Tetea kwanza weusi wenzio kule sudan kusini dhidi ya hao wakoloni wenu wa kiimani na kitamaduni acha unafiki.Dhulma haidumu ipo siku wataanguka. Hakuna aliye dhulumu akapona. Just time will tell. Unawatetea kwa sababu wametajwa katika Bibilia, na sidhani kwamba ingelikuwa familia yako imevamiwa na wahindu na kuanza kuuliwa kutoka babu yako, baba yako na ndugu zako huku mali zao zikitaifishwa, sidhani kama ungemuelewa mtu ambaye atakwambia wacha chuki dhidi wa wahindi waliopewa wamepewa, huwezi shindana nao. Na wewe ni mmoja kati ya wakristu wasio kuwa na akili...
Ndio maana wana hasira kumbe kobazi mkuu alishindwa!Alianza mtume kutaka kuwafuta akashindwa,wakafuata na wengine mpaka sasa wameshindwa,wewe utasubili sana mkuu.
We nipe andiko Yesu kasema Yeye ni Mkristo ili niamini Yesu sio Muislam.unataka tuchukue akili za kudai YESU alikuwa muislamu huku muislamu wa kwanza akiwa mudy?akili ndo hizi?
Wengine hatuna dini tunakuja kuamusha waathirika wa dini mbili za kizushi,kutoka uarabubini na uyahudini.. amukeni Mungu ni roho anaishi ndani ya kila binadamu. Ila watu wanapumbazwa na dini za wafanya biasharaKwa hio Mungu wawakristo kwanini achague taifa teule mengine sio mataifa 😄
Ungeiuliza bibili yako kwanza hilo swali, kama unamini Mungu wa bibilia ya Paulo anataifa teule, kwani usiamini Mungu kachagua kiarabu Kwenye Qur'an.
Au ulitaka Mungu aongee kiyahudi ndio uamini yeye Mungu, Kwani Mungu haelewi lugha zingine.
Kwanini ashushe Taurat na Injili kwa lugha ya kiyahudi, na kosa kushusha Qur'an kwa kiarabu hahaha
Wakristo wajinga kweli nyie, mnataka kumchagulia Mungu ashushe Qur'an kwa kiswahili au kifaransa 😆
Wacheni ujinga Mungu aishi kwenye roho. Umemdharau sana yani mdogo kuliko hata mwili wako.Wengine hatuna dini tunakuja kuamusha waathirika wa dini mbili za kizushi,kutoka uarabubini na uyahudini.. amukeni Mungu ni roho anaishi ndani ya kila binadamu. Ila watu wanapumbazwa na dini za wafanya biashara
Tena vibaya sana,akaishia kuandika laana tu.Ndio maana wana hasira kumbe kobazi mkuu alishindwa!
Nakazia hiikwa staili hii ujinga hautaisha AFRICA .
Mbona hufanyi basi acha uongo bwana, jaribu kama hata maiti yako itaonekana.Yaani......
I whole heartedly support each of all those Surah
Kufanya hivyo wala sio shida kwangu, na tena kwa fahari kubwa
Na ndio wanaongoza kwa utajiri,Ulaya wengi ni Jewish
Karibu Cabo DelgadoMbona hufanyi basi acha uongo bwana, jaribu kama hata maiti yako itaonekana.
Fanya hapa huko hapatuhusu, kipindi kile mmejaribu kule Rufiji nini kilitokea.
Hit and Run ndio mpango mzimaFanya hapa huko hapatuhusu, kipindi kile mmejaribu kule Rufiji nini kilitokea.
Watu weusi sijui nani katuroga ,Wadau hamjamboni nyote?
Hii ni habari njema kwa Wana Israel mke wa Waziri Mkuu mteule Uingereza aendaye kwa jina la Victoria Starmer ni myahudi
Mungu ibariki Israel
Victoria Alexander was raised in north London. Her father is a former accountant from a Polish-Jewish background and her mother was a community doctor. She studied law at Cardiff University in Wales where she was head of the student unio.
View attachment 3034421View attachment 3034422
Halikuwepo hilo Taifa, ila ilikuwepo Uzayuni ambao ilikuwa ni harakati la kutengeneza au kulirudisha Taifa la Israel ikiwa ni maandalizi ya kurudi kwa masihi wao wanaomsubiri kwa mujibu wa maandiko ya kitabu cha Talmud.Sahihi kabisa. Ebu tupe elimu kidogo kabla ya Uingereza kusaidia kulitengeneza taifa la Israel taifa hilo lilikuwa wapi? Na kwanini Uganda ilihusishwa?
Kwa hiyo wewe unasapoti hayo? Au umeandika tu kiushabiki? Mdomo ( vidole) visiponze kichwa.
Kwa hiyo kwenye paragrafu yako ya kwanza unaposema NANUKUU ...Halikuwepo hilo Taifa, ila ilikuwepo Uzayuni ambao ilikuwa ni harakati la kutengeneza au kulirudisha Taifa la Israel ikiwa ni maandalizi ya kurudi kwa masihi wao wanaomsubiri kwa mujibu wa maandiko ya kitabu cha Talmud.
Uzayuni ulikuwepo na umeendelea kuwepo katika mataifa makubwa yaliyo na yanayotawala Ulimwengu. Ndio maana mataifa haya ni damudamu na Israel. Kupitia uchumi, usomi na mipango yao wao ndio wanayatawala haya mataifa na hata baadhi ya viongozi unakuta wana asili ya Uyahudi.
Lakini Uzauyuni au Zionism , wapo wayahudi wanaopinga harakati hizo. Kajiongeze ukasome aina za wayahudi itakusaidia pia kukua kwa nini wakina Netanyahu wanaonekana kama Wazungu (caucasians).
Pitia mchango wa myahudi mwingereza na zionist Rothschild katika uundwaji wa Taifa la Israel na influence yake katika siasa za Uingereza.
Mengi sana ya kujifunza, soma vitabu, soma makala, pitia habari huko mashirika makubwa BBC, CNN na n.k utajua hata kwanini kuna aina ya wayahudi walikuwa wamepata ruhusua maalum ya kutojiinga na jeshi lao la IDF wakisema ni kinyume na imani yao.
Katika kujiunza, jielemishe kutofautisha katika ya Zionism, Jew na Israelites.
Kwenye paragrafu yako ya kwanza hapo juu unaposema kuwa NANUKUU ... ilikuwa ni harakati la (sic) kutengeneza au kulirudisha taifa la Israel ... MWISHO WA KUNUKUU una maana taifa la Israel lilikuwepo kabla? Kama jibu ni ndiyo kijiografia (ya sasa) taifa hilo lilikuwa wapi? Huoni unajichanganya na unaposema kuwa NANUKUU ... Halikuwepo hilo taifa ... MWISHO WA KUNUKUU kwenye mwanzo wa paragrafu hiyo ya kwanza!? Nini tofauti ya Jew (au Jews?) na Israelites? Zionism inaingiaje katika kutafuta ukweli wa kuwepo au kutokuwepo kwa taifa la Israel kabla ya mwaka 1948?Halikuwepo hilo Taifa, ila ilikuwepo Uzayuni ambao ilikuwa ni harakati la kutengeneza au kulirudisha Taifa la Israel ikiwa ni maandalizi ya kurudi kwa masihi wao wanaomsubiri kwa mujibu wa maandiko ya kitabu cha Talmud.
Uzayuni ulikuwepo na umeendelea kuwepo katika mataifa makubwa yaliyo na yanayotawala Ulimwengu. Ndio maana mataifa haya ni damudamu na Israel. Kupitia uchumi, usomi na mipango yao wao ndio wanayatawala haya mataifa na hata baadhi ya viongozi unakuta wana asili ya Uyahudi.
Lakini Uzauyuni au Zionism , wapo wayahudi wanaopinga harakati hizo. Kajiongeze ukasome aina za wayahudi itakusaidia pia kukua kwa nini wakina Netanyahu wanaonekana kama Wazungu (caucasians).
Pitia mchango wa myahudi mwingereza na zionist Rothschild katika uundwaji wa Taifa la Israel na influence yake katika siasa za Uingereza.
Mengi sana ya kujifunza, soma vitabu, soma makala, pitia habari huko mashirika makubwa BBC, CNN na n.k utajua hata kwanini kuna aina ya wayahudi walikuwa wamepata ruhusua maalum ya kutojiinga na jeshi lao la IDF wakisema ni kinyume na imani yao.
Katika kujiunza, jielemishe kutofautisha katika ya Zionism, Jew na Israelites.
Bora Netanyahu ni myahudi na mzayuni wa asili na amechoka vita vinamuathiri kila leo watu wake wanauliwa itakua huyo mama? Fuatilia emu mkuu mayahudi wenyewe Israel wanaandama usiku na mchana kumpinga NetanyahuWadau hamjamboni nyote?
Hii ni habari njema kwa Wana Israel mke wa Waziri Mkuu mteule Uingereza aendaye kwa jina la Victoria Starmer ni myahudi
Mungu ibariki Israel
Victoria Alexander was raised in north London. Her father is a former accountant from a Polish-Jewish background and her mother was a community doctor. She studied law at Cardiff University in Wales where she was head of the student unio.
View attachment 3034421View attachment 3034422