alikuja Malaika mtoa roho anamuomba ruhusa aingie kwake, waje wajinga wamuwe kwa sumu hahaha.

Alipo tolewa roho yake ni yeye ndiye alimuambia Maika mtoa roho achukue roho yake, hakuja malaika mtoa roho kama anavyo kuja kutoa roho za wengine bila hodi.
Malaika mtoa roho anaombaje kibali kutoa roho ya mwanadamu?
 
Malaika mtoa roho anaombaje kibali kutoa roho ya mwanadamu?
Hahaha hivi we Malaika mtoa roho unadhani anakuja puuu kuchukua roho yako, bila kupewa amri na Mungu.

Mtume Muhammad alikuwa kipenzi cha Mwenyezi Mungu, unadhani Malaika mtoa roho atakuja puu mchukua roho yake kama vile mimi na wewe hahaha, yule ni Mtume anaonana na Malaika live kabisa.

Unashangaa Mtume Muhammad kumuona Malaika mtoa roho, usishangae Daudi alikuwa anamfungia mke wake ndani asitoke, Malaika mtoa roho alingia kwake.

Nabii Daudi alipo ingia ndani akamuona Malaika ndani kwake, akamuliza wewe nani, akajibiwa mimi ni yule naingia popote, hakuna wakunizuia, pale pale akamwambie wewe ni Malaika mtoa roho.

Usishangae Nabii Ibrahim kuwaona Malaika wawili wamekuja kwake, akawachinjia ndama akidhani wageni, badaye akawajua kama ni Malaika wamekuja kuteketeza group za kina MK254 na wenzao.

Mitume walikuwa wanawaona Malaika, na huyo Malaika mtoa roho wanamuona kabisa.

Tatizo lenu nyie wafuasi wa Paulo, nyimbo za kanisani zinawavuruga, mnatoka tupu, hamna faida kanisani, labda kama unataka kuopoa demu kama wanavyo sema vijana 😄
 
Wadau hamjamboni nyote?

Hii ni habari njema kwa Wana Israel mke wa Waziri Mkuu mteule Uingereza aendaye kwa jina la Victoria Starmer ni myahudi

Mungu ibariki Israel

Victoria Alexander was raised in north London. Her father is a former accountant from a Polish-Jewish background and her mother was a community doctor. She studied law at Cardiff University in Wales where she was head of the student unio.

View attachment 3034421View attachment 3034422
Wewe Israel inakusaidia nini?

Waafrika hatujitambui sijui kwa nini?
In real life hakuna kitu kinaitwa taifa teule hizo zote ni siasa za wakati ule..
 
Baadhi ya wakristu (sio dini) bali "baadhi" ya waumini wa kikristu ni wajinga kupindukia. Kutoka kuuziwa papai kwa 150,000 au kuuziwa viwanja mbinguni mpaka kuishabikia taifa linalofanya mauaji ya kimbari wakiamini Mungu ndio amewapa agizo hilo. (Hakuna Mungu anayeamrisha mauaji)
Kwenye maswala ya kidini wakristo na waislam wote hamchekani kwani ukweli uko wazi kwamba ili uwe muumini wa dini lazima ukubali kuwa mjinga.

Yaani mtu unalazimishwa kuuacha kabisa utamaduni wako na kufuata wa yule aliyekuletea hiyo dini eti kwa kufanya hivyo ndio utaingia mbinguni, kweli...!!!😛😛😛 Waafrika IQ RATING ndogo sana.
 
Hizo ni fixed za kanisani tu, Mtume hakuwa na chuki na taifa lolote sababu Qur'an ilisema wazi kabisa, hutukukupeleka duniani ila uwe Rehema ya kila kitu, vipi awachukie wayahudi.

God Almighty says, “And We have not sent you but as a mercy to the worlds.” (Al-Anbiyaa' 21:107)
Slay the unbelievers wherever you find them – 2.191”
“Terrorise and behead those who believe in scriptures other than the Koran – 8.12”
“Make war on the infidels living in your neighbourhood – 9.123”
“Do not hanker for peace with the infidels; behead them when you catch them – 47.4”
 
Hata kuna wake wa Mtume Muhammad wawili walikuwa wayahudi ni Rayhana bint Zayd and Safiya bint Huyayy, je kosa liko wapi, anaye endesha nchi ni mke au Mwanaume.

Vipi akili zako lakini
Jamaa mjanja sana.

Kumbe wakeze walikua wanamsimulia torati.

Yeye anakuja kutuambia kitabu kimeshuka.
 
Back
Top Bottom