TAARIFA RASMI: Yanga SC kuanzia nyumbani na timu ngumu CAFCC

Kwani Simba si uwa anatolewa apa apa Taifa akiwa ameanzia ugenini!!![emoji1][emoji1] Labda unasahau mapema, Galaxy, UD Songo, Kaizer Chief. Mbona Mbumbumbu fc mnasahau mapema?
So, since 1998. WAJINGA SN NYIE
 
Since 1998. WASHENZI KWEL KWEL NYIE
 
Tate Mkuu
 
Yanga sc na wale wote waliotolewa kwenye CAFCL hawatakutana wao kwa wao na badala yake watakutana na hawa walioanzia shirikisho...


Pyramids fc -Egypt

Future fc - egypt

St eloi limpopo - drc

Motema pembe -drc.

DIABLES NOIRS -CONGO

FAR RABAT -MOROCCO

RS BERKANE
-MOROCCO

CS SFAXIEN -TUNISIA

CLUB AFRICAIN -TUNISIA

AL-NASR -LIBYA

AL AKDAR -SUDAN

USM ALGER -ALGERIA

MARUMO GALANT -S.A

ZESCO UTD -ZAMBIA

SP GAGNOA -IVORY COAST

REAL BAMAKO -MALI

Yanga wajitahidi na wasisahau kufanya maombi na maombezi kwani hapo wanyonge hawawezi kutana wao kwa wao na badala yake mnyonge kama alivyo Yanga ni lazima apangiwe kigogo.
 
Kwani Simba si uwa anatolewa apa apa Taifa akiwa ameanzia ugenini!!![emoji1][emoji1] Labda unasahau mapema, Galaxy, UD Songo, Kaizer Chief. Mbona Mbumbumbu fc mnasahau mapema?

Wazee wa historia!![emoji23][emoji23][emoji23]nyie mmetolewa jana ujue
 
Mtuonyeshe kombe la makundi au la robo fainali mlilochukua vinginevyo mnapiga porojo tu
Maumivu ni makali sana ya kutolewa CL na kuangukia CC kwa kombe la Losers kwa mujibu wa Manara.Mtazoea tu wajirani,kimataifa siyo NBCPL
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…