Nimeikuta ALJAZEERA wanaionyesha muda wote kwenye kimstari kinachopita chini, scrolling ticker. Yani wameipa umuhimu.
nikaenda kutafuta details kwenye TV za bongo, zote zinaonyesha vipindi vya miziki...
Ndio aina ya media ambayo inaruhusiwa. Serikali kwa makusudi inalea taifa la watu wasio na taarifa wala mijadala muhimu, kwa hiyo hatuwezi kutafuta majawabu ya matatizo yetu, deaf dumb and blind. Kwa ajili hiyo tunaendelea kufa.
nikaenda kutafuta details kwenye TV za bongo, zote zinaonyesha vipindi vya miziki...
Ndio aina ya media ambayo inaruhusiwa. Serikali kwa makusudi inalea taifa la watu wasio na taarifa wala mijadala muhimu, kwa hiyo hatuwezi kutafuta majawabu ya matatizo yetu, deaf dumb and blind. Kwa ajili hiyo tunaendelea kufa.