So, since 1998. WAJINGA SN NYIEKwani Simba si uwa anatolewa apa apa Taifa akiwa ameanzia ugenini!!![emoji1][emoji1] Labda unasahau mapema, Galaxy, UD Songo, Kaizer Chief. Mbona Mbumbumbu fc mnasahau mapema?
Since 1998. WASHENZI KWEL KWEL NYIEMnasumbuka Nini enyi shimb mbofumbofu
Au hamkumbuki mwaka Jana nyie mlicheza champion mkatolewa mkaangukia shirikisho
Mkikumbuka mlikuwa bingwa Vodacom na FA
Na sisi ni bingwa wa NBC na FA
Tunacheza makombe yote, tushacheza champion Sasa tunaenda shirikisho
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent from my Hope10 Pro using JamiiForums mobile app
Tate MkuuNi taarifa rasmi na ikufikie popote pale ulipo kuwa kwa sheria mpya za Kombe la Shirikisho, Yanga SC yenye alama za chini itaanzia nyumbani na timu yenye alama kubwa japo imeangukia Shirikisho.
Chanzo: EFM Sports Headquarters
Hivyo Watanzania (hasa wana Yanga SC) msije kushangaa sana mkipangiwa kukutana na TP Mazembe FC au hata Pyramid FC au nyinginezo kubwa.
Ushauri wangu kwenu wana Yanga SC kama ikiwapendeza, ili kuepuka aibu na dhahama hebu ongeeni tu na CAF ili muishie hapa hapa mlipotolewa Sudan na mjikite zaidi katika kucheza na Ihefu FC, Kigamboni FC, Kiburugwa FC, Kibada FC na Friends Rangers FC ambako ndiko mnakuweza na kumudu mno.
Kwani Simba si uwa anatolewa apa apa Taifa akiwa ameanzia ugenini!!![emoji1][emoji1] Labda unasahau mapema, Galaxy, UD Songo, Kaizer Chief. Mbona Mbumbumbu fc mnasahau mapema?
Mtuonyeshe kombe la makundi au la robo fainali mlilochukua vinginevyo mnapiga porojo tuWazee wa historia!![emoji23][emoji23][emoji23]nyie mmetolewa jana ujue
Maumivu ni makali sana ya kutolewa CL na kuangukia CC kwa kombe la Losers kwa mujibu wa Manara.Mtazoea tu wajirani,kimataifa siyo NBCPLMtuonyeshe kombe la makundi au la robo fainali mlilochukua vinginevyo mnapiga porojo tu