Zanzibar 2020 Taarifa ya ACT Wazalendo yasema watu watatu wamefariki kwa kupigwa risasi na Polisi huku tisa wakijeruhiwa Zanzibar

Mmeshashindwa halafu mnahamasisha watu wafanye fujo. Wananchi akili za kuambiwa changanya na zako
 
Hao wananchi kabla ya kupigwa risasi walijua vipi kuwa masanduku yana alama? Na waliyakagua kwa mamlaka gani?

Maalim atasababisha watu wafe bila sababu za msingi.
 
Eti waliona masanduku yenye kura zilizopigwa.......hivi hii inaingia akilini? walionaje? hivi kwanini mnawashawishi watu mambo yasiyo na maana na kuwatuma kufanya vurugu ilihali nyie mmekaa na familia zenu mnaangalia TV? Inasikitisha sana sana
 
Taarifa nilizonazo mimi sio ulizonazo wewe.
 
Ni ujinga unaacha usingizi unaenda kutetea mtu awe mbunge
 
Kwa video zile za vifaru barabarani, hii taarifa haina chembe ya uwongo hata kidogo.
CCM wametengeneza mazingira ya kuwatishia watu vifaa vya JWTZ ili wapate kubaka Uchaguzi Zanzibar pasipo kelele zozote
 
Taarifa nilizonazo mimi sio ulizonazo wewe.
Wewe umekariri zidumu fikra zisizo sahihi za mtukufu kaburu Mkoloni mweusi tu huna taarifa zozote zaidi ya kukariri vya polepole tu
 
Hao wananchi kabla ya kupigwa risasi walijua vipi kuwa masanduku yana alama? Na waliyakagua kwa mamlaka gani?

Maalim atasababisha watu wafe bila sababu za msingi.
Haya maswali gani? Kwani watengeneza ubaya si nao ni binadamu kwani hawavujishi taarifa?
 
Eti waliona masanduku yenye kura zilizopigwa.......hivi hii inaingia akilini? walionaje? hivi kwanini mnawashawishi watu mambo yasiyo na maana na kuwatuma kufanya vurugu ilihali nyie mmekaa na familia zenu mnaangalia TV? Inasikitisha sana sana
Mimi nashauri yeye Seif ndio awe mstari wa mbele
 
Wewe umekariri zidumu fikra zisizo sahihi za mtukufu kaburu Mkoloni mweusi tu huna taarifa zozote zaidi ya kukariri vya polepole tu
Huu ni toto ndio unakusumbua. Kutumia picha ya idi amini unakosa sifa ya kujibiwa hata na Tundu Lissu.
 
Eti waliona masanduku yenye kura zilizopigwa.......hivi hii inaingia akilini? walionaje? hivi kwanini mnawashawishi watu mambo yasiyo na maana na kuwatuma kufanya vurugu ilihali nyie mmekaa na familia zenu mnaangalia TV? Inasikitisha sana sana
Haikuingii Akilini kwa kuwa wewe ni mbumbumbu juha zuzu , lakini wenye Akili timamu linawaingia Akilini wanajua kuwa huwa hakuna siri kwenye hujuma dhidi ya haki na wapenda haki ndiyo wamevujisha taarifa
 
Acha kujibu kwa hisia,tunataka ushahidi wa kweli kuwa kuna karatasi zilikuwa na alama,tumia akili wewe.
Wewe acha kutumia Akili za Polepole tumia Akili zako Tambua kuwa hakuna siri kwenye hujuma dhidi ya haki
 
Huu ni toto ndio unakusumbua. Kutumia picha ya idi amini unakosa sifa ya kujibiwa hata na Tundu Lissu.
Utoto ni kufikiri kuwa wewe upo sahihi kwenye kutetea ushetani, Utoto ni kufurahia mauaji ukazani kuwa wewe hutakufa siku moja, utoto ni kuishi kwa kutumia Akili za akina polepole Bashiru badala ya Akili zako ingawa ni ndogo mno
 
Wewe acha kutumia Akili za polepole tumia Akili zako Tambua kuwa hakuna siri kwenye hujuma dhidi ya haki
Tatizo lako ubongo wako umejaa minyoo, hujuma gani za kujaza maboksi tick wakati kuna mawakala wa kila chama kwenye kila kituo?
 
Watetezi wa CCM wamemaliza kuvuta Bangi gheto kwa Cyprian Musiba na kukaririshwa upumbavu wa kutosha kuanzia sasa msishangae CCM kutetea ushetani wa kuua watu Zanzibar
 
HEADING=3][/HEADING]
31m ·
#BREAKINGNEWS #ZANZIBAR.

WALIOUWAWA NA POLISI ZANZIBAR WAONGEZEKA.

RIPOTI YA HALI YA MKOA WA MICHEWENI KWA USIKU WA JANA TRH 26/10/2020.

1. Hamad Khamis Hamad mkaazi wa Makundaani jimbo la Wingwi miaka 25 Amepigwa risasi ya Mkoni
2. Abdallah Nassor Mbarouk miaka 30 mkaazi wa Mchepewe jimbo la Wingwi Amepigwa risasi na amefariki dunia
3. Ali Said Kombo miaka 35 mkaazi wa Kinazini jimbo la Wingwi Amepigwa risasi ya Shingo
4. Hamad Amour Abdalla miaka 35 mkaazi wa Sizini jimbo la Wingwi amepigwa risasi ya paja na kutokea upande wa pili
5. Abdalla Hamad Miaka 34 mkaazi wa Tumbe Mbuyuni amefariki kwa kupigwa risasi
6. Mustafa Haji Shaame miaka 30 mkaazi wa Tumbe Kaliwa jimbo la Tumbe ni majeruhi amepigwa risasi
7. Masoud Salim Fadhil miaka 16 mkaazi wa Mafya jimbo la Wingwi amefariki dunia kwa kupigwa risasi ya Tumbo
8. Khator Kombo Bakar miaka 22 Mkaazi wa Shumba Mjini amekamatwa usiku wa jana huko Shumba Mjini
9. Shehe Mahmoud miaka 50 Mkaazi wa Chamboni Shumba Mjini nae pia alichukiliwa usiku wa jana.

Kombo Mwinyi Shehe.
Katibu wa haki za Binadam
Mkoa wa Micheweni kichama.
 
Tatizo lako ubongo wako umejaa minyoo, hujuma gani za kujaza maboksi tick wakati kuna mawakala wa kila chama kwenye kila kituo?
Nilijua utaenda huko nikawa nakutegea nione kumbe ni walewale mbweha, uwezo wako wa kufikiri umefika mwisho Kipimo cha ufala hapa JF huwa ni kuisengenya ID ya JF ambayo haitokani na ubatizo msikitini wala kanisani ndiyo maana ID yako ni ya kishamba na kifala lakini hakuna wa kuhangaika nayo, watu wanakomaa na Hoja na kama huna Hoja kojoa upakatwe na cyprian Musiba ulale acha kusumbua watu mitandaoni. Tambua kuwa mawakala hawapo huru wanaingiliwa na Polisiccm na hao hao Polisiccm baadhi huwapa taarifa juu ya uchakachuaji wa CCM.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…