TAARIFA RASMI: Yanga SC kuanzia nyumbani na timu ngumu CAFCC

TAARIFA RASMI: Yanga SC kuanzia nyumbani na timu ngumu CAFCC

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Ni taarifa rasmi na ikufikie popote pale ulipo kuwa kwa sheria mpya za Kombe la Shirikisho, Yanga SC yenye alama za chini itaanzia nyumbani na timu yenye alama kubwa japo imeangukia Shirikisho.

Chanzo: EFM Sports Headquarters

Hivyo Watanzania (hasa wana Yanga SC) msije kushangaa sana mkipangiwa kukutana na TP Mazembe FC au hata Pyramid FC au nyinginezo kubwa.

Ushauri wangu kwenu wana Yanga SC kama ikiwapendeza, ili kuepuka aibu na dhahama hebu ongeeni tu na CAF ili muishie hapa hapa mlipotolewa Sudan na mjikite zaidi katika kucheza na Ihefu FC, Kigamboni FC, Kiburugwa FC, Kibada FC na Friends Rangers FC ambako ndiko mnakuweza na kumudu mno.
 
Ni taarifa rasmi na ikufikie popote pale ulipo kuwa kwa sheria mpya za Kombe la Shirikisho, Yanga SC yenye alama za chini itaanzia nyumbani na timu yenye alama kubwa japo imeangukia Shirikisho.

Chanzo: EFM Sports Headquarters

Hivyo Watanzania (hasa wana Yanga SC) msije kushangaa sana mkipangiwa kukutana na TP Mazembe FC au hata Pyramid FC au nyinginezo kubwa.

Ushauri wangu kwenu wana Yanga SC kama ikiwapendeza, ili kuepuka aibu na dhahama hebu ongeeni tu na CAF ili muishie hapa hapa mlipotolewa Sudan na mjikite zaidi katika kucheza na Ihefu FC, Kigamboni FC, Kiburugwa FC, Kibada FC na Friends Rangers FC ambako ndiko mnakuweza na kumudu mno.
😂 😂
 
Kwani Simba si uwa anatolewa apa apa Taifa akiwa ameanzia ugenini!!![emoji1][emoji1] Labda unasahau mapema, Galaxy, UD Songo, Kaizer Chief. Mbona Mbumbumbu fc mnasahau mapema?
 
Ni taarifa rasmi na ikufikie popote pale ulipo kuwa kwa sheria mpya za Kombe la Shirikisho, Yanga SC yenye alama za chini itaanzia nyumbani na timu yenye alama kubwa japo imeangukia Shirikisho.

Chanzo: EFM Sports Headquarters

Hivyo Watanzania (hasa wana Yanga SC) msije kushangaa sana mkipangiwa kukutana na TP Mazembe FC au hata Pyramid FC au nyinginezo kubwa.

Ushauri wangu kwenu wana Yanga SC kama ikiwapendeza, ili kuepuka aibu na dhahama hebu ongeeni tu na CAF ili muishie hapa hapa mlipotolewa Sudan na mjikite zaidi katika kucheza na Ihefu FC, Kigamboni FC, Kiburugwa FC, Kibada FC na Friends Rangers FC ambako ndiko mnakuweza na kumudu mno.
Huwa nafurahi Sana ukileta Taarifa hata kama ni utani basi uwe sahihi. Drop outs za CAFCL huwa hazikutani kwenye knockout stage. Tunza hiyo itakusaidia Mkuu.
 
Ni taarifa rasmi na ikufikie popote pale ulipo kuwa kwa sheria mpya za Kombe la Shirikisho, Yanga SC yenye alama za chini itaanzia nyumbani na timu yenye alama kubwa japo imeangukia Shirikisho.

Chanzo: EFM Sports Headquarters

Hivyo Watanzania (hasa wana Yanga SC) msije kushangaa sana mkipangiwa kukutana na TP Mazembe FC au hata Pyramid FC au nyinginezo kubwa.

Ushauri wangu kwenu wana Yanga SC kama ikiwapendeza, ili kuepuka aibu na dhahama hebu ongeeni tu na CAF ili muishie hapa hapa mlipotolewa Sudan na mjikite zaidi katika kucheza na Ihefu FC, Kigamboni FC, Kiburugwa FC, Kibada FC na Friends Rangers FC ambako ndiko mnakuweza na kumudu mno.
Achana na timu yetuuuu!
 
Mazembe na yanga wote wameshuka hivyo hawawezi kukutana labda kwenye makundi iwapo watafuzu mtoano. Timu zilizokuwa kule zenye majina ni pyramid, Bekane na Usm Algier. Nyingine ngeni ngeni.
 
Acha upumbafu wako Tp mazembe ametolewa champion league kama Yanga alivyotolewa

Kwenye mtoano Yanga hawezi pangiwa Hawa labda akiingia makundi na Tp aingize naye

Jamaa liongo Sana wewe

Sent from my Hope10 Pro using JamiiForums mobile app
 
Utopolo are finished !

 
Mnasumbuka Nini enyi shimb mbofumbofu

Au hamkumbuki mwaka Jana nyie mlicheza champion mkatolewa mkaangukia shirikisho

Mkikumbuka mlikuwa bingwa Vodacom na FA

Na sisi ni bingwa wa NBC na FA

Tunacheza makombe yote, tushacheza champion Sasa tunaenda shirikisho

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my Hope10 Pro using JamiiForums mobile app
 
3536D8E8-C992-4F59-9F13-A4ECB5DC8487.jpeg
 
Ni taarifa rasmi na ikufikie popote pale ulipo kuwa kwa sheria mpya za Kombe la Shirikisho, Yanga SC yenye alama za chini itaanzia nyumbani na timu yenye alama kubwa japo imeangukia Shirikisho.

Chanzo: EFM Sports Headquarters

Hivyo Watanzania (hasa wana Yanga SC) msije kushangaa sana mkipangiwa kukutana na TP Mazembe FC au hata Pyramid FC au nyinginezo kubwa.

Ushauri wangu kwenu wana Yanga SC kama ikiwapendeza, ili kuepuka aibu na dhahama hebu ongeeni tu na CAF ili muishie hapa hapa mlipotolewa Sudan na mjikite zaidi katika kucheza na Ihefu FC, Kigamboni FC, Kiburugwa FC, Kibada FC na Friends Rangers FC ambako ndiko mnakuweza na kumudu mno.
Na Reggae Boys
 
Back
Top Bottom