Clemence Mwandambo
JF-Expert Member
- Dec 2, 2018
- 1,378
- 1,427
Wa Afrika wamesahau hata makabila yao na kuyadharau huku wakithamini wayahudi. Afrika laana, tote hiyo ni kwa sababu ya dini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Taifa la Isreal limelaaniwaUbarikiwe ee Israel
Mtashindana lakini hamtawashinda,aliyepewa kapewa acha chuki mkuu.Taifa la Isreal limelaaniwa
Israeli chief rabbi compares black people to monkeys
Ultra-orthodox Jews spit towards Christian pilgrims leaving Church of the Flagellation
Jewish Rabbi claims Torah instructs jews to destroy !
nakaribisha wajinga wanitukane, wakitoka hapa wanaenda uziwa mapapai kwa 150,000 kama mizimu
Hata raisi wa Ukrainę ni myahudi piaWadau hamjamboni nyote?
Hii ni habari njema kwa Wana Israel mke wa Waziri Mkuu mteule Uingereza aendaye kwa jina la Victoria Starmer ni myahudi
Mungu ibariki Israel
Victoria Alexander was raised in north London. Her father is a former accountant from a Polish-Jewish background and her mother was a community doctor. She studied law at Cardiff University in Wales where she was head of the student unio.
View attachment 3034421View attachment 3034422
Dhulma haidumu ipo siku wataanguka. Hakuna aliye dhulumu akapona. Just time will tell. Unawatetea kwa sababu wametajwa katika Bibilia, na sidhani kwamba ingelikuwa familia yako imevamiwa na wahindu na kuanza kuuliwa kutoka babu yako, baba yako na ndugu zako huku mali zao zikitaifishwa, sidhani kama ungemuelewa mtu ambaye atakwambia wacha chuki dhidi wa wahindi waliopewa wamepewa, huwezi shindana nao. Na wewe ni mmoja kati ya wakristu wasio kuwa na akili...Mtashindana lakini hamtawashinda,aliyepewa kapewa acha chuki mkuu.
Alianza mtume kutaka kuwafuta akashindwa,wakafuata na wengine mpaka sasa wameshindwa,wewe utasubili sana mkuu.Dhulma haidumu ipo siku wataanguka. Hakuna aliye dhulumu akapona. Just time will tell. Unawatetea kwa sababu wametajwa katika Bibilia, na sidhani kwamba ingelikuwa familia yako imevamiwa na wahindu na kuanza kuuliwa kutoka babu yako, baba yako na ndugu zako huku mali zao zikitaifishwa, sidhani kama ungemuelewa mtu ambaye atakwambia wacha chuki dhidi wa wahindi waliopewa wamepewa, huwezi shindana nao. Na wewe ni mmoja kati ya wakristu wasio kuwa na akili...
Huwezi kusema Mungu / Mtume amemshindwa kumfuta shetani hivyo tumuabudu shetani. Hajamshindwa isipokuwa ni kutupa majaribio sisi. Taifa lilolaaniwa la Israel linalomkataa Yesu na kumkaribisha Mpinga Kristu linatakiwa kulaaniwa na dini zote, na watu wote,Alianza mtume kutaka kuwafuta akashindwa,wakafuata na wengine mpaka sasa wameshindwa,wewe utasubili sana mkuu.
Kwa hio Bukhari anawafurahisha sana hahaha.Halafu mmoja alimuwekea sumu iliyo muathiri Hadi kifo!
👇👇
Sahih al-Bukhari 4428
Imepokewa kutoka kwa Aisha:
Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) katika maradhi yake aliyofariki, alikuwa akisema: “Ewe Aisha! Bado nahisi maumivu ya chakula nilichokula pale Khaibar, na wakati huu nahisi kana kwamba mshipa wangu wa moyo unakatika. kutokana na sumu hiyo."
وَقَالَ يُونُسُ عَنِ الزُّهْرِيِّ، قَالَ عُرْوَةُ قَالَتْ عَائِشَةُ ـ رضى الله عنها ـ كَانَ النَّبِيُّ صلى الله عليه وسلم يَقُولُ فِي مَرَضِهِ الَّذِي مَاتَ فِيهِ " يَا عَائِشَةُ مَا أَزَالُ أَجِدُ أَلَمَ الطَّعَامِ الَّذِي أَكَلْتُ بِخَيْبَرَ، فَهَذَا أَوَانُ وَجَدْتُ انْقِطَاعَ أَبْهَرِي مِنْ ذَلِكَ السَّمِّ "
Rejea : Sahih al-Bukhari 4428
Kitabu cha 64, Hadith 450
Vol. 5, Kitabu cha 59, Hadithi ya 713
😆😆😆😆😆
Tuache kuwalaani waarabu wanaotesa waafrika wenzetu hadi kufikia hatua ya kunyofoa figo zao,nije kulaani Israel ambayo haijanikosea,zaidi zaidi tunapata faida ya technologia.Huwezi kusema Mungu / Mtume amemshindwa kumfuta shetani hivyo tumuabudu shetani. Hajamshindwa isipokuwa ni kutupa majaribio sisi. Taifa lilolaaniwa la Israel linalomkataa Yesu na kumkaribisha Mpinga Kristu linatakiwa kulaaniwa na dini zote, na watu wote,
Kipimo pekee kuonyesha mtu wa Mungu baada ya majaribu lazima upone na uwe na nguvu,sasa mtume baada ya kulishwa sumu aliendea hiyo hiyo,ndio tunajiuliza je alikuwa wa Mungu au wa mungu?Kwa hio Bukhari anawafurahisha sana hahaha.
We si ndio yule dogo una multiple users humu.
Sa Kwanini Yesu alipigiliwa msalabani kama yeye Mungu, si mnasema alikufa msalabani hahaha sa unashangaa Mtume Muhammad kala sumu hahaha.
Kwanini usishangae Ayoub kupata maradhi miaka na yeye Mtume.
Kwani usishangae Yusufu kutupwa kisimani na ndugu zake, vipi asijue ndugu zake wanaenda mzamisha yeye ni Mtume na baba yake ni Mtume uje kushanga Mtume kulishwa sumu haha.
Kwanini usishangae Ibrahimu kutupiwa kwenye moto na yeye Mtume, nani alimukoa si Mwenyezi Mungu hata hao wengine Mungu ndio kawaokoa sa ajabu iko wapi hahaha
Uyahudi wake ni habari njema kivipi?Wadau hamjamboni nyote?
Hii ni habari njema kwa Wana Israel mke wa Waziri Mkuu mteule Uingereza aendaye kwa jina la Victoria Starmer ni myahudi
Mungu ibariki Israel
Victoria Alexander was raised in north London. Her father is a former accountant from a Polish-Jewish background and her mother was a community doctor. She studied law at Cardiff University in Wales where she was head of the student unio.
View attachment 3034421View attachment 3034422
Kumbe upo pande hizi pia?Mungu Ibariki pia Palestine.
Nani alio wambia Mtume kafa kwa sumu, sijui mnaota 😄Kipimo pekee kuonyesha mtu wa Mungu baada ya majaribu lazima upone na uwe na nguvu,sasa mtume baada ya kulishwa sumu aliendea hiyo hiyo,ndio tunajiuliza je alikuwa wa Mungu au wa mungu?