Abraham2020
Member
- Oct 8, 2020
- 41
- 12
Mwinyi na miccm yote isombwe kupelekwa ICC The Hague iwe fundisho kwa mashetani wengine waliosaliaMaalim Seif, hii haitoshi, let the International community take note of that! Peleka barua iki address ICC, UNSC, EU and to a lesser extent AU (hawa ni club ya dictators, they are of no effect) lkn wapelekee for records!
Wenye harakati zao wataona wamekufa kishujaa, acha tuwapongezes
Kufa ni kufa ni tuu
Ni sawa, tunachokikataa ni unafiki wao wa kujifanya wanaharakati kwenye mambo yanayotokea kwenye nchi nyingine, wakati nchini mwao mambo hayo hayo yanatokea lakini hawakemei.
Mwinyi atabaka Sanduku la kura atakuwa Rais kwa njia haramu za kishetani lakini hatakuwa na baraka ridhaa ya wananchi wa Zanzibar itabidi kutawala kwa shida kubwa kwani watamuandama na Albashiri mpaka azeeke ghafra na kufaKuna harufu ya nguvu za wananchi kuripuka,lile wanaloliomba watawala lipo njiani,hata wakijipa ushindi,Zanzibari kuna harufu ya mapinduzi na ushindi kwa wazanzibari.
Hapana, watanzania sio wajinga, ila wewe ndio mjinga kutumia picha ya idi amini kama utambulisho. Historia ni somo muhimu kwako.Bado unavuta Bangi ? Acha ufala wako usifikiri watanzania ni wajinga kama wewe
Bora baba yako angepiga punyeto TU....kuliko kulizaa Toto Kama wewe....Kama hao wenye miaka 13 na 16 walikua hapo wanafanya nini Maalim Seif awaambie watu wake wakae nyumbani Maalimu Seif the hague itamuhusu.
Jeshi la wananchi limeondoka na Mwamnyange, hili la sasa nijeshi la CCM.Hapo ndipo kuna uchakachuaji wizi mkubwa na jwtz Nusu ya vikosi wapo Zanzibar iweje jeshi lote lihamishiwe Zanzibar kuna ajenda gani? Haya ni matumizi mabaya ya jeshi
CCM inawalazimisha wazanzibar kutawaliwa na mkazi raia wa lindi asiye mzaliwa wa ZanzibarNyie washenzi mwageni damu zawatu kisa kusaka madaraka, lkn nakuambia huyo zezeta wenu wa ccm hatokuja kuwa raisi Zanzibar.
Jwtzccm wajiandae huyo CDF mabeyo anafikishwa ICC The Hague mara baada ya uchaguzi mkuuJeshi la wananchi limeondoka na Mwamnyange, hili la sasa nijeshi la ccm.
Ndio muende mkawaonyeshe ndugu wa marehemu, hizo kura zilizojazwa kwenye masanduku ziko wapi?Kwa hyo hao waliokufa wamekufa UONGO?
Waliorusha mawe kurekodi na kuisambaza ni wanausalama wenyewe ili wapate pa kuanzia.Ila Maalimu kwa hizi damu zinazomwagaika sidhani kama utafika popote umehamasisha fujo ona vijana wamerusha mawe kushambilia majeshi yetu. Clip zipo za kutosha zinaonesha fujo ilivyoanza, kwa hiyo ni bora wafe askari sio?
Sent from my SM-M205F using JamiiForums mobile app
Huyo Asikari yeye ndiyo ana haki za kwenda kuwaonea watu? Ukionea Raia wasio na bunduki wanajihami kwa mawe tuNgoja akatusemee kwa
amstedamuu.....HV kweli unazuia askari mwenye silaha. na mawe unategemea nn...mnashindwa sahau jeshi duniani kwote limepewa ruhusa kujilinda......
Walitengeneza kisingizio cha kishamba ili wapate kuhatarisha ushetani waoWaliorusha mawe kurekodi na kuisambaza ni wanausalama wenyewe ili wapate pa kuanzia.
Tayari mwinyi kafanya uchakachuaji haramu kwa njia haramu za kishetaniKura za Awali ni wizi maalum