Ebu funguka mkuu, pengine ndio bahati imeni dondokea...π€£
Bro i see you .happy holidayNaendelea njema sana mkuu, asante Mungu nimerejea kwenye majukumu yangu kama kawaida.
Kudos classmate, more life kakaNimepona kwa 90% boss...π
Amen..πKudos classmate, more life kaka
Dah Mungu ni mwemaNaendelea njema sana mkuu, asante Mungu nimerejea kwenye majukumu yangu kama kawaida.
Sijambo kwa sasa mkuu, nimepata nafuu 90%
Asante sana mkuu..πAmina
Mola aendelee kukusimamia upone kabisaaa
ππ€
Mungu ni mwema, pole sana mkuuSijambo kwa sasa mkuu, nimepata nafuu 90%
classmate unaendeleajeAmen..π
Naendelea njema sana mkuu.. πclassmate unaendeleaje
Amen...πMungu azidi kukuimqrisha mkuu @ushmen
Hii avatar ni sukari ya warembo hapa ndani..π€£Pole sana legend, niliumia sana kupata taarifa yako, cha kwanza nikaikumbuka avator yako ya mapengo.
Pole sana na nashukuru Mungu unaendelea salama. Daaah. Mwenyezi Mungu akuweke.
Uje utupe mkanda mzima ukifika 100%
π Na itakuaHii avatar ni sukari ya warembo hapa ndani..π€£
πππ ana upendo sana huyu mnyange. Na ni mtu wa kujali sana.. Kamwe hachoki kuulizia maendeleo ya wengine waliopata shida ikiwemo wewe.. Tumpe maua yakeβ€β€β€Ebu funguka mkuu, pengine ndio bahati imeni dondokea...π€£
Ebu funguka mkuu, pengine ndio bahati imeni dondokea...π€£
Taarifa ndo nimeona sasa pole sana na namshkr Mungu kwa ajili ya uzima ulio nao....Amen...π